Jiwe la Kumbukumbu la Nyumba Aliyolala Mwalimu Nyerere Ujiji 1954 Wakati wa Kupigania Uhuru wa Tanganyika

Jiwe la Kumbukumbu la Nyumba Aliyolala Mwalimu Nyerere Ujiji 1954 Wakati wa Kupigania Uhuru wa Tanganyika

Wewe mzee acha utapeli
Beira,
Mimi si tapeli.
Mimi ni mwandishi na nina heshima yangu hapa JF:

1771038955272.png
 
Beira Boy,
Ahsante hakuna shida.
Utani uko katika mila na utamaduni wetu na kwa hakika huongeza mapenzi baina ya watu.
Ni kweli mzee wangu

Mimi hata nyumba ninayoishi hapa ni ya wazaramo
Kuna undugu tiari tushatengeneza kutokana na utamaduni wa utani

Endelea kutuletea madini mzee wetu
 
Ni kweli mzee wangu

Mimi hata nyumba ninayoishi hapa ni ya wazaramo
Kuna undugu tiari tushatengeneza kutokana na utamaduni wa utani

Endelea kutuletea madini mzee wetu
Madini alete ila apungize mambo yake ya kuegemea upande ule😅😅
 
Kinyungu,
Siegemei popote lakini huo ndiyo ukweli wa historia ya uhuru wa Tanganyika.
Wewe hushangai kuwa historia hii haikuwapo?

Jiulize kwa nini?
Itakua mfumo uleee unaipiga vita😂😂🤭
 
Kinachonishangaza ni kwamba, wanaokukosoa kwa kashfa za udini hawaelezi historia sahihi wanayoijua wao ni ipi.
Mshamba...
Kila nikifanya mahojiano na waaandishi tofauti nikiwaambia kuwa kadi ya Abdul Sykes ni No. 3, Ally Sykes No. 2 na kadi ya Mwalimu Nyerere ni No. 1 na aliandikiwa na Ally Sykes huwa wanapigwa na butwaa kubwa.

Lakini nawaacha hoi ninapowaeleza kuwa Mufti Sheikh Hassan bin Ameir alikuwa anauza kadi za TANU misikitini.
 
Hakuna historia ya tanganyika iliyoletwa na mzee Mohamed Said ikiwahusu watu wa imani tofauti na yake! Mara nyingi amekuwa mtu wa upande mmoja, nataka kujua tofauti na mwl nyerere hakuna mtu yeyote aliyepigania uhuru wa tanganyika wa tofauti na dini yako? Kwa nini unaleta historia inayoegamia upande mmoja? Sawa wewe ni mzee una maarifa busara na maarifa lakini kwa hili lazima ukweli tuuseme,wewe ni mdini.
Holojolo,
Historia ya uhuru wa Tanganyika unayosoma kutoka kwangu hazikupata kuandikwa kabisa.

Haikuwapo.

Historia ya TANU na historia ya kudai uhuru ilikuwa historia ya mtu mmoja Mwalimu Julius Nyerere peke yake.

Tuseme walioandika walikuwa wadini?
 
Back
Top Bottom