NYUMBA INAUZWA - MILION 200.
CHAMAZI, TEMEKE, DSM
Simu/WhatsApp: 0744 993 715
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
SIFA ZA NYUMBA KUBWA.
✅Vyumba 4 vya kulala – Vyote ni master bedroom (Vyoo vyake ni vipyaa, unavifungua wewe)
✅Sebule kubwa ya kisasa
✅Dining room.
✅Jiko la kisasa
✅Choo cha wageni (public toilet)...
HII DESIGN INA;
1. ENTRACE LOBBY TO LOUNGE ,DINNING, OPEN KITCHEN WITH STORE AND LAUNDRY
2. 4BEDROOMS (WITH CLOSET),ALL SELF AND MASTER BEDROOM HAVE RELAXATION PATIO
SISI TUNAHUSIKA NA UJENZI + DESIGN + USHAURI
CALL/WHATSAP +255624004650 TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
Kijana wa miaka 30+ kukosa kumiliki chombo cha usafiri, nyumba au kipato chako kwa siku ni chini ya elfu 30 ni aibu kubwa mno
Ukivuka 30 hutoitwa kijana tena bali utaitwa mzee wa makamo na nguvu za utafutaji zitakuwa zinaelekea ukingoni.
Unakuta mtu ana miaka 35 na zaidi ila anaishi maisha ya...
Nyumba Inauzwa Goba.
Mahali: Goba Kwa Robert.
Sifa za Nyumba:
*Ni nyumba mpya anakaa mlinzi tuu.
*Ina vyumba vinne vikubwa, kila chumba kina choo chake. *Ina Spanish tiles.
*Madirisha ni pvc.
*Ina fence(uzio).
*Ina vyoo(toilets)5.
*Umeme na maji yapo.
Ukubwa wa Eneo(Size): SQM 880...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepiga marufuku shule ambazo zilo ndani ya nyumba (skuli nyumba) na kuwataka wamiliki kujenga majengo yanayokidhi utoaji wa huduma kwa wanafunzi wao
Akizungumza na Walimu katika Mkutano Mkuu wa tisa wa Chama cha Walimu Zanzibar (ZATU) katika Ukumbi wa Taasisi...
Wakazi wa familia zaidi ya 700 wa Udindivu, Mtaa wa Kizimkazi, wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani, wamefungua kesi ya madai katika Mahakama ya Wilaya ya Bagamoyo wakidai kubomolewa nyumba zao bila kufuata taratibu za kisheria.
Wananchi hao wanasema hatua hiyo imewaacha bila makazi, huku baadhi...
Habarini ndugu.
Sisi tumezaliwa wa5 ke4 me1 na wote tuna miaka 40+
Baba yetu alifariki 89 aliacha mali chache ikiwemo nyumba iliyopo katikati ya mji, nyumba hiyo baba aliinunua ila aliandika jina la mama kwakuwa alishtakiwa kwa kesi ya uhujumu uchumi hivyo alifanya hivyo ili kuinusuru...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Kijamii (CCK), David Daud Mwajojele, amewasili katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Njedengwa, Jijini Dodoma, akiwa ameambatana na mgombea wake mwenza, kwa ajili ya kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi ya Rais na...
Je, ulishawahi kujiuliza msichana wenu wa kazi wa kipindi hiko yuko wapi na anafanya nini?
Habari zenu wapendwa wana Jf na guests mnaosoma kimya kimya.
Ulishawahi kujiuliza hili swali?
Yuko wapi,
Yu hai au alifariki?
Je, kama ana watoto....huwa anakuja kuwatembelea siku moja moja?
Najua wengi...
NYUMBA INAUZWA NA BENKI
--------------------------
Benki ya Access Bank ambayo kwa sasa inafahamika kwa jina la Selcom Bank inauza nyumba ya Mteja wao kwa makubaliano maalum ili kuweza kufidia mkopo:
🇹🇿 NYUMBA IPO CHANIKA KIMWANI
📜 UMILIKI: TITLE DEED (HATI)
💼 BEI : 29m (Bei...
HOUSE FOR SALE
Location: Mbweni JKT Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,860 Umiliki: Hati miliki ipo, eneo lina hati mbili-eneo moja limejengwa jingine lipo wazi.
💰 Bei: TZS Bilioni 1 kwa hati zote mbili
Sifa za Nyumba:
#Vyumba 4 vyote ni master bedrooms (vina makabati)
#Balcony mbili
Sea View...
barabara
barabara ya lami
bei
billion
daressalaam
house
house for sale
kutoka
kwanza
lami
mbweni
mpya
new
nyumbanyumba inauzwa
property
tanzania
tanzania properties
tanzania realestate
zanzibar realestate
Wadau, nikiwa na milion 60 mbezi mwisho au kibaha baada ya mbezi naweza jenga nyumba yenye chumba n seble yenye vyumba nane,kiwanja bei pembeni. Nisaidieni mawazo wakuu
Tunatia aibu kwakweli unaona kabisa mtu mzima amesoma lakini bado anashangaa nyumba za watu kwa kulalamika as if amekatazwa naye kujenga nyumba Kama hyo anayoishangaa, hebu vitu Vingine acheni viwapite.
Eti oooh! Marehemu kaacha nyumba kubwa Sana, ww inakuhusu Nini? Eti oooh siasa inalipa kwani...
#houseforsale
Nyumba ya gorofa tatu
ground floor
1) 1 bedroom en-suite
2) kitchen with separate dish washing room
3) kitchen pantry
4) laundry room
5) computer room
6) entertainment room
7) combined dining room area and sitting room area
8) separate sitting room
9) common toilet
first...
Kama unahitaji msimamizi wa miradi au nyumba inajegwa kwa mkoa wa dar es salaam nafanya kwa bei ya 300,000 Tsh kwa mwezi, elimu yangu ni fundi mitambo ngazi ya stashahada, mawasiliano - 0756704145, dar es salaam, Mbezi.
Rika lenu limo ndani ya gap la miaka mitatu. Ni age mates,
Kupendana hakuna tatizo lakini utaweza kuongoza bila kuonekana kama mwenza tu wa kawaida badala ya kuonekana kama kiongozi wa nyumba ?
Waswahili huwa hawa appreciate / kupongeza hatua ya mtu ya maendeleo anayopiga utasikia tu wanakosoa nyumba/ gari yenyewe ya mkopo .
ingekuwa kukopa ni rahisi kila mtu angekopa .ukiona mtu bank imemuamini kumkopesha ujue huyo anasifa za kukopesheka , anayesema hivyo yeye hata sifa ya...
Nyumba inapangishwa kiseke ppf mwanza, vyumba vitatu kimoja kikiwa ni master, maji, umeme, barabara vipo, eneo la bustani lipo nk.
Bei 2,600,000/- kwa mwaka
Karibu mteja .
Kuna mtu ana nyumba mbili moja karibu na nyingine Buyuni, Chanika. Ni self-contained, na kila moja ina eneo la kutosha. Ni karibu na maeneo yafuatayo: Hospitali binafsi ya Tikaya (ina huduma za kawaida na kibobezi), soko la Buyuni, na ni karibu na usafiri wa kwenda au kutoka mjini. Kwa yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.