party

  1. CHADEMA wote wanajua kwamba CCM is the best political party in Africa

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama tawala nchini Tanzania na ni moja ya vyama vya kisiasa vilivyodumu kwa muda mrefu barani Afrika. CCM ilianzishwa mwaka 1977 baada ya kuunganishwa kwa vyama viwili, Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP), ambavyo vilikuwa vikifanya...
  2. POLITICAL PARTY OR GANG OF KILLERS?

    Nakumbuka enzi hizo Uchina wakati wa cultural revolution miaka ya 60s mpaka 70s liliibuka genge la mtu nne likiongozwa na mke wa Mao Zedong aitwae Jiang Qing. Genge hili lilijitwalia madaraka ya nguvu ndani ya chama cha kikomunisti cha China liliakikisha lina shughulikia kila mtu aliye kinyume...
  3. Will this happen in Tanganyika under the CCM party? Labuda.

  4. JBL party box mwamba wa muziki mnene

    Mdau , leo nakutupia hii apa Wewe unapenda mziki mkubwa? Chukua hili dudeee Hutojutiaaa Swipe kulia kuona video 👉🏽 JBL boom box 2 - 1,200,000/= JBL party box 310 - 1,650,000/= JBL party box 710 - 2,200,000/= Tupigie au whasapp - 0692690033 Tupo kariakoo mtaa wa aggrey...
  5. Deputy Chief of Party at JSI April, 2024

    Job Title: Deputy Chief of Party Application Deadline: Apr 30,2024 Position Type: Full-time Position Category: Local hire, paid in-country Company/Division/Subdivision: JSI – Local Hire Location: Dar es Salaam, Tanzania Salary: Commensurate with experience Starting Date: Oct 1,2024 JOB...
  6. Mapenzi hayafai ikiwa ni mtu moja anajuhudi zaidi ya mwengine

    Hii mada ni complex kidogo. Hivi kama mapenzi ni kati ya watu wawili me na ke, how come kwenye jamii ionekane kama mwanaume ndo kampenda mwanamke? kuna utaratibu kwamba mwanaume ndo anatakiwa achumbie which is true manaume ndo anatakiwa a make first move.... ila hii ni kama vile tunawapa nguvu...
  7. All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

    Wanabody hili ni wazo kwakuwa hili liliwai kufanyika miaka ya 2013-14 na liwa na mafanikio makubwa sana nakumbuka lilifanyika pale Kebby'es na nyingine ikafanyika Escape one. Namimi nikiwa moja ya hile kamati! Na kwakuwa imepita muda mrefu basi tunaleta wazo kwenu ili anagalau tukutane...
  8. J

    The Flop of Tanzania's Chadema Party Public Demonstrations: A Detailed Assessment of the Political Landscape

    The Flop of Tanzania's Chadema Party Public Demonstrations: A Detailed Assessment of the Political Landscape Mmusi Mosimane Nthuli Today January 24th 2024, a pivotal political episode unfolded in Tanzania when Chadema, a significant opposition party, staged public demonstrations. Intended as a...
  9. Nilichijifunza royal engagement party

    Nilichojifunza tukio la royal engagement party 1: Mwanzo mwisho sauti na vinasa sauti vilikuwa na changamoto. 2: Pamoja na mapambo mazuri ya ukumbini, waalikwa walikuwa wamepoa sana kama walikuwa wamemwagiwa maji. 3: Bw. Haji kama vile alikuwa amelenga maokoto zaidi kutoka kwa waalikwa. 4: Bw...
  10. F

    Misiba ya watu wa Kaskazini hugeuka kuwa bonge la party mara tu baada ya watu kuzika!

    Nimeshuhudia misiba mingi ya watu wa kaskazini mwa nchi hii. Kama safari inaanzia Dar, basi safari hiyo hugeuka kuwa tour kwa baadhi yao hasa wale wasindikizaji wasiokuwa na uhusiano wa moja kwa moja na wafiwa. Utakuta watu wapejipachika na vistarehesha kibao, ndani ya magari kumesheheni vilevi...
  11. Boss wa GSM tajiri asie na maneno amfanyia mkewe birthday party nyumbani, haya ndiyo yaliyojiri

    sikukuu ya kuzaliwa MKE wa Tajiri wa makampuni ya GSM na Mdahamini Mkuu wa Klabu ya Yanga Birthday iilihudhuriwa na wanafamilia / ndugu wa karibu. Maua ni mengi sana yenye kuvutia, itakuwa yaliletwa na kontena mbili zawadi zenye brand kubwa na orignal, mambo ya christian Dior, dolce &...
  12. Msiohudhuria hizi party msije kwenda. Hii ni premium party ya Jumamosi week juzi

    Humu ni ushetani tu hakuna kingine.Sitarudia kabisa kuingia
  13. B

    TISS na CCM Party Comrades tumieni kesi ya Mbeya kuokoa Umoja wetu, na Muungano wetu, kuilinda CCM. FUTA IGA

    Asalam, Nimefuatilia mijadala ya huu mkataba wa kuuza Bandari. Mengi yamesemwa. Sitaki kuyarudia, Natoa ushauri tu sasa ili kulinda umoja wetu kama watanzania, muungano wetu na uimara wa CCM. 1. Vyombo na mifumo ya dola iwasaidie Majaji Mbeya KUFUTA HUU MKATABA bila kujali changamoto za dini...
  14. Sitokuja kusahau kilichotokea katika chama changu CHADEMA. Je, tuamini hayatojirudia tena?

    Binafsi tangu nimejiunga CHADEMA zaidi ya miaka 10 iliyopita nlikuwa nina imani sana na chama changu na nliamini ipo siku tutakuja chukua dola. Muda na chaguzi zilipita lakini hakuna kitu kilichoniumiza kichwa kama ghafla kumuona Lowassa anapeperusha bendera ya CHADEMA. Nlikumbuka sana...
  15. Uhuru Kenyatta: Mapinduzi ya Jubilee Party yalipangwa na Serikali

    Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta sasa anadai kuwa matatizo yanayowasumbua Chama cha Jubilee yalipangwa na serikali ya Kenya Kwanza na kutekelezwa kwa msaada wake. Uhuru alifichua kwamba, ingawa ilikuwa mpango wake wa awali kumkabidhi uongozi mpya wa chama baada ya kustaafu urais, jaribio lililodaiwa...
  16. If the people stand up, the party is over

    if
  17. Uhusiano wangu na baba yangu party 2.

    Wakuu mmebarikiwa sana. Leo taeleza upande mwingine kuhusu mama yangu na ma mdogo na ndugu wa mzee kisha mtaunganisha na ule uzi mwingne wa kwanza maana pengne kuna watu humu wanakurupuka kunilaumu tu. UPANDE WA MAMA: tulizaliwa watatu mimi na wadogo zng wawili, kifupi nijisemee mimi bnafs...
  18. Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

    Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli. Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu. Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe. Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
  19. D

    Rais Samia fanya maridhiano pia na "Umoja Party", usidanganye kuwa kimekufa

    Kinachoendelea kwa Serikali ya CCM na CCM yenyewe ni mwendo wa maridhiano ili nchi itulie kila anayekula na kipofu asiguswe mkono. Kama hiyo ndiyo njia muafaka iliyochaguliwa basi hakuna haja ya kujenga chuki na waasisi wa Umoja Party inayoendelea nchini kutafuta wadhamini Ili hatimaye kipate...
  20. Umoja Party walikuja kuzima harakati halali

    Enyi viongozi wa vyama na wanasiasa, Nataka niwaambie ukweli mchungu: Mpaka sasa hakuna chama kilichojipambanua kuwakilisha mawazo ya wananchi wengi, Kama wananchi watapiga kura 2025 watapiga kura za visilani tu, usishangae hata vyama visivyopata kura nyingi vikapata kura nyingi kuliko wakati...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…