Misiba ya watu wa Kaskazini hugeuka kuwa bonge la party mara tu baada ya watu kuzika!

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,824
18,568
Nimeshuhudia misiba mingi ya watu wa kaskazini mwa nchi hii. Kama safari inaanzia Dar, basi safari hiyo hugeuka kuwa tour kwa baadhi yao hasa wale wasindikizaji wasiokuwa na uhusiano wa moja kwa moja na wafiwa.

Utakuta watu wapejipachika na vistarehesha kibao, ndani ya magari kumesheheni vilevi na vitu vinginevyo.

Siku hizi Njia Panda ya Himo huko Moshi ndio mahali pa kutia break wanapofika Moshi kabla ya kukucha vizuri watu huweka kambi pale ili waingie msibani baada ya kupambazuka. Pale Njia Panda club za starehe hufurika waombolezaji walioamua kugeuza msiba wao kuwa starehe, watu wanapotezea vibaya pale, hawataki simanzi hata moja. Watu hawa humwagilia mioyo yao bila kujali ni saa kumi na moja asubuhi ilhali tu wawe freshi. Na wengine huruka majoka na vibenteni vya pale usiku kucha!

Wakiingia msibani huko milimani utawaona tu nyuso zao, utafikiri wameleta harusi nyumbani!

Huzuni huwa ni kwa sekunde chache tu pale marehemu anapopumzishwa na kurudishwa mavumbini. Sekunde chache baada ya hapo watu wanapiga cheeers!!! Wanavunja vyupa!

Ni mwendo wa kumwagilia na kama msiba ni wa kitajiri ndio usiseme, watu huagiza kama wapo Copa Cabana na wengine hujisahau kama wapo kwenye msiba na hata kuanza kucheza nyimbo za kwaya msibani kwa raha zao! Kweli msiba ni wa wafiwa tu na sio wasindikizaji!
 
Hakuna misiba mibaya kama ya mafukara unakuta uji wa chumvi tena kakikombe kadogo choo Cha shimo passport size unakuta mamvua yananyesha hata pa kujisitiri hakuna na baadae ya kumsitiri marehem Kila mtu husepa nakuachwa wanafamilia tu na ndugu kiduchu wakinyang'anyana vitonge vya ugali kisamvu afu unakuta alefariki ndiye mtafutaji mkuu hata mambo yasikie tu Kwa jirani
 
Nimeshuhudia misiba mingi ya watu wa kaskazini mwa nchi hii. Kama safari inaanzia Dar, basi safari hiyo hugeuka kuwa tour kwa baadhi yao hasa wale wasindikizaji wasiokuwa na uhusiano wa moja kwa moja na wafiwa.

Utakuta watu wapejipachika na vistarehesha kibao, ndani ya magari kumesheheni vilevi na vitu vinginevyo.

Siku hizi Njia Panda ya Himo huko Moshi ndio mahali pa kutia break wanapofika Moshi kabla ya kukucha vizuri watu huweka kambi pale ili waingie msibani baada ya kupambazuka. Pale Njia Panda club za starehe hufurika waombolezaji walioamua kugeuza msiba wao kuwa starehe, watu wanapotezea vibaya pale, hawataki simanzi hata moja. Watu hawa humwagilia mioyo yao bila kujali ni saa kumi na moja asubuhi ilhali tu wawe freshi. Na wengine huruka majoka na vibenteni vya pale usiku kucha!

Wakiingia msibani huko milimani utawaona tu nyuso zao, utafikiri wameleta harusi nyumbani!

Huzuni huwa ni kwa sekunde chache tu pale marehemu anapopumzishwa na kurudishwa mavumbini. Sekunde chache baada ya hapo watu wanapiga cheeers!!! Wanavunja vyupa!

Ni mwendo wa kumwagilia na kama msiba ni wa kitajiri ndio usiseme, watu huagiza kama wapo Copa Cabana na wengine hujisahau kama wapo kwenye msiba na hata kuanza kucheza nyimbo za kwaya msibani kwa raha zao! Kweli msiba ni wa wafiwa tu na sio wasindikizaji!
Kifo ni harusi yako ya mwisho, watu husherehekea kuwa umemaliza mwendo wako salama.
 
Nimeshuhudia misiba mingi ya watu wa kaskazini mwa nchi hii. Kama safari inaanzia Dar, basi safari hiyo hugeuka kuwa tour kwa baadhi yao hasa wale wasindikizaji wasiokuwa na uhusiano wa moja kwa moja na wafiwa.

Utakuta watu wapejipachika na vistarehesha kibao, ndani ya magari kumesheheni vilevi na vitu vinginevyo.

Siku hizi Njia Panda ya Himo huko Moshi ndio mahali pa kutia break wanapofika Moshi kabla ya kukucha vizuri watu huweka kambi pale ili waingie msibani baada ya kupambazuka. Pale Njia Panda club za starehe hufurika waombolezaji walioamua kugeuza msiba wao kuwa starehe, watu wanapotezea vibaya pale, hawataki simanzi hata moja. Watu hawa humwagilia mioyo yao bila kujali ni saa kumi na moja asubuhi ilhali tu wawe freshi. Na wengine huruka majoka na vibenteni vya pale usiku kucha!

Wakiingia msibani huko milimani utawaona tu nyuso zao, utafikiri wameleta harusi nyumbani!

Huzuni huwa ni kwa sekunde chache tu pale marehemu anapopumzishwa na kurudishwa mavumbini. Sekunde chache baada ya hapo watu wanapiga cheeers!!! Wanavunja vyupa!

Ni mwendo wa kumwagilia na kama msiba ni wa kitajiri ndio usiseme, watu huagiza kama wapo Copa Cabana na wengine hujisahau kama wapo kwenye msiba na hata kuanza kucheza nyimbo za kwaya msibani kwa raha zao! Kweli msiba ni wa wafiwa tu na sio wasindikizaji!
Unapajua Mombo pale panaliwa mbuzi, magari yamejipanga na viroba kilevi kinatandikwa hadi alfajiri wakwenda Lushoto, upareni na uchagani wanatawanyika ni full shangwe.
 
Unapajua Mombo pale panaliwa mbuzi, magari yamejipanga na viroba kilevi kinatandikwa hadi alfajiri wakwenda Lushoto, upareni na uchagani wanatawanyika ni full shangwe.
Hatari pale magari yote ya misiba yana pack pale ni bata mpaka saa 10 alfajiri wanaopanda milima wanapanda wanaoenda uparen na mosh wanatawanyika
 
Hakuna misiba mibaya kama ya mafukara unakuta uji wa chumvi tena kakikombe kadogo choo Cha shimo passport size unakuta mamvua yananyesha hata pa kujisitiri hakuna na baadae ya kumsitiri marehem Kila mtu husepa nakuachwa wanafamilia tu na ndugu kiduchu wakinyang'anyana vitonge vya ugali kisamvu afu unakuta alefariki ndiye mtafutaji mkuu hata mambo yasikie tu Kwa jirani
Daaaah
 
Acha watu wale maisha tu kila inapowekezakana, maana muda wenyewe wa kuishi ni mfupi na dunia ina changamoto lukuki! 😄
 
Back
Top Bottom