nyimbo

  1. Nomadiq

    Nyimbo za taratibu sana/za huzuni zina madhara gani?

    Kwema wakuu. NYIMBO ZENYE MIDUNDO ya huzuni huwa zina madhara gani? Kuna kipindi fulani nilikuwa nazisikiliza sana, mtu akanambia achana na hizo nyimbo kwa usalama wako. Nyimbo hizi zina madhara gani? Mfano wa nyimbo hizo: Wiz Khalifa - See you again
  2. J

    Kwa wapenzi wa Nyimbo za Injili Chimbo letu ni hili

    Kuna wakati roho yako inahitaji zaidi ya maneno – inahitaji wimbo. Wimbo unaogusa nafsi, unaobeba uzima, unaoinua moyo wako kutoka uchovu wa maisha hadi kwenye faraja ya kiroho. Kama unapenda nyimbo za Injili—za kuabudu, kusifu, na kuimarisha imani—basi tumekuwekea kitu cha kipekee. Karibu...
  3. stakehigh

    Bonge la nyimbo Putin, trump ft kiduku

    https://www.instagram.com/p/DGslSQOCtAr/
  4. technically

    Hili la kupiga nyimbo za dini baa sio sawa

    Watu wanalewa Wengine nusu uchi Dj anapoga nyimbo za dini sio sawa Imagine sehemu Kama kidimbwi zinapigwa nyimbo za dini duh!! Halafu leo ijumaa inachomwa kitimoto sio poa
  5. stakehigh

    Kwahio nani kamuiga mwenzake kwenye hizi nyimbo 3

    https://youtu.be/jhULP7HlvF0 https://www.youtube.com/watch?v=lb3l6msZWkA&pp=ygUZbW9rb2xvIG5ha29rdWZhIGZheWEgdGVzcw%3D%3D https://www.youtube.com/watch?v=UAcPHTlljGU&pp=ygURd2FsYXUgbmFmYXNpIHNvbmc%3D
  6. Joshua Mbezi

    WAPENZI WA NYIMBO ZA ANJILI NJOONI HAPA

    Kuna utunzi wa nyimbo za injili hakika unakonga nyoyo kuanzia mpangilio wa sauti Hadi upigaji wa ala za muziki Top five ya kwanza zinazo fanya vizuri katika maisha yangu ni hizi hapa 1; AIC Chang'ombe 2; Kwaya ya Mama jus 3;Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama 4;Kwaya ya Mtakatifu Kizito Makuburi...
  7. FK21

    Rose Muhando wanyamazishe ni nyimbo ya kishetani

    Leo nimeisikiliza itoshe kusema iyo nyimbo ni zero kabisa muimbaji angekuwa mchawi angewaroga watesi wake
  8. Binti wa zamani

    Maana halisi ya baadhi ya tungo na mashairi zimefichwa watoto wasielewe

    Leteni mnazozijua nyinyi ila mimi naomba maana ya hizi nyimbo mbili. Kuna - Diamond platnumz na Kachiri - kilimanjaro Band Mashairi ya wimbo ya Diamond : Jamani kuna kijiti kimoja kwa jina sitokitaja Ukiona chasimama ujue chataka haja Ukiona kimelala kisha chafua mapaja Kuna mama kuna, kuna...
  9. second9

    Kwa utulivu na hali ya hewa hii basi playlist ya hizi 30 Slow Rhumba za Fally itawafaa

    ID Title 1 Cadenas 2 Une Minute 3 Sweet Life (La vie est belle) 4 Ndoki 5 Anissa 6 Mikitisa 7 Service 8 Maria PM 9 Jus d’Orange 10 Aime-moi 11 Amore 12 Science-Fiction 13 Se Yo 14 Centième Dossier 15 Par Terre 16 A Flyé 17 Humanisme 18 1000% Mawa 19 Associé...
  10. mcTobby

    Mwenye album au nyimbo za Geezy mabovu anisaidie

    Nauhitaji wa nyimbo za huyu mdau R.I.P geezy mwana madharau.. mwenye ngoma zake naomba anisaidie hapa ✌️✌️🤝🤝
  11. M

    Pascal Cassian kaachia wimbo Youtube inaitwa mtakamata wangapi.

    Katema cheche kule yani ni kama kaamuwa kujilipuwa.
  12. Daby

    Me too ya Harmonize na Abby Chams: Moja ya nyimbo kali kuwahi kutengenezwa kwenye historia ya Muziki wa Tanzania.

    https://youtu.be/qCOsfkUKMfI?si=bMgpLjfzFdFBAqSx
  13. Right Marker

    Part three: Burudika na Instrumental beats za nyimbo za zamani (zilipendwa)

    PART THREE: Hizi hapa 15 INSTRUMENTAL BEATS za nyimbo za zamani (zilipendwa). 1. DULLY SYKES - Salome 2. BABALEVO - Kama kawa 3. SPACK - Ombi langu. 4. JAYDEE - Mambo matano. 5. ANJELLA - Toroka. 6. SUMALEE - Chukua time. 7. TIMBULO - Sina hali. 8. OFFISIDE - Kidudu mtu. 9. MIRROR - Nibembeleze...
  14. Right Marker

    Part one: Burudika na Instrumental Beats za nyimbo za zamani

    PART ONE: Hizi hapa 15 INSTRUMENTAL BEATS za nyimbo za zamani; 1. GK - Piga manati. 2. CHID BENZI - Muda. 3. MEZ B - Kikuku. 4. BRENDA FASSIE - Thola. 5. MARIOO - Beer tamu. 6. BANANA ZORO - Ningependa. 7. CHEMICAL - Asali. 8. ALIKIBA - Sabrina. 9. WAGOSI WA KAYA - Trafiki. 10. ALIKIBA - Far a...
  15. Right Marker

    Karibu kwenye uzi wa "Instrumental Beats" za nyimbo za zamani

    Burudani: Je, unapenda kusikiliza INSTRUMENTAL BEATS za nyimbo mbalimbali? Nyimbo nyingi za sasahivi ukitaka kusikiliza INSTRUMENTAL BEATS utazikuta wameweka huko YouTube, Google, n.k. Lakini nyimbo za zamani zile za enzi ya producers akina P-Funk majani, Master J, Mika Mwamba, Said Comolien...
  16. haszu

    Mimi ni mpenzi wa nyimbo za taarab, kwasasa naona kama imekufa

    Mara ya mwisho ku peak ilikua 2011, taarab ilikua juu sana. Ila baada ya pale naona imepotea, nina miaka mingi sijasikia hit song ya taarab. Whyyyy, hizi amapuano sijui singeli sijawai zielewa hata. Bring back taarab.👌👌
  17. Bunchari

    Maeneo gani DSM wanapiga nyimbo za kijaluo

    Habari wakuu Ningependa kujulishwa sehemu za starehe wanapopiga hizi nyimbo za kabila la kijaluo hususani nyakati za weekend. Nawasilisha.
  18. Mr Why

    Baada ya kutizama kwa kina nyimbo za Diamond Platnumz zilozofungiwa na BASATA, Hallelujah, Wakawaka na nyinginezo sikuona kosa la kimaadili

    Baada ya kutizama kwa kina nyimbo za Diamond Platnumz zilozofungiwa na BASATA, Hallelujah, Wakawaka na nyinginezo sikuona kosa la kimaadili Miaka ya nyuma BASATA ilichukua uamuzi wa kufungia nyimbo hizo kwa madai ya kuvunja maadili, baada ya kutazama kwa kina sikuona maudhui mabaya, akina dada...
  19. Abtali Mwerevu

    Waimbaji wa Nyimbo za Kisukuma Wenye Melodies Tamu Kushinda Waimbaji wa Bongofleva

    Wasukuma ni watu wanaopenda sana utamaduni wao hasa katika suala la nyimbo. Ni kabila pekee hapa nchini Tanzania lenye waimbaji wengi pengine idadi yao ni kubwa hata kulingana na waimbaji wa bongofleva. Kama unabisha, nenda youtube andika nyimbo za kisukuma, utaona waimbaji wasio na idadi...
  20. Deejay nasmile

    Zawadi ya Jumapili! Sikiliza na download playlist hii ya nyimbo za dini

    huyu kuna nyimbo kama vile picha ya mama -bahati bukuku nina siri-israel moyo wangu-rose muhando kunyata nyata- christina shusho-ningare martha mwiaapaya godluck gozbet joel n.k https://hearthis.at/ignas-ndimbo/dvj-nasmiletz-gospal-vol-4-nina-siripicha-ya-mamaherikijitonyamamartha-mwaipayamgendi/
Back
Top Bottom