Uhusiano wangu na baba yangu party 2.

Choosen85

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
563
1,364
Wakuu mmebarikiwa sana.

Leo taeleza upande mwingine kuhusu mama yangu na ma mdogo na ndugu wa mzee kisha mtaunganisha na ule uzi mwingne wa kwanza maana pengne kuna watu humu wanakurupuka kunilaumu tu.

UPANDE WA MAMA: tulizaliwa watatu mimi na wadogo zng wawili, kifupi nijisemee mimi bnafs japo tawagusia madogo kdogo, skulelewa na mama kbs ila na shangazi yangu tu ambaye ndiye nilikuwa najua ni mama yng mpk namaliza darasa la 7 nilikuwa namuita mama nikiamini ndiye mama yng, kuna sku moja ulitokea msiba kijijin nikasafiri na aunt mpk uko na uko pia ndo nyumban kwao na mama yng nakumbuka tulishuka mahali fulan bila aunt kuniambia kwmb tunapoenda ni kwa mama yng, tukiwa tunatembea mimi mbele aunt nyuma, nilipshana njian na mama mmoja akiwa anatembea haraka kumlaki aunt aisee stasahau kwmb si mimi wala mama yng aliyekuwa anamjua mwenzie aunt ndo akamwambia umemuona mwanao akashtuka yuko wp akaonyeshwa mimi ilishangaza sn sn.
Inshu ni kwmb mama alimsusa mzee mpk na watoto na mpk leo hatujui nini kilitokea si baba wala mama waliowahi kueleza kinagaiubaga nn kilitokea.
Ila mama ukiongea naye ana watuhumu wifi zake ndo walifanya mipango ya mapnduz aliporud wkt ameenda kujfungua akakuta amepnduliwa na dada wa kazi.
Na hawapend kbs ndugu zake na mzee hasa wifi zake tuhuma ni nyng sn sina haja ya kuzieleza humu mpk na ushirikina umo.

KUHUSU NDUGU WA MZEE: hasa ma aunt kwa kifupi kuna namna naanza kuamini uwenda kweli walichakata mipango ya kumpndua mama, kwan aunt aliyenilea kuna kauli aliwahi zisema zlinishangaza sn moja wpo aliwai nambia nikienda kwa baba yng ole wng nisababshe eti mzee aachane na ma mdogo nilishangaa sn kwn hata skuwa na mpango huo, lakin pia ni kama kuna mipango waliifanya kuhakiksha mi natengana na mzee wng kwaajili ya maslahi ya yule mtu waliyemuweka pale maana waliamin mimi takuwa tishio kwa ma mdogo ukzngatia mi na mzee tulikuwa wamoja sn na mipango mingi mzee alikuwa aknishriksha kuliko ma mdogo kfupi nilikuwa naskilizwa sn na mzee na alikuwa ananiamini sn mpk nikawa tishio kwa ndugu zake ukzngatia mzee kabla hajastaafu ndugu zake wengi walikuwa wanamtegemea na miongon mwao ndo aunt zng. Weng hawakupenda kuona nakuwa na nguvu wakiamin mzee hatowaskiliza tena kama zaman zaid yangu mimi.
Kwaiyo scenario kubwa sn hapo katikati mpk mzee kuwa hivi kuna watu wanafaidika na mgogoro huu na hawataki uishe kbs japo mdomon wanataka uishe.
Hata wadogo zng mpk leo hawaamin kimetokea nn mpk mi kupshana na mzee.
Nadhan mmepata pcha kdogo.

KUHUSU MA MDOGO: kwa mujbu wa maelezo ya baadhi ya ndugu na mama yng ni kwmb ma mdogo alikuwa dada wa kaz ambaye alifanyiwa mipango ya kupewa mji wkt mama akiwa yuko kwao ameenda kujfungua akakuta mji umekamatwa na dada wa kaz na anapewa nguvu na dada zake na mzee. Kfupi mama aliamua kuondoka kwake na kurud kwao sjui kuna nguvu gn ilimsukuma kuondoka easy ivyo bila hata sent 5 akarud kijijin bt inasemekanampk ushrikina ulitumika kumpa huo msukumo wa kususa mpk watoto wake.
KUHUSU KUOMBA MSAMAHA: kwanza mimi spo tyr kwenda kusujudia kaburi eti naomba msamaha kwa maiti. Ukzngati bibi mwnyw mpk anafariki hakuwai kuunga mkono msimamo wa mzee kwaiyo alikuwa upande wangu mara mwsho kukukaa nae akiwepo na mzee bibi alihoji shda iko wp mzee alisema mbele ya mama ake hakuna tatzo kbs ingawa kwa jcho la 3 ni kama ma mdogo hakuwa anapenda. Msamaha nliomba wa magoti na machoz mpk wadogo zng walilia wadogo upande wa mama yng na ma mdogo maana nao hawaungi mkono mgogoro huu wananielewa na kunikubali. Na ndo maana hata mzee alianza kuwapanga wanitenge maana mzee anaijua nguvu niliyonayo kwa madogo mpk leo pamoja na mzee kujaribu kuniachanisha nao si madogo wa ma mdogo wala wa mama yng.
Baada ya msiba wa bibi nlienda kwa mzee ndan ya mwez huohuo kuzungumza naye ajabu akageuka tena na kuleta masharti mapya ambayo nimeyaeleza awali bnafs siwez abadan kwenda kusujudia kabuli siwez siwez, khs hao ndugu zake alisema hao nlishazungumza nao sn wala hawana shda ingawa nao ni chanzo cha mgogoro huu maana una maslahi kwao. Hata madogo waliwainambia hawa ma aunt hawa nisiwaamin kwan nao ni tatzo kubwa sn kwny mgogoro huu niwe makini.

Haya wakuu mpk hapo bdo mnasemaje sasa nawaskiliza.
 
pambana tafuta pesa,,,utafika wakati wewe ndio utatafutwa...cha msingi achana na mambo yasio na tija itafute pesa mpaka ipatikane...utashangaa unatafutwa na baba yako na ndugo wengine
 
Hapa duniani hakuna msamaha ndugu yangu, binadamu hatusamehe tunapuuza tu kwa muda, najua unaamini ulivyovifanya kwa baba yako vyote ni vizuri na hulioni kosa ulilomfanyia, ipo ivi mfanya jambo huwa anaamini anafanya jambo sahihi ila yule anayefanyiwa hilo jambo anatafusiri vipi ilo jambo unalomfanyia ndo shida inapokuja

Baba yako kuna kitu ulimfanyia wewe ukaamini unafanya jambo sahihi lakini yeye akatafsir ni kosa kwake kwa mfano kukwambia soma upolis ukakataa huenda yeye alichukulia serious issue sana sina hakika lakini

Kuhusu mama yako kuna sehemu alikuwa na matatizo ambalo kwako unaweza ona si tatizo ila baba yako alitafusiri kama ni tatizo ndo mana hakuona shida kumpoteza zingatia hili hakuna mtu anayekimbia raha usiwafikirie vibaya hao ndugu zako huenda naye mama yako alikuwa anafanya mambo ambayo hawayapendi kwa mfano umesema ndugu wa baba yako walikuwa wanamtegemea huenda mama yako alikuwa hapendi hilo (asili ya binadamu) na kuona ndugu za baba yako ni mzigo na kumgombeza na nduguzo wakaligundua hilo lazma wamfanyie figisu tu ndugu

Mpaka leo ukimuuliza baba / mama yako nini chazo cha kutengana kila mtu atatengeneza sentensi zinamuweka yeye mwema

Turudi maelewano ya baba yako kosa kubwa lilofanyika ni ndugu zako kusema uombe msamaha, hapa duniani hakuna msamaha ndugu yangu, siraha kubwa hata kama umekosea ni kujifanyisha na wewe huelewi kosa afu muendelee kuishi maisha ya kawaida ukiona hayo maisha ya kawaida nayo hayapo ondoka kwenye maisha yake. kuomba msamaha ni sawa na kuiweka mbuzi kwenye zizi la simba alieshiba akisikia njaa tu atamla

Nina msemo wangu mtenda kosa husamehe (hujisamehe) ila mtendwa kosa hasamehe kamwe anaishi nalo na mahusiano huwa hayarudi kama mwanzo

Hayo masharti anayokupa baba yako sio mzuri kiufupi. baba mzuri ni yule anayeficha madhaifu ya mtoto kwa ndunguzo ambaye yatafanya ndugu zake wamuone mtoto mbaya

Ushauri wangu endelea na maisha ishi vizuri na hao ndugu zako wanaothamini uwepo wako (huyo baba yako achana naye kwenye maisha ya kawaida akipatwa na tatizo usimtenge hata kama yeye atakutenga?. matatizo yakitokea kwao au ndugu zake nenda acha kujishobokesha kwake huyo sio mtu mzuri kwako nasisitiza tena ishi na nduguzo vizuri

Ni mimi marehemu mtarajiwa Folk Part II
 
Mkuu we ishi tu a familia yako kama mzee anazngua achana nae mana mitaani wapo vijana wengi wapuuzi ila nao wanazeeka
 
Hapa duniani hakuna msamaha ndugu yangu, binadamu hatusamehe tunapuuza tu kwa muda, najua unaamini ulivyovifanya kwa baba yako vyote ni vizuri na hulioni kosa ulilomfanyia, ipo ivi mfanya jambo huwa anaamini anafanya jambo sahihi ila yule anayefanyiwa hilo jambo anatafusiri vipi ilo jambo unalomfanyia ndo shida inapokuja

Baba yako kuna kitu ulimfanyia wewe ukaamini unafanya jambo sahihi lakini yeye akatafsir ni kosa kwake kwa mfano kukwambia soma upolis ukakataa huenda yeye alichukulia serious issue sana sina hakika lakini

Kuhusu mama yako kuna sehemu alikuwa na matatizo ambalo kwako unaweza ona si tatizo ila baba yako alitafusiri kama ni tatizo ndo mana hakuona shida kumpoteza zingatia hili hakuna mtu anayekimbia raha usiwafikirie vibaya hao ndugu zako huenda naye mama yako alikuwa anafanya mambo ambayo hawayapendi kwa mfano umesema ndugu wa baba yako walikuwa wanamtegemea huenda mama yako alikuwa hapendi hilo (asili ya binadamu) na kuona ndugu za baba yako ni mzigo na kumgombeza na nduguzo wakaligundua hilo lazma wamfanyie figisu tu ndugu

Mpaka leo ukimuuliza baba / mama yako nini chazo cha kutengana kila mtu atatengeneza sentensi zinamuweka yeye mwema

Turudi maelewano ya baba yako kosa kubwa lilofanyika ni ndugu zako kusema uombe msamaha, hapa duniani hakuna msamaha ndugu yangu, siraha kubwa hata kama umekosea ni kujifanyisha na wewe huelewi kosa afu muendelee kuishi maisha ya kawaida ukiona hayo maisha ya kawaida nayo hayapo ondoka kwenye maisha yake. kuomba msamaha ni sawa na kuiweka mbuzi kwenye zizi la simba alieshiba akisikia njaa tu atamla

Nina msemo wangu mtenda kosa husamehe (hujisamehe) ila mtendwa kosa hasamehe kamwe anaishi nalo na mahusiano huwa hayarudi kama mwanzo

Hayo masharti anayokupa baba yako sio mzuri kiufupi. baba mzuri ni yule anayeficha madhaifu ya mtoto kwa ndunguzo ambaye yatafanya ndugu zake wamuone mtoto mbaya

Ushauri wangu endelea na maisha ishi vizuri na hao ndugu zako wanaothamini uwepo wako (huyo baba yako achana naye kwenye maisha ya kawaida akipatwa na tatizo usimtenge hata kama yeye atakutenga?. matatizo yakitokea kwao au ndugu zake nenda acha kujishobokesha kwake huyo sio mtu mzuri kwako nasisitiza tena ishi na nduguzo vizuri

Ni mimi marehemu mtarajiwa Folk Part II
nimepokea
 
Una kazi au umejiajiri?, tafuta hela angalau uendeshe tako la nyani na uwe vijihela vya hapa na pale ndo utawajua hao ma aunt na huyo Mamdogo vizuri . Ukute hapo tuu tayari washazima nyota yako usifanikiwe fanya ufunge , sali, oga maji ya chumvi ya mawe siku 21 na vikolombwezo vingine achana na Habari za watu waliokununia kwa hiyari zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom