polepole

Humphrey Polepole is a Tanzanian politician serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary and Member of Parliament appointed by President John Magufuli. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district for five months and earlier Polepole also served as District Commissioner for Musoma District for two months.

View More On Wikipedia.org
  1. JOANNA

    Prayer Alter for Humphrey Polepole

    Calling all the watchman, The intercessors, The chosen one, Prayer warriors, Seers, Teachers of the word, wailing women Let's raise an alter of prayers for Humphrey Polepole at 12 am all time zone. We are sending prayer petition to the court of Heaven. Remove all legal rights that the enemy is...
  2. Doctor Mama Amon

    Ushauri kwa IGP: Sio Sawa Jeshi la Polisi Kuwabebesha Wazazi Wa Polepole Mzigo wa Kuthibitisha Kwamba Kuna Uhalifu umefanyika Dhidi ya Mtoto Wao

    Utangulizi Mheshimiwa IGP Camilius Wambura, Huwa nafuatilia utendaji kazi wa Jeshi la Polisi siku hadi siku. Matamko yako yote huwa nayasikiliza na kuyachambua pia. Barua nyingi zinazoandikwa na Msemaji wa Polisi, David Misime, ziko vizuri na hubeba weledi wa hali ya juu. Hata hivyo...
  3. Kanali_

    Tumekubali kuishi na mchawi ndani?

    Hakuna aliye salama. Kama mzazi wako ni mchawi, usicheke sana unapoona anamaliza majirani. Watakapokwisha ataanza na wewe.
  4. sanalii

    Hivi hakuna mwana CCM alieguswa na tukio la Polepole (Katibu Mwenezi) mstaafu?

    Yani wametulia tuliiii kama vile hakuna kilichotokea, kwamba hawakusikia au wakiongea nao watawekwa kundi moja? Hata ya kinafiki tu kuuliza aliko? Hakika dunia tambala bovu
  5. DuaZaMama

    Mahakama Kuu kusikiliza ombi la Kibatala kuhusu kutekwa kwa Polepole Oktoba 9

    Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam imepanga Oktoba 9, 2025 kusikiliza maombi ya Wakili Peter Kibatala juu ya madai ya kutekwa kwa Mwanasiasa Humphrey Polepole. Wakili Kibatala aliwasilisha maombi hayo chini ya hati ya dharura, Oktoba 7, 2025 akiiomba mahakama itoe amri ya...
  6. Penguinelli Cactussini

    Wataalamu wa sayansi ya vita na coup d'etat. Swali kwenu

    Kwema? Kwanini Captain Tesha alitoka mbele ya kadamnasi na kuzungumza mambo mazito vile huku akitaja baadhi ya wanasiasa kuwa wazuiliwe kukimbia nchi? Kwanini Captain Tesha alionya polisi watakazuia waandamanaji kuwa watakuja kuulizwa hapo baadaye? Lengo lake hasa la kutoka hadharani ni lipi...
  7. DodomaTZ

    Ni kweli anavyodai SATIVA kuwa Mtandao wa Simu (Halotel) umehusika 'kumuuza' Humphrey Polepole?

    Stori ya Humphrey Polepole kutekwa naona inazidi kushika kazi ndugu zangu, kuna sehemu nimekuta hii screenshot, je inawezekana ni kati ya vitu vilivyomfanya akanaswa? Namba ya simu inayotajwa kutumika ni ya Mtandao wa Halotel na imesajiliwa kwa jina la Humphrey Herson Polepole. Kampuni ya...
  8. M

    Mzee Butiku na Warioba, Ongeeni kuhusu Polepole kudaiwa kutekwa

    Mkikaa kimya wakati kijana wenu katekwa, ina maana mmemsaliti. Na huenda nyie ndio mmetoa taarifa za uwepo wa Polepole TZ. Hasa mzee Butiku, Watanzania tunafikiri Wewe ndiye umemsaliti Polepole. Na kimya chako kinazidi kutu fanya tuendelee kuamini hivyo.
  9. Mhaya

    Utabiri wa Mchungaji Fadhili Juu Ya Humphrey Polepole Watimia

  10. K

    Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

    Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi! Ukiwa mjamaa hakuna wakukutetea maana wenyewe wanaamini chama kuliko uhai wa mtu. Polepole alipenda hizo nchi za kijamaa kama China, N Korea na Cuba sasa ubaya wa mifumo ya kijamaa ni ya mtu Mungu. Polepole sasa ni ngumu kumuombea msaada kwa...
  11. Tajiri wa kinyankole

    Kutokana na kauli za polepole hazina tishio kwa taifa kwani nyingi alikuwa akielimisha umma juu ya taifa

    Kutokana na kauli za polepole hazina tishio kwa taifa kwani nyingi alikuwa akielimisha umma juu ya taifa lao baadhi ya kauli alizowahi kusema ni kama ifuatavyo 1.Alisema wazi ccm mtandao wamekuwa wakijitajirisha bila kujali maslahi ya umma.mfano kutaja kashifa ya uniform za jeshi la polisi...
  12. baz kaiza

    Tafadhali Sana tunaomba mwacheni Polepole hii Nchi yetu sote

    Tafadhali tena naomba wakuu mwacheni Polepole kama ana kosa tunaomba sheria ifuate mkondo wake. Tunaomba Polepole achiwe bila masharti yoyote. Tafadhali Sana tunakoenda siko mwacheni Polepole
  13. Carlos The Jackal

    Mzee Butiku, Polepole katekwa uko kimya hahaha !! Tumekufuta katika wazee wa taifa hili

    Ndio Furaha yako ?! . Naona kale ka Asili ka 'Kizanaki' , ukigeugeu na Kujipendekeza ndiko kamekuharibia. Hautakubalika tena na Watanzania , Wala hautaheshimiwa Tena na Watanzania , TUMEKUFUTA na kukuondoa katika Orodha ya Wazee Makini wa TAIFA hili. Wewe Sasa ni Mmoja ya Wazee wahuni ...
  14. Sales man

    "The power of timing " ndo imemwangusha Polepole

    Polepole Angeleta hoja zake 2014-2015 Kipindi vijana walikuwa active na siasa nahisi CCM kingekuwa ni chama cha upinzani . Ila sioni ajenda yoyote ikifanikiwa kwa generation ya sasa ambayo imekuwa Kama akili unde . Hata hiyo 29/10 sioni chochote Shida sio Watanzania Ila ni wakati unaweza...
  15. Beira Boy

    GE2025 Swali hili la Kiranga kwa Polepole lilipuuzwa: What is Polepole's strategy? Lilifanya Kiranga atukanwe sana

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Ukiachana na maumivu makali sana niliyo nayo lakin swali la kiranga bado linaniumiza kichwa na linanifunza mengi na linanifanya nisimuelewe kabisa polepole Nakuombea polepole MUNGU MWENYEZI akulinde sana Nakuombea Tanzania ukomboz wako...
  16. DuaZaMama

    Mama Polepole: Nirudishieni mwanangu akiwa hai au amekufa, alikuwa mtoto wa kipekee

    BBC imezungumza na mama mzazi wa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole katika mahojiano maalum. AnnaMary Polepole amesisitzakatika mahojiano hay kuwa arudishiwe mtoto wake- Humphrey Polepole akiwa hai au amekufa. Hata hivyo mapema leo, jeshi la polisi lilisema kuwa...
  17. Inside10

    Wakili Kibatala afungua shauri kutaka Humphrey Polepole afikishwe Mahakamani (Habeas Corpus)

    ‼️🔥BREAKING NEWS‼️ Habeas corpus case filed to demand Humphrey Polepole to be presented in court! Asante wakili @PKibatala. Huu ndo mwendo sahihi wa kumdai ndugu yetu Polepole! Madhulmat hamjui kuwa tunawaweka kwenye record ili kimataifa tuhangaike na ninyi vizuri! @judiciarytz pokeeni na...
  18. Ponjoro wa Kinondoni

    Maria Sarungi: Accounts za Humphrey Polepole Hazijafutwa, Zimehifadhiwa

    Kuweni na amani 🙌🏽 Tuneweka akaunti za Humphrey Polepole salama ili wahuni wasiweze kuzifikia! 😀 Hakuna aliyezifuta zimehifadhiwa until Polepole arudi uraianj! Tunashukuru kampuni za mitandao zime react fasta! Mwambieni Mafwele sasa wamwachie hawapati kitu hapo! #FreePolepole Nimefurahi kiasi.
  19. Scared

    Polepole alikuwa anafanya vitu kijinga sana sijui alikuwa anaficha ficha nini kuongea kwa code

    Yaani alikuwa kila siku anaongea kwa kuficha ficha anaacha kumwaga Kila kitu hadharani sijui alikuwa anaficha ficha nini mwisho wa siku wamemnyakua kabla hata mengine hajaongea Kapata alichokuwa anakitafuta. Kama umeamua kumwaga mambo Yao wewe nyooka tu kama Kapteni Tesha sio unaongea kwa...
Back
Top Bottom