nyama

Nyoma is a village and headquarter of eponymous Subdivision and block in the Leh district of Ladakh in India. It is located in the Leh tehsil, on the bank of Indus River.
A small Buddhist monastery ("gompa") is located on the hill at the back of the village. Since 2010, foreign tourists with Inner Line Permits are permitted to visit Nyoma and its monastery.
Nyoma is also home to an Advanced Landing Ground of Indian Airforce, which was reactivated when an An-32 landed in this airfield on 18 September 2009.Nearby towns are Mahe and Rupshu, the town lies in the Leh - Loma - Hanle road. Nyoma is located 41 km southeast of Chumathang. It is 23 km (14 miles) from Mahe village and roughly the same distance from the Chinese border.

View More On Wikipedia.org
  1. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania China inaongoza kwa ulaji wa nyama ya Nguruwe Duniani

    Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani. Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka. Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja. Kwa Afrika, Afrika ya...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Manyara: RC Sendiga apeleka nyama ya nyumbu kwa jamii ya Wahadzabe ili kushawishi kujiandikisha katika daftari la makazi

    Wakati yamebaki masaa kabla ya kukoma kwa zoezi la uandikishaji wapiga kura katika daftari la makazi kufikia ukomo leo Oktoba 20, Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga tarehe 19.10.2024 alitembelea jamii ya Wahadzabe katika kijiji cha MONGO-WA-MONO wilayani Mbulu ambao maisha yao bado...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Hizi bei za nyama kupandishwa kiholela nani wa kuwasaidia Wananchi? Sasa hivi kilo TZS 12,000/ Bodi ya nyama kazi yake nini?

    Siku hizi kuna umoja wa kila sekta, pale Arusha kuna umoja wa wauza nyama, wanakubaliana kupanga bei wanavyotaka na ole wako uuse chini ya hiyo bei. Sasa hivi kila butcher Arusha kilo moja ni TZS 12,000/. Hakuna mamlaka au chombo cha kudhibiti huu upandishaji holela? Mlinzi wa mwananchi ni...
  4. Mel James

    JamiiForums Tanzania Makabila wanayokula karibu wananyama wote nchini

    Naanza na mmakonde hawa jamaa ni kama Wachina Tu hawali Kinyonga tu hicho kimewashinda. Ila Mzoga wowote akiokota lazima uingie tumboni. Wahadzabe, hawa jamaa ni hatari porini hadi nyoka akiwaona anatafuta shimo la kuingia hawaachi kitu. Wasafwa wa Mbeya wanakula karibu kila nyama ila kwa...
  5. jangala22

    JamiiForums Tanzania Sasso vs kuku wa nyama

    Habari za majukumu wanajamvi, Naomba kuuliza kwa mtaji wa laki sita nifuge kuku gani kati ya hao sasso au broiler nalenga kufuga kibiashara n.b banda tayari ninalo na vyombo vya chakula na maji ninavyo pia.napatikana mwanza . Nawasilisha naomba mawazo yenu wanajamvi natumai nitapata muongozo...
  6. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Business idea: kufungua nyama choma center

    Igweeeee Nimekaa nimewaza na kuwazua nifingue biashara gani ili maisha yasonge mbele hapa jijini Wazo pekee ambalo naona linaweza kuwa tofauti kidogo na zile biashara za kuigana mwishowe kuanza kurogana ni kuanzisha NYAMA CENTER NYAMA CENTER itakuwa inauza nyama za aina mbalimbali kama vile...
  7. JEJUTz

    JamiiForums Tanzania Nyama na wali

    Wali nyama ni chakula kitamu Sana kina protein na wanga.
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaoamini uumbaji wa Eden, wanyama wala nyama waliumbwa wakiwa wanakula nyama?

    Simba, Chui, Fisi na wanyama wengine wala nyama walikuwa wanakula nini katika bustani ya Eden? Chatu alikuwa anameza kitoweo chake katika bustani ya Eden? Mamba alikuwa anakula nini?? Ndege wala nyama na samaki walikuwa wanakula nini?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Raisi Samia, utatembelea bucha zote lakini maini ni yale yale!

    Sintashangaa kwamba katika maraisi wote wa Tanzania, Raisi Samia atakuwa anashikilia rekodi ya kuteua na kutumbua, na kama bado hashikilii hiyo rekodi, basi ataishikilia hivi punde, na huenda ikawa ni rekodi ya raisi aliyeteua na kutumbua kwa kiwango cha juu zaidi duniani! Nataka nikueleze wazi...
  10. U

    JamiiForums Tanzania Nimekaribishwa nyama na ugali nimesita kula sina hakika ni nyama ya aina gani, nisaidieni ushauri nisije jitia unajisi

    Wadau hamjamboni nyote? Nimekaribishwa ila nimesita nahofia unajisi Nipeni ushauri kwani mwenyeji wangu ananisubiri ninawe nianze kula Je hiyo unaweza kuwa nyama mnyama gani
  11. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Je nyama ambayo haina mchuzi wa nyanya

    Habari za mchana wadau ningeomba kuuliza nyama ambayo Haina mchuzi wa nyanya inafaa Kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo naombeni msaada wenu nipate kujua wadau
  12. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali iliangalie hili la uuzwaji vyakula mtaani bila vibali maalum; kuna hatari kubwa mbeleni

    Nyama choma ya kuku na ng'ombe zimekuwa biashara iliyoshamiri hasa katika vituo mbalimbali vya daladala hasa jijini Dodoma na Dar es Salaam yaan mtu yeyote anaweka meza njiani na ndoo ndogo iliyojaa nyama anaanza kuuzia raia vitu kama mishikaki ya mia mbili, miguu ya kuku, vichwa vya kuku na...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Viongozi wenye kutisha watu majukwaani hawamalizagi round kwa sababu wana akili ndogo za kutawala. Simba mwendapole ndiye Mla nyama

    VIONGOZI WENYE KUTISHA WATU MAJUKWAANI HAWAMALIZAGI ROUND KWA SABABU WANA AKILI NDOGO ZA KUTAWALA. SIMBA MWENDAPOLE NDIYE MLA NYAMA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Najua ipo siku utajikuta ni mtawala au kiongozi. Ikiwa itatokea hivyo basi nisikilize Mimi Mtibeli alafu utakuja kunishukuru...
  14. Mtukutu wa Nyaigela

    JamiiForums Tanzania Wale wa wali nyama vitani mpo

    Mnaendeleaje, mnakwepaje mabomu Hatutegemei mlalamike. Uzi tayari
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Serikali yaanza maboresho ya machinjio ya Nyama Wilayani Uyui (Tabora)

    Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kulalamikia kuhusu Mradi wa Machinjio uliopo Goweko akidai umekwama kuendelezwa licha ya fedha za walipa kodi takribani Shilingi Milioni 25 kutumika, hatua zimeanza kuchukuliwa. Malalamiko ya member ~ Haya machinjio ya Nyama Wilayani Uyui (Tabora) ni...
  16. Meshaki Richard

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mashine za kukata nyama kwenye bucha

    Hello Unahitaji mashine ya kukata nyama kwenye bucha pata kwetu na waranti ya mwaka mmoja Mashine tunauza kwa 1300000 tu tupo kariakoo mtaa wa masasi na ndanda Namba zetu 0774150519 Instagram follow Kariakoo machines
  17. muuza ubuyu

    JamiiForums Tanzania Kutembelea Shamba la Kuku (wa mayai na nyama - hasa mayai) kwa ajili ya kujifunza

    Habari wakuu, mimi naishi mkoani (kanda ya ziwa). Wiki ijayo ninakwenda Dar kwa ajili ya shughuli zangu binafsi. Katika huo muda nitakaokuwepo, nitakuwa na muda wa free hivyo natamani kupata namna ya kuutumia. Mimi ni mtu ambaye nataka kuwekeza katika mradi wa kuku wa mayai/nyama, ningeomba...
  18. Dkt. Gwajima D

    JamiiForums Tanzania Nawatakia Eid Al Adh'ha njema

    Wapendwa wote salaam, Mwenyezi Mungu awe nasi sote kwenye Maadhimisho haya ya EID AL ADH'HA, 2024. Naomba tukumbuke kuwalinda watoto wetu wawe salama pamoja na makundi yote yenye mahitaji maalum wakati wote wa kufurahia Sikukuu hii kubwa, In Sha Allah, Amina, Heri ya Sikukuu kwetu sote.... 🌹
  19. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Simba akikosa nyama hula nyasi

    Simba ni Azam B. Narudia tena, Simba ni Azam B. Inasemekana, mwenye njaa hachagui chakula. Kumbe, hata timu isiyo na taji, hilazimika kujishikiza popote. Ona sasa, Simba wanavyohangaika. Mara oh, Faisal ni mkali kuliko Ki, mara oh Azam ni bora Yanga ndondocha. Wakati huo Azam wametulia tuli...
  20. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Nachanganya ndizi tunda za kuiva na supu ya nyama ama pweza

    Mtu mmoja akanishangaa kwamba Kwa mchanganyiko huo wa ndizi mbivu na supu ya nyama ama ya pweza kwamba natafuta kitu gani tumboni yeye anachojua Kwamba ndizi ni tamu zina sukari huku supu inahitaji chumvi so haifai kuchanganya sukari na chumvi sijui sayansi yake ya wapi mbona me sijaliona tatizo...
Back
Top Bottom