Mbona kimya ghafla? Nini tatizo wandungu?
Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani.
Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa.
UMOJA party kinawanachama kabla ya kusajiliwa, ni chama...
Only those of us who truly knew him will remember him as being the sadist he was. A power-hungry man who was willing to shoot his own fellow soldiers to gain power. A man willing to play with the hunger of the poor to gain support and ultimately power. A man willing to turn half a country into...
Democrats have retained the Senate – doing no worse than holding steady at 50 seats and potentially gaining one – and look likely to keep any net losses in the House in the single digits.
Midterms are supposed to be the time for the opposition party to shine. That should especially be the case...
Wataibuka matapeli wa kuchangisha michango ya kila namna.
Kwa kisingizio cha kujenga chama na ofisi makao makuu.
Huko Twita itakuwa ni upuuzi uliotamalaki kuhamasisha nonsensical ideas.
Maandamano ya kuunga maazimio yatakuwa hayakatiki. Watu hawatafanya kazi.
Polical chaos will emerge. Hawa...
Chama cha Umoja Party ambacho ndio kilikuwa chama cha kutetea legecy ya Jemedari Hayati Magufuli kimekataliwa kupewa usajili licha ya kuwa na vigezo vyote
Ni dhahiri serikali ya sasa inaogopa nguvu ambayo chama hiki kingekuwa nayo na kingeitoa CCM madarakani
Sasa kwa kuwa chama cha TLP...
Baada ya katiba mpya kupatikana hiki ni Moja ya chama kitakacho sajiliwa kikiwa na dhamira njema ya kurudisha nguvu ya umma kwenye rasilimali zetu yaani wananchi wapate gawio la Moja KWA Moja la rasilimali zao kupitia akaunti za Benki na simu zao.
Wadau wa uchumi mnadhani ndoto hiyo inaweza...
Opportunity Summary
Abt Associates seeks a qualified Chief of Party a health facility electrification (HFE) and telecommunication activity. The activity will advance sub-Saharan Africa’s goals to improve the health and well-being of communities by drawing on private sector capacity and...
Overview
Location: To be determined , Tanzania
Please Note: This position is contingent upon award and USAID approval with an anticipated start date of early or mid-2023.
Overview:
Global Communities works at the intersection of humanitarian assistance, sustainable development, and financial...
Karibu ujipatie sandwich tamu kabisa kwa ajili ya nyumbani, sherehe, harusi na kazini. Tunachukua orders ya mapishi pia kwa ajili ya snacks za aina zote.
Umesahau wewe kama mtanzania ulishuhudia pesa nyingi za walipa kodi na Watanzania wanyonge zilikuwa zinaliwa na mafisadi wa CCM?
Ila kuna Kiongozi alikuja akawabana na hao mafisadi na akafanyiwa fitina kubwa.
Watanzania wanahitaji chama ambacho kitalinda rasilimali zao na kutetea maslahi ya...
How comes a party with over 25 years in the game falls short to make mere predictions of some events that may harm their political journey?
A week ago the court ruled in favour of CHADEMA when it scrapped objections Halima and 18 special seat MPs. After the court's rule CHADEMA lawyers and...
Nimeona hiki kichwa cha habari kidogo kikanistua, yaani Nchi ya China ijenge Chuo kwa vyama tawala kufundisha siasa ya uongozi wa kikommunist? Sasa hapa upinzani upo wapi? Democracy si ndiyo inakufa? Ukoloni wa pili?
Hivi position ya Afrika kujitawala yenyewe bado ipo?
China’s political party...
Wakuu msaada kuna hela nilikuwa nimetunza kwa ajili ya kununua kiwanja lakini baada ya kufanya tathmini ya kina nikaona nitakuwa nimwfanya kitu Cha kitoto hasa ikizingatiwa hapa duniani tunapita tu, sisi hapa duniani ni wasafiri.
Msaada nataka kujua Gharama ya kukodi boti hapo mjini kwa ajili...
It is an absurd and inconceivable by all democracy lovers to see how the office of registrar of political parties meddles and reacts to hooliganism going on in NCCR-MAGEUZI. Instead of mitigating the conflicts in the party, this office has fueled anger and facilitated deep divisions.
Why this...
Nasikia watafunguka mengi. Na hawa ndio wataweka mambo hadharani
👇
1. Job Ndugai huyu atafunguka mengi maana inasadikika namna alivyog'olewa ni sababu alitaka kuleta kauzibe kwa wapiga madili.
2. Luhaga Mpina huyu atafunguka mengi sana huko mbeleni na hali ya hewa itachafuka.
3. Dk . Bashiru...
Ni kawaida kukuta reservation kwenye mabar, ma pub na maeneo mengi mashuhuri. Hawa wanaokutana as if ni jambo la maana Sana hivi mdg zangu wanachangia au Ndio mambo ya kifahari.
Naenda Zang maeneo nakuta Kuna reservation imewekwa🧐💅💅baada ya Muda naona mabox ya keki yakiingia. Ukiuliza ni nn eti...
Huu ndio utabiri wangu kwa wale wabunge waliovuliwa uanachama na Baraza Kuu la CHADEMA.
Hata hivyo, Mama kupitia washauri wake, anaweza kuwapa baadhi yao nafaai za uteuzi serikalini hasa Mdee wakiamini kufanya hivyo ni kuwakomoa CHADEMA wakati ni kuwamaliza kabisa kisiasa wanawake hawa.
Muda...
Salaam Wakuu,
Chama kipya cha Siasa kinachoitwa Umoja Party, inasemekana ni chama kinachofuata, Uongozi wa Hayati Magufuli. Inasemekana Vigogo wengi wa CCM wapo nyuma ya hiki chama.
Wafuasi wengi wa Umoja Party wanadai Rais Samia hafanyi kazi kama Magufuli, na Watu Magufuli aliowaamin kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.