Nimefanya utafiti kupitia ukurasa wa Dsm Brokers (Instagram) mpaka sasa nimegundua nyumba nyingi za dar zinauzwa na benki kwasababu ya madeni sasa sijui tatizo ni nini ikiwa mkoa wa dar unasifika kuwa kitovu kikuu cha fursa za kifedha na biashara,
Katika utafiti wangu kupitia ukurasa wa hao...
Modern House for Sale – Goba Half London
An exceptional opportunity to own a contemporary underground single-storey home:
5 Self-contained Bedrooms, including a Grand Master Suite
2 Elegant Living Rooms
Dedicated Study Room
Spacious Dining Area
Fully Equipped Modern Kitchen
Servant's...
Modern House for Sale – Goba Half London
An exceptional opportunity to own a contemporary underground single-storey home:
5 Self-contained Bedrooms, including a Grand Master Suite
2 Elegant Living Rooms
Dedicated Study Room
Spacious Dining Area
Fully Equipped Modern Kitchen
Servant's...
Kumbuka, umekuwa ukijulishwa vitu vingi; umekuwa ukipewa taarifa nyingi kabla ya wewe kutenda au kutendewa chochote. Umejiaminisha kuwa hakuna kitu chochote kibaya au kizuri kitakachokupata bila wewe kuwa na taarifa ya mapema.
Lakini, wakati wako wa kuaga dunia ukifika—muda wa kufariki...
Nyumba inauzwa. Ipo Kiluvya Madukani. Eneo lake 60x20. Nyumba ina vyumba 2 vya kulala na master 1. Ina sebule kubwa. Jiko, stoo na choo cha jumuiya. Parking ya kutosha. Kwa nyuma kuna nyumba ndogo, ina vyumba viwili na choo. Mambo yote ni ndani ya fensi ya matofali.
Bei: Tsh.110, mazungumzo...
Nyumba inauzwa. Ipo Kiluvya Madukani. Eneo lake 60x20. Nyumba ina vyumba 2 vya kulala na master 1. Ina sebule kubwa. Jiko, stoo na choo cha jumuiya. Parking ya kutosha. Kwa nyuma kuna nyumba ndogo, ina vyumba viwili na choo. Mambo yote ni ndani ya fensi ya matofali.
Bei: Tsh.110, mazungumzo...
Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio.
*Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master.
*Huduma zote za kijamii zipo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1833.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Tzs Milioni 900...
Habari wadau ,nyumba inauzwa iko na fensi 170milion
Iko mtaa wa kibela,ununio
Wilaya ya kinondoni
Dar es salaam
Contact 0653 652755
Ninavideo nashindwa ku upload n ndefu anayetaka anichek mtaa mzuri barabara imenyoka iko na fensi na geti
Ramani ya kupangisha
Wapangaji wawili kila mpangaji anavitu vifuatavyo
Chumba 1 self
Chumba 1 havina choo
Seble
Jiko
Choo cha wageni
Nyumba nzima kwa wapangaji wote Inachukua mita 8 kwa mita 12 (jengo zima)
Vyumba vyake ukubwa ni standards
Hata kama unakiwanja kidogo unawezakuweka uwekezaji...
GHOROFA LINA UZWA
LOCATION:KALIAKOO
MTAA WA KIUNGANI STREET
Kuna vyumba 10 floor no 1
Floor no 2 Ina vyumba 10
Ground floor Ina flem 10
Mbele zipo flem 3 nyuma zipo flem 7
Na kuna Godown 1
Eneo lite lina SQm 290
BEI NI Bilion 2.5 tish maongezi kidogo sana
Mtaa mzur sana kwa biashara yeyote ile...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya finishing.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli.
*Ina...
Nyumba inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
•Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
•Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, jiko na stoo.
•Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
•Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
•Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya geti...
NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA MADALE FLAMINGO MITA 200 KUTOKA BARABARA KUU (MADALE ROAD)
BEI NI TSH MILLION 150
VYUMBA 3 VYOTE MASTER
JIKO LA KISASA
DINNING
PUBLIC TOILET
STORE
SEBULE
UMEME
MAJI
UKUBWA WA ENEO NI SQM 800
KARIBUNI MABOSS
PIGA SIMU 0743 257 669
WhatsApp wa.me/255743257669
GHOROFA YA KIFAHARI SANA HII
INAUZWA IPO KUNDUCH BEACH
ROOMS 6
ZOTE MASTER
SEBULE KUBWA
JIKO,STOO
DINING, PUBLIC TOILET
PLOT SIZE SQM 1720
INA HATI MILIKI SAFI YA WIZARA
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
🏠NYUMBA INAUZWA MILIONI 33
📍ipo MBONDOLE DAR-ES-SALAAM🇹🇿
Ni njia ya Chanika ukitokea MBAGALA rangi 3 kujia CHAMAZI AZAM COMPLEX
Pia unaweta kutokea Njia PANDA YA KIVULE AU KUPITIA MOMBASA YA GONGOLAMBOTO NJIA PANDA YA KIVULE ZOTE NI NJIA KUJIA MBONDOLE ✅
✍🏻Ina Vyumba vitatu
✍🏻SEBULE
✍🏻JIKO...
Nyumba inauzwa Ituha Mbeya/ House for sale at Ituha Mbeya Tshs. 40m. Mazungumzo yapo. Ina vyumba 4 vya kulala, self contained. Wasiliana nasi:+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!!
Hii huwa inajirudia rudia sana kichwani kwanini mzee yule aliwakataza vijana wake wasinipige na akateua wawili wale wakubwa wanipeleke na wa hakikishe nimefika salama salimini bila kupigwa?
Kipindi hicho genye ndo limeshika hatamu yaani huniambii kitu kuhusu mbususu mara kadhaa nilikuwa sili...
Eneo lenye Nyumba 3 linauzwa.
Mahali: Tegeta Namanga, Mtaa wa Kibera.
Eneo liko mita chache kutoka barabara ya Old Bagamoyo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1204.
Bei: Tzs Milioni 300. Mazungumzo yanaruhusiwa.
Nyaraka: Hatimiliki.
Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano: 0784 829565 au 0767...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.