Salaam!
Najua umuhimu wa press yako sawa. Ila kwa tamaduni zetu watanzania, pakitokea msiba, huwa tunaacha mambo mengine, tunaomboleza kwanza.
Tusizidiwe maarifa na wadudu, sisimizi, dudumizi, mchwa nk nk.
Umelala Job, pole kwa family.
Nawasilisha π