party

  1. DolphinT

    JamiiForums Tanzania "Ukomo wa Demokrasia Katika Nchi Zinazotawaliwa na Party Coccus: Ulimbikizaji wa Madaraka, Ukandamizaji wa Wapinzani, na Unyakuzi wa Taasisi za Umma"

    "Ukomo wa Demokrasia Katika Nchi Zinazotawaliwa na Party Coccus: Ulimbikizaji wa Madaraka, Ukandamizaji wa Wapinzani, na Unyakuzi wa Taasisi za Umma" Katika baadhi ya nchi za Afrika, hali ya kisiasa imeendelea kuonyesha mwelekeo wa kuporomoka kwa misingi ya utawala wa sheria, demokrasia, na...
  2. Boloyoung

    JamiiForums Tanzania Sea piano party box inauzwa

    Seapiano sp 5280 partybox inauzwa bluetooth ssd flash aux remote mic mziki unafaa kwa tafrija ndogo au kwa biashara nyumbani haufai una nguvu sana bei 330,000
  3. Doctor Mama Amon

    JamiiForums Tanzania A Question to Judge Mwambegele: Does Tanzania's INEC have Power-Right to Disqualify Any Registered Political Party From Participating in an Election?

    Chairperson of the Tanzania's INEC, Justice Jacobs Mwambegele INTERROGATING THE COMPETENCE, INTEGRITY, CREDIBILITY AND INDEPENDENCE OF ELECTION MANAGEMENT BODIES: A TANZANIAN CASE STUDY ON THE ALLEGED INEC'S POWER TO DISQUALIFY A REGISTERED POLITICAL PARTY FROM PARTICIPATING IN AN ELECTION...
  4. The Watchman

    JamiiForums Tanzania ZaiyLissa kuandaa party aliyoiita 'Usiku wa Talaka' adai sio shida zake kufanya sherehe, "kwa nini niolewe na sherehe na nitoke bila sherehe?"

    MOJA ya habari zinazotreni mitandaoni na vyombo vya habari ni iliyokuwa ndoa ya Haji Manara na Zaylissa ambayo imefikia mwisho na inaelezwa mwanadada huyo amepanga kushusha bonge la pati kusherehekea talaka yake. Zaylissa amesema ataandaa sherehe hiyo atakayoipa jina la 'Usiku wa Talaka' kwani...
  5. Synonyms MP

    JamiiForums Tanzania DP- DEMOCRATIC PARTY ni Chama Kizuri Sana Cha Mtikila

    Kama CHADEMA mtakataa kuwa tawi la CCM basi DP (Chama Cha Demokrasia) kitawafaa sana au njooni CCM, Mbowe aendelee tu na SACCOS yake. Haya ndio majibizano kati ya Mwanachadema na MwanaCCM wakiwa njiani wakitembea kwa Miguu. Asanteni.
  6. D

    JamiiForums Tanzania Nimefika state ya furaha yangu haitaji mtu yeyote Yule . Nashindwa kuona . Na party sana

    I will be short Any way very late 20s . Sina mtoto sina Mchumba , Ila na pisi Kama 3000 hivi . Any way nilijikubali kuwa furaha yangu is my own kitambo sana . Yani hata Dunia nzima mpotee mda huu Mimi fresh tu . Issue living with these women . Mimi nimeshindwa maana Sina unhappy...
  7. britanicca

    JamiiForums Tanzania Dr lwaitama CHADEMA Election fraud is far more consequential &criminal than that of the ruling party

    Kupitia ukurasa wa X wa Jamaa anayeitwa Dr lwaitama kaandika kuwa “CHADEMA Election fraud is far more consequential &criminal than that of CCM,one of elites commented on our views on 2020 Election,that “were lies and preemptive unsubstantiated allegations of voting fraud because it riped off...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kemi Badenock Mdada wa Kiingereza ambaye Wazazi wake walitokea Nigeria aweka Historia kuwa Mwafrika wa Kwanza Kuongoza Chama cha Conservatives UK

    Jina lake kamili ni Olukemi Olufunto Adegoke; alizaliwa Uingereza (Jan 2, 1980)na Wazazi wake ambao ni Wanaigeria wakiwa Uingereza walikoishi kwa muda mfupi. Jina la Badenock ni la Ukoo wa Mumewe. Maisha yake mpaka anafikia miaka 16 yalikuwa nchini Nigeria. na baada ya miaka 16 Kemi alirudi...
  9. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Diddy Parties: Zilikuwa za aina 3, Diddy Party, Diddy AfterParty na Diddy AfterAfterParty.

    Noma sana. Kwa majina mengine zilikuwa zinaitwa Modest Get-Togethers au Hedonistic Romps
  10. President of China

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wote wanajua kwamba CCM is the best political party in Africa

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama tawala nchini Tanzania na ni moja ya vyama vya kisiasa vilivyodumu kwa muda mrefu barani Afrika. CCM ilianzishwa mwaka 1977 baada ya kuunganishwa kwa vyama viwili, Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP), ambavyo vilikuwa vikifanya...
  11. Mi mi

    JamiiForums Tanzania POLITICAL PARTY OR GANG OF KILLERS?

    Nakumbuka enzi hizo Uchina wakati wa cultural revolution miaka ya 60s mpaka 70s liliibuka genge la mtu nne likiongozwa na mke wa Mao Zedong aitwae Jiang Qing. Genge hili lilijitwalia madaraka ya nguvu ndani ya chama cha kikomunisti cha China liliakikisha lina shughulikia kila mtu aliye kinyume...
  12. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Will this happen in Tanganyika under the CCM party? Labuda.

  13. Abubakari Mussa

    JamiiForums Tanzania JBL party box mwamba wa muziki mnene

    Mdau , leo nakutupia hii apa Wewe unapenda mziki mkubwa? Chukua hili dudeee Hutojutiaaa Swipe kulia kuona video 👉🏽 JBL boom box 2 - 1,200,000/= JBL party box 310 - 1,650,000/= JBL party box 710 - 2,200,000/= Tupigie au whasapp - 0692690033 Tupo kariakoo mtaa wa aggrey...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Deputy Chief of Party at JSI April, 2024

    Job Title: Deputy Chief of Party Application Deadline: Apr 30,2024 Position Type: Full-time Position Category: Local hire, paid in-country Company/Division/Subdivision: JSI – Local Hire Location: Dar es Salaam, Tanzania Salary: Commensurate with experience Starting Date: Oct 1,2024 JOB...
  15. Elevenn

    JamiiForums Tanzania Mapenzi hayafai ikiwa ni mtu moja anajuhudi zaidi ya mwengine

    Hii mada ni complex kidogo. Hivi kama mapenzi ni kati ya watu wawili me na ke, how come kwenye jamii ionekane kama mwanaume ndo kampenda mwanamke? kuna utaratibu kwamba mwanaume ndo anatakiwa achumbie which is true manaume ndo anatakiwa a make first move.... ila hii ni kama vile tunawapa nguvu...
  16. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania All white JF PARTY 2024 ni nani yupo tayari?

    Wanabody hili ni wazo kwakuwa hili liliwai kufanyika miaka ya 2013-14 na liwa na mafanikio makubwa sana nakumbuka lilifanyika pale Kebby'es na nyingine ikafanyika Escape one. Namimi nikiwa moja ya hile kamati! Na kwakuwa imepita muda mrefu basi tunaleta wazo kwenu ili anagalau tukutane...
  17. J

    JamiiForums Tanzania The Flop of Tanzania's Chadema Party Public Demonstrations: A Detailed Assessment of the Political Landscape

    The Flop of Tanzania's Chadema Party Public Demonstrations: A Detailed Assessment of the Political Landscape Mmusi Mosimane Nthuli Today January 24th 2024, a pivotal political episode unfolded in Tanzania when Chadema, a significant opposition party, staged public demonstrations. Intended as a...
  18. mabutu1835

    JamiiForums Tanzania Nilichijifunza royal engagement party

    Nilichojifunza tukio la royal engagement party 1: Mwanzo mwisho sauti na vinasa sauti vilikuwa na changamoto. 2: Pamoja na mapambo mazuri ya ukumbini, waalikwa walikuwa wamepoa sana kama walikuwa wamemwagiwa maji. 3: Bw. Haji kama vile alikuwa amelenga maokoto zaidi kutoka kwa waalikwa. 4: Bw...
  19. F

    JamiiForums Tanzania Misiba ya watu wa Kaskazini hugeuka kuwa bonge la party mara tu baada ya watu kuzika!

    Nimeshuhudia misiba mingi ya watu wa kaskazini mwa nchi hii. Kama safari inaanzia Dar, basi safari hiyo hugeuka kuwa tour kwa baadhi yao hasa wale wasindikizaji wasiokuwa na uhusiano wa moja kwa moja na wafiwa. Utakuta watu wapejipachika na vistarehesha kibao, ndani ya magari kumesheheni vilevi...
  20. R-K-O

    JamiiForums Tanzania Boss wa GSM tajiri asie na maneno amfanyia mkewe birthday party nyumbani, haya ndiyo yaliyojiri

    sikukuu ya kuzaliwa MKE wa Tajiri wa makampuni ya GSM na Mdahamini Mkuu wa Klabu ya Yanga Birthday iilihudhuriwa na wanafamilia / ndugu wa karibu. Maua ni mengi sana yenye kuvutia, itakuwa yaliletwa na kontena mbili zawadi zenye brand kubwa na orignal, mambo ya christian Dior, dolce &...
Back
Top Bottom