nyimbo

  1. Vincenzo Jr

    Ipi nyimbo yenye beats kalii sana

    Ipi nyimbo kalii na beats kalii kati ya hizi nas i can na dr dre still dre
  2. Guru Master

    Huu Wimbo ni moja ya nyimbo zenye kitu. Na hizi nyingine zenye kujaa Roho ndani yake

    Sikumbuki jina la choir. Ila wanaimba "Mimi ni kitu gani Bwana uniokoe Ninapojitazama mimi sistahili Ninazo dhambi tele Shetani kanisonga Yesu uniokoe Unishike mkono bwana Ni moja ya choir za zamani sana. Kama sikoei ni kutokea Kilimanjaro au Arusha. Pia natafuta na choir ya Moravian...
  3. Vincenzo Jr

    Unasikiliza nyimbo gani kalii hapo

    Hapa nasikiliza mahaba ya alikiba ngoma inayo fata ni burnaboy common person
  4. Hance Mtanashati

    Ifike mahala Zuchu aambiwe ukweli nyimbo zake za Utoto utoto aache. Kwa mwendo huu naamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu

    Zuchu tumekuchoka mara sukari, mara honey, mara kwikwi sasa katuletea Chapati 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kiukweli Zuchu anapuyanga na naanza kuamini Nandy ni bora mara elfu kuliko Zuchu. Kinachombeba Zuchu ni ile kuwa karibu na Simba la Masimba Dangote kwa hiyo inakuwa rahisi ngoma zake kupenya kirahisi. Kifupi...
  5. Roving Journalist

    Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

    Mwimbaji huyo Sifa Boniventure Bujune (25) ni Mkazi wa Isyesye anatuhumiwa kuimba wimbo unaojulikana kwa jina la “Tanzania Inaelekea Wapi?” wenye maudhui ya uchochezi na kisha kuurusha katika Mitandao ya Kijamii pamoja na YouTube. Kamanda wa Polisi Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema Mtuhumiwa...
  6. Dcxkobe

    Nyimbo ya Abby skills ft Mr blue

    Wakuu Leo nilikua najikumbusha kuangalia nyimbo za bongo fleva za zamani, hivi Ile nyimbo ya Abby skills ft Mr blue. Mimi wewe, yule demu alietumika mule kwenye video sio qeeen daaring kweli au nimefananisha?
  7. M

    Ni Tanzania pekee kukuta watu wanasikiliza nyimbo ya lugha wasiyoijua

    Nimefanikiwa kufika nchi kadhaa na sikuwahi kuona watu wa nchi hizo wakisikiliza au kufurahia nyimbo zilizoimbwa kwa lugha za nchi zingine wasizozijua. Lakini hapa kwetu miaka nenda rudi tangu nakua miaka ya 70 nimekuwa nikishuhudia watu wengi wakisikiliza nyimbo za Kizungu na ukiwafuatilia...
  8. Mto Songwe

    Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini

    Kwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini). Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa namna ambavyo ni mafundi haswa wa kuimba nyimbo za dini mpaka mtu ana burudika haswa. Mimi ni mpenzi...
  9. S

    TCRA kuufungia wimbo "Amkeni" wa Ney wa Mitego na kuacha nyimbo za matusi ni uchawa, kujipendekeza na unafiki

    TCRA acheni kutumika vibaya. Mmeufungia wimbo wa Ney Wamitego "Amkeni" kwasababu tu umemparura aliyewateua lkn mmeacha nyimbo kibao za matusi zkiendelee kwenda hewani. .....sijui kutongoza.... .....ikiiingia inateleza.. ....paka mate niteleze.. .....nampatia sukari ananambia ongeza.. n.k, n.k...
  10. F

    Nimejua kwa nini roho yangu huburudishwa sana na nyimbo zenye maudhui ya Neno la Mungu

    Ilishanitokea mara nyingi, japo sikujua sababu hasa. Nilijua roho yangu huitikia vizuri sana nyimbo zenye jumbe za Neno la Mungu. Hata kama nilikuwa nikitembea njiani huku nafsini najisika kukaukiwa au hali ya utupu, nikipita sehemu wanakopiga wimbo mzuri unaokubaliana na Maandiko Matakatifu...
  11. BARD AI

    Chris Brown kuachia albam ya 11 tarehe 11 mwezi wa 11 na itakuwa na Nyimbo 11

    Nyota huyo wa Muziki wa R&B kutoka Marekani, amesema albam itaitwa "11:11" na itakuwa na nyimbo 11, tofauti na ilivyozoeleka katika albamu zilizopita ikiwemo 'Heartbreak' on a Full Moon, Indigo iliyokuwa na nyimbo 57. Breezy amesema licha ya mashabiki zake kutaka albam yenye nyimbo nyingi...
  12. M

    Maudhui ya nyimbo za Taifa HUISHI. Nimeangalia wa Ukraine

    Baadhi ya maneno yaliyopo katika wimbo wa taifa wa Ukraine. " we will lay down soul and body for our freedom " "We will never let anyone be master in our land" "We will stand in a fierce bloody battle,...". Nimeangalia wimbo wa Russia nao maudhui yake yanafanana na tabia zake. Nimeangalia wa...
  13. S

    Msaada kwa yeyote mwenye CD ya nyimbo za Elrehema Paul

    Wakuu GT Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Niliinunua CDya huyu dada mara ya mwisho kama miaka 10 iliyopita (ilikua 2013) kwa sababu nilivutiwa sana na nyimbo zake. Kwa bahati mbaya hiyo CD imevunjwa na watoto na sina copy nyingine. Kwa yeyote anayemfahamu huyu dada...
  14. Justine Marack

    Naomba nyimbo za Marijani Rajabu

    Wadau wa jamii forum, Heri ya sikukuu ya Simba Day. Leo nimeamka na mzuka wa kumsikiliza Jabari la muziki. Naomba kama unao wimbo wowote wa Marijani basi uniwekee hapa. Nitafurahi nilipata -Namsaka mbaya wangu -Mzee hamis -Mwana Acha kidomodomo Na nyingine nyingine nyingi
  15. Exile

    Majimbo ya Kano na Sokoto nchini Nigeria yapiga marufuku kusikiliza nyimbo za Davido hadharani

    Hii inakuja baada ya davido kutoa wimbo wake hivi karibuni wenye video yenye maudhui ya dini ya kiislam. Waislam wengi hawajapendezewa hasa kwenye majimbo yanayoongozwa kwa mfumo sharia bono na sokoto nchini naigeria, kuwa davido kaudhaurisha uislam kupitia wimbo huo. Hizi dini zingine...
  16. W

    Uzi maalum wa kuomba nyimbo zenye chorus zilizoimbwa na watoto!!

    Wadau napenda sana nyimbo zilizokusanya watoto na kuitikia chorus, mara nyingi nyimbo huwa nzuri sana. Mfano ni kama hizi; 1. I'm a thug ya Trick Daddy 2. I can ya Nas 3. Fabulous ya Jaheim 4. Nyimbo fulani ya Michael Jackson nimeisahau jina. Tafadhali tupieni nyingine..........
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je wajua Nyimbo za taifa za nchi hizi, hazina maneno?

    Spain, San Marino, Kosovo, na Bosnia and Herzegovina. Watakuja mbumbumbu na kuanza kusema chai
  18. GENTAMYCINE

    Kwanini huwa Sichoki Kusikiliza Nyimbo hizi Tamu mbili za Wenge Musica BCBG yake JB Mpiana?

    1. Liberation 2. Serge Palmi Kama Wewe ni Mpenzi wa Miziki ya Congo DR hasa Bendi yangu pendwa na tukuka ya Wenge Musica BCBG yake JB Mpiana na hujazisikiliza hizi Nyimbo Mbili Tamu katika Album ya TITANIC basi una bahati mbaya na hupaswi kuwa Mdau wa Congolese Music. Na Utamu zaidi wa hizi...
  19. OKW BOBAN SUNZU

    Nyimbo za kupinga kuuzwa bandari katika mabasi

    Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
Back
Top Bottom