nida

National Identification Authority (NIDA) /Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ni chombo cha kusimamia Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania.
  1. Uponyaji na uzima

    JamiiForums Tanzania NIDA wanatengeneza hela kupitia vyanzo gani?

    NIDA wametoa gawio la bilioni 38.8 kwa serikali. Naomba kufahamu vyanzo vyao vya mapato.
  2. second chance

    JamiiForums Tanzania Nipe maoni yako mdau, natokaje hapo na hawa NIDA

    Habari za wakati huku wanajamvi wa jamii forum. Natumai mu wazima wa AFYA teletele. Napenda kutumia fursa hii kuwasilisha dukuduku langu kuhusu masuala ya USAJILI wa huduma mbalimbali katika kizazi hiki. Tunaishukuru serikali imeleta USAJILI kupitia NIDA na kupitia NIDA, watu wafanye USAJILI wa...
  3. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Mamlaka Ya Vitambulisho Vya Taifa Nida Tumieni Teknolojia Kurahisisha Upatikanaji wa Huduma Kwa Jamii

    Baadhi ya wananchi wamekumbana na changamoto ya kufungiwa namba zao za Nida kwasababu ya kutokuchukua kadi zao za Nida. Tatizo hili limesababishwa na serikali yenyewe kwasababu imekuwa ikitumia muda mrefu kutoa Vitambulisho na wananchi wengi kutokana na harakati za utafutaji wamejikuta wakihama...
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wanafungaje NIDA yako eti usipojiandikisha? Tokea lini haya mambo yakaingiliana? Mwenye taarifa zaidi atujuze!

    Mwe taarifa tunaomba.
  5. H

    JamiiForums Tanzania Serikali ipitishe tu lazima kila raia mwenye NIDA awe na bima ya NHIF

    Habari, Hali ni mbaya sana kwa wananchi nchini Tanzania ktk swala la kugharamia matibabu kwani zikoo juu sana,sana na watu wanakufa kwa kushindwa kulipia gharama hizo. Nashauri serikali ifanye maamuzi magumu kwa kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na NIDA basi alazimishwe kuwa na bima ya...
  6. PathwayzZote

    JamiiForums Tanzania Msaada wa namna ya kuirudisha namba ya NIDA iliyofungwa

    Wakuu habari 💪 Bila shaka humu wapi wahanga kibao wa kufungiwa namba ya nida na hawa authority 😮‍💨 Na pia kuna wataalamu wa mambo humu🫵 Tuliofungiwa tufanyaje ili tuweze kuzirudisha namba za NIDA Zilizofungwa? Wamenifungia kwa sababu ya kitokuchukua kitambulisho Na ukiangalia mimi niko mbali...
  7. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kuwa na Kitambulisho cha NIDA na cha Mkazi Zanzibar kwa wakati mmoja?

    Habari, Naomba kuuliza hili swali Kwa wajuzi wa mambo, Inawezekana kuwa na Kitambulisho cha NIDA na cha Mkazi Zanzibar kwa wakati mmoja?
  8. Leejay49

    JamiiForums Tanzania Watu wa NIDA wana majibu ya hovyo jamani..

    Hawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭 Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe
  9. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania HESLB na NIDA kushirikiana kuwatambua waombaji mikopo kupitia NIN

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) leo Ijumaa Mei 16, 2025, wamefanya kikao na waandishi wa habari katika ofisi za HESLB Kanda ya Mashariki zilizopo Dar es Salaam kwa lengo la kuutarifu umma kuhusu kuanza kushirikiana kuwapatia namba...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Serikali yazifungia laini 47,728 zilizosajiliwa kwa NIDA, kwa kuhusishwa na Uhalifu wa Kimtandao

    Serikali imebaini na kuzifungia laini za simu 47,728 pamoja na nambari za Kitambulisho cha Taifa (NIDA) 39,028 baada ya kugundulika kuwa zimehusika katika matukio ya uhalifu wa kimtandao na udanganyifu kwa njia ya mawasiliano. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Mei 16, 2025 na Waziri wa Mawasiliano na...
  11. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania TCRA ifuatilie wizi wa taarifa za nida unaofanywa na mawakala wa kusajili laini

    Hii imenitokea leo, nilienda kubadili laini ya Vodacom ili nipate laini ya 5G, wakala akaniambia niweke finger print, niliweka mara mbili baada ya kusema mara ya kwanza nilikosea. Baada ya kumaliza zoezi hilo na kuondoka pale, nilipokea ujumbe mfupi kutoka Airtel kuwa nimesajili laini mpya ya...
  12. Julius byakuzana

    JamiiForums Tanzania Je, kuomba ajira, NIDA tu inatosha au vyote (cheti cha kuzaliwa) kwa pamoja?

    Je, kitambulisho Cha NIDA kinaweza kuwa mbadala wa cheti Cha kuzaliwa (endapo huna hicho cheti) katika kuomba ajira au vinahitajika vyote kwa pamoja?
  13. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Ni hatua zipi za kufata ili namba ya NIDA iliyofungiwa iwe accessible tena.

    Je kwa zile namba ambazo Bashungwa amezizuia kutokana na kutochukua vitambulisho ni Nini Cha kufanya ili ziwe active tena.
  14. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Nimepiga simu NIDA makao makuu wananiambia kitambulisho kimeshatoka ila meseji sijapata

    Aisee hii nchi sijui inaongozwa Kwa akili Gani yaani nimepiga simu nikaambiwa kitambulisho cha nida kimetoka ila mijitu haijatuma sms tunaenda kufuata vitambulisho vyetu tunaambiwa mpaka sms wakati Mimi ndio muhusika wa hicho kitambulisho na sura yangu inaonekana sio kwamba sionekani sura na...
  15. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kichekesho toka NIDA ufinyu wa akili

    Nimeshangaa kusikia NIDA inayohusika na vitambulisho inaanzisha msako wa stetionary ambao wanatengeneza vitambulisho copy. Swali ambalo la kujiuliza hawa mnaokwenda kuwasaka hata mfumo wa server kuwa wata generate numba zenu hakuna?. Watu wengi wanapoteza vitambulisho,kuharibika je ...
  16. Palac

    JamiiForums Tanzania Muongozo wa kufuta namba moja ya NIDA, nina vitambulisho viwili

    Habari Wana jF nipo hapa nahitaji msaada na muongozo kwa anaefahamu nilijiandikisha NIDA ila kwa kipindi naandikisha nilifatilia nikawa napigwa kalenda ila baada ya kuhama mkoa nikajiandikisha tena upya na no nikapata pamoja na kitambulisho. SASA nimerudish mkoani kwangu napewa kitambulisho...
  17. Mwanamke wa mithali 31

    JamiiForums Tanzania NIDA wameanza kufunga namba

    Nilitaka kusajili laini leo, zaidi ya mara 3 Naambiwa taarifa zangu hazipo NIDA, Hawa NIDA 😰😰 kwahiyo me nitoke kigoma nikafate kitambulisho Temeke daah
  18. T

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Waandishi wa habari wa vyombo rasmi niwaombe mtembelee kuripoti mateso kwenye ofisi za NIDA Ukonga, Mombasa

    Kiukweli sijajua kama tatizo ni mfumo ama watendaji wa serikali au ni kitu gani lkn itoshe kusema hali katika ofisi za nida hapa ukonga Mombasa ni ya kuchosha, kufedhehesha na ya kukatisha tamaa. Kama hatutapaza sauti tutaendelea na huu utaratibu ambao sielewi kama kweli kama nchi tumeshindwa...
  19. P

    JamiiForums Tanzania Hawa NIDA kweli hawajui wafanyalo au watakalo?

    Wamesema mwisho wa matumizi ya namba may mosi, tunachakarika kuchukua vitambulisho na bado hawatupi, leo ni siku ya pili nashinda gongo la mboto kuanzia asubuhi mpaka jioni kitambulisho hakionekani Kuna mwengine hapa anataka kumchukulia mdogo wake aliyehamia kanda ya ziwa anaambiwa hadi...
  20. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata soft copy ya NIDA

    Nimejisajili ofisi za NIDA, Arusha, na ninayo soft copy ya kadi ya NIDA. Nilifuatilia hard copy mara kadha lakini sikufanikiwa. Sasa, tangu karibu miaka mitano nimehamia Dsm. Mi ni daktari na siwezi kuacha wagonjwa wangu nilifuatilie hilo kadi huko Arusha. Nifanyeje? Ahsante
Back
Top Bottom