Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 887
- 2,201
Kinachoendelea kwa Serikali ya CCM na CCM yenyewe ni mwendo wa maridhiano ili nchi itulie kila anayekula na kipofu asiguswe mkono.
Kama hiyo ndiyo njia muafaka iliyochaguliwa basi hakuna haja ya kujenga chuki na waasisi wa Umoja Party inayoendelea nchini kutafuta wadhamini Ili hatimaye kipate usajili wa kudumu.
Chama hiki kina watu wenye fedha, wenye akili, wenye maono waliojaa kila mahali ikiwemo Baraza lako la Mawaziri. Kiko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, nyumba za ibada, mabalozi nakadhalika. Kinaamini katika Fikra za Hayati Magufuli.
Kwa mipango Yao, mikakati Yao ni kwamba utatumia nguvu nyingi 2025 kushinda Uchaguzi. JK kakushauri uungane na Chadema ili kuepusha chama hiki kuja kuungana na Chadema maana wako ndani CCM. Lakini ushauri wangu Bora kufanya maridhiano na Umoja Party kuliko wapinzani njaa ambao bila asali msingefunga ndoa hiyo maana Umoja Party tayari wana asali ya kutosha. Tafakari, chukua hatua kungali mapema.
Kama hiyo ndiyo njia muafaka iliyochaguliwa basi hakuna haja ya kujenga chuki na waasisi wa Umoja Party inayoendelea nchini kutafuta wadhamini Ili hatimaye kipate usajili wa kudumu.
Chama hiki kina watu wenye fedha, wenye akili, wenye maono waliojaa kila mahali ikiwemo Baraza lako la Mawaziri. Kiko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, nyumba za ibada, mabalozi nakadhalika. Kinaamini katika Fikra za Hayati Magufuli.
Kwa mipango Yao, mikakati Yao ni kwamba utatumia nguvu nyingi 2025 kushinda Uchaguzi. JK kakushauri uungane na Chadema ili kuepusha chama hiki kuja kuungana na Chadema maana wako ndani CCM. Lakini ushauri wangu Bora kufanya maridhiano na Umoja Party kuliko wapinzani njaa ambao bila asali msingefunga ndoa hiyo maana Umoja Party tayari wana asali ya kutosha. Tafakari, chukua hatua kungali mapema.