Hivi kuwa romantic ni pamoja na kugawa pesa ovyo kwa mashankupe ya mjini?

Hivi kuwa romantic ni pamoja na kugawa pesa ovyo kwa mashankupe ya mjini?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,952
Reaction score
26,072
Greetings

Hivi wakuu, kwa mwanaume kuonekana uko romantic kibongobongo ni pamoja na kugawa pesa hovyo kwa kila shankupe unalokutana nalo hapa mjini?

Iko hivi kuna shankupe flani nilikutana nalo mahali kwenye sherehe,usiku ule tukaruka debe, piga tungi sana na kisha tukamalizia kwa kupigana miti.

Sasa baada ya kama week likaanza kuniletea invoice zake mara gari inatakiwa service na hana pesa, mara sijui simu imeanguka inatakiwa kununua kioo. Mimi nikaona ujinga huo sifanyi nikawa sijibu texts zake basi bana hapa saivi limenitumia bonge ya message linaniambia eti mimi siko romantic kisa sijalipa mkwanja.
 
Greetings
Hivi wakuu,kwa mwanaume kuonekana uko romantic kibongobongo ni pamoja na kugawa pesa hovyo kwa kila shankupe unalokutana nalo hapa mjini?
Iko hivi kuna shankupe flani nilikutana nalo mahali kwenye sherehe,usiku ule tukaruka debe, piga tungi sana na kisha tukamalizia kwa kupigana miti.
Sasa baada ya kama week likaanza kuniletea invoice zake mara gari inatakiwa service na hana pesa,Mara sijui simu imeanguka inatakiwa kununua kioo.me nikaona ujinga huo sifanyi nikawa sijibu texts zake..basi bana hapa saivi limenitumia bonge ya message linaniambia eti mimi siko romantic kisa sijalipa mkwanja.
kwa wanaume kamili wa mikoni,
kua romamtic ni kupeleka motro kwa usahihi na ukamilifu wake na si vinginevyo,

uliekutana nae ni mfanyibiashara gentleman
 
Mtu anaendesha gari mbovu halafu halafu analeta mambo ya romantic, mwambie akatafute hela
Unanikumbusha advance, kuna bro mmoja alimtokea demu mkali alafu mkimya hatari.
Siku yule jamaa kaibuka na mkweche wa dingi yake shule sijui la kubebea majani au la mtoko huko kwao. Anamuambia dada leo ntakupeleka kwenu tukitoka class.
Dada akakataa akasema yete ataenda kwa mguu tuu.
Kesho yake alikuja na Landcruser Jeupe kali mbona yule jamaa alidata.
Watuu aaah mtoto kajibu alikosa raha kweli yule bro aiseee.
 
Ni kweli haupo romantic 😍
Si bora hata ungemjibu sms hivi:
Beib hela ya kutengeneza gari sina
Na hata ya kioo kipyaa sina
Ila mjegejege nipo available kwa ajili yako 😄😄
Vitu vidogo kama hivi una fix tu mkuu😎
NB ningekua mwanaume 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Greetings
Hivi wakuu,kwa mwanaume kuonekana uko romantic kibongobongo ni pamoja na kugawa pesa hovyo kwa kila shankupe unalokutana nalo hapa mjini?
Iko hivi kuna shankupe flani nilikutana nalo mahali kwenye sherehe,usiku ule tukaruka debe, piga tungi sana na kisha tukamalizia kwa kupigana miti.
Sasa baada ya kama week likaanza kuniletea invoice zake mara gari inatakiwa service na hana pesa,Mara sijui simu imeanguka inatakiwa kununua kioo.me nikaona ujinga huo sifanyi nikawa sijibu texts zake..basi bana hapa saivi limenitumia bonge ya message linaniambia eti mimi siko romantic kisa sijalipa mkwanja.
Hakuna viumbe wenye akili za kucheza na kiumbe mwenzie kama mwanamke.Kamwe usijekujidanganya kwamba mwanamke hana akili au uwezo kukumudu wewe mwanaume.Usithubutu!Mwanamke hunusa,huhisi,hugusa,huona na kutambua akitakacho na kilicho bora within a blink of an eye.Utapangwa kwa maneno hadi vitendo hadi kieleweke.Tunza na tumia ubongo wako kwa ufanisi.
 
Back
Top Bottom