ni ya

"Ya No Somos Ni Seremos" (English: "Now We Aren't or Will Ever Be") is a song by Mexican musician Christian Nodal. Written by Nodal, Anthony López and Edgar Barrera, it was released on February 18, 2022 via Sony Music Latin as the second single from Nodal's second extended play, Forajido (2022). The track peaked at number one on the Hits of the World Mexico Songs chart and debuted at number eight on the Hot Latin Songs.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania Inakuaje mbunge Hajui kwamba hela ya kumuona daktari ni ya serikali yao CCM

    Habari . Kwanini wabunge watanzania wanachangia hoja pasipo kuwa wafuatiliaji wa mambo. Leo nimeona mbunge mmoja anaongea kuhusiana na hela ya kumuona Daktari (consultation fees) Hii ni fedha muongozo wake ulipitishwa bungeni na wabunge wakakubali. Kingine hela ya kumuona Daktari haingii...
  2. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Sisi tulitegemea ripoti iwekwe hadharani ili tuweze kuona kilichoandikwa na si kusemwa ni ya Rais

    Jaji Joseph Sinde Warioba ameyasema hayo kwenye Mahojiano yaliyochapishwa leo 10, Mei 2026 na The Chanzo, ambapo amesema kuwa alikuwa akisikia kuwa wananchi watulie kwa kuwa Serikali imeunda tume. Hivyo alitegemea baada ya tume kuweka ripoti hadharani ingebaki kuwa wazi na kusomwa na watu wote...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo: Tume kazi yake ni kuweka mambo wazi. Kusema Ripoti ni ya Rais ndio ilizidi kuharibu kabisaa

    Tume kazi yake ni kuweka mambo wazi, Kusema Ripiti ni ya Rais ndio ilizidi kuharibu kabisaa Maana ya Tume ni kuweka vitu vyote wazi, kufungua milango yote ya nyumba nzima na kuruhusu mwanga uingie ndani, na kumulika palipokuwa na giza, lakini tume hii haikufanya hivyo kabisa, sana sana kitu...
  4. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Nimegundua kila jamii inatabaka, kuna tabaka ambalo walishajichagua wenyewe, tabu na mateso yenu ni ya kwenu wenyewe ingawa hawawezi survive bila nyie

    Atakutesa lakini atakulaumu kwa nini unalalamika unaumia. POLENI SANA. Historia ya masikini inaandikwa chooni, historia ya mshindi inaandikwa kwenye vitabu. Mshana Jr min -me ngara23
  5. K

    JamiiForums Tanzania Tume ya Chade ni ya Rais na sio tume huru

    Tume ya Chade ni ya Rais na sio tume huru. Yaani anaweza kuamua chochote kuhusu hiyo tume anaweza kuamua kuiweka kwenye makabati na kufungia mandazi au kuchagua sentensi mbili za wapinzani wake au kujisafisha. Tunataka tume ya kitaifa
  6. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Hoja ya kwanini Fred akubalike zaidi Isimani badala ya alipozaliwa ni ya kipuuzi iliyojaa ukabila, ukanda na ubaguzi

    Inashangaza sana leo karne ya 21 iliyo kasi zaidi kiteknolojia kuna watu hasa wa upinzani wanaojenga hoja kwanini Fred Vunjabei akubalike zaidi Isimani kuliko Kalenga alipozaliwa mara baada ya kushinda kura za maoni hatua ya kwanza. Haya ni mawazo ya hovyo yaliyojaa ubaguzi wa kijinga...
  7. J

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Video watoto wakicheza kwenye kimbunga

  8. R

    JamiiForums Tanzania Mbunge Jackson Kiswaga: Watanzania mkubali Serikali imeongeza bei za Mafuta kidogo. Punguzeni mambo ya Mitandao, hayana maana

    Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Gidel Kiswaga akizungumza leo Aprili 2, 2026 kwenye Bunge la 13 Mkutano wa 3 kikao cha 3 Dodoma, ameeleza kuwa kulingana na hali ya kukosekana kwa mafuta duniana kufuatia mgoggoro unaondelea mashariki ya kati inabidi watanzania wakubali bei ya mafuta...
  9. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Kwa uzoefu wangu, mashamba mengi makubwa ya bangi huwa ni ya viongozi wakubwa

    Ukibisha bisha tu lakini kiuhalisia ndio iko hivyo. Pwani wilaya ya Kisarawe maeneo ya mto Ruvu nikiwa huko kulikuwa na mashamba makubwa tu bangi ya vigogo na yana wafanyakazi kama sisi tulivyo na wafanyakazi kwenye kilimo cha nyanya. Vile napenda kuzurura nikaenda Morogoro tena hukohuko mto...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya Maji - Mtaa wa Kanisa la Hija, Pugu

    Mamlaka husika ishughulikie maana bili ya maji inakuja tunalipa lakini huduma ya maji ni ya kuvizia. Maji yanatoka dakika kumi mpaka tano yanakata. Na mamlaka husika zinalijua hili, tunaomba DAWASA walifanyie kazi tumechoka.
  11. Pakome

    JamiiForums Tanzania Hii Habari ni ya kweli? Malalamiko ya baadhi ya waumini wa Kiislamu kufuturishwa Pilao ya Kitimoto na kupewa mawaidha ya Kikristo

    Kuna taarifa inaendelea katika mtandao wa YouTube ikilalamikia kuwepo kwa kundi la baadhi ya Wakristo waliowafuturisha baadhi ya Waislamu kwa kuwakaribisha Pilao ya Kitimoto na mahubiri ya Kikristo https://youtu.be/AUGORT9jeF8?si=mEeR6SdYrf78df_- Imechapishwa na:
  12. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Dunia ni ya ajabu sana. Hadi Sasa sielewi hii dunia imeanza wapi na lengo la watu kuletwa hapa ni nini?

    Sijawahi kusimama upande wowote either Mungu yupo au la, ingawa hadi sasa sielewi kwasababu sijui. Napenda something which brings logical sense and has facts. Ninewatch hii video nikasema nilete hapa wadau wanisaidie kunipa mawazo why huyo msichana yupo kama karukwa na akili na pia ni kwanini...
  13. Keynez

    JamiiForums Tanzania Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Leo nilikutana na clip moja ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Chalamila. Katika clip hiyo Chalamila anasema moja ya sababu inayosababisha foleni zisiishe ni uwepo wa magari yenye namba A, na mengine ambayo ni machafu na hayana AC (kiyoyozi). Halafu bado mna matumaini ya kuletewa maendeleo na...
  14. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Taarifa ya TAMISEMI, ikiwataka watumishi wakabadilishe majina

  15. M

    JamiiForums Tanzania Kama uislam unapambwa kuwa dini ya amani (religion of peace) kwanini hata nchi ikijaa waislam bado wanauana kwa sababu ya dini ?

    Mfano hapo juzi tu nchini Pakistan muislam kaingia kwenye msikiti kajilipua bomu, wasilam 31 wamepoteza maisha Ni nchi nyingi za kiislam imeshakuwa kawaida kusikia wakiuana kwa misingi ya kidini wataalam tunaombeni ufafanuzi Sasa najua kuna watu wataanza kujitetea "mbona nchi za kikristo nako...
  16. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Ligi yetu ni ya kawaida sana

    Tunaisifu Sana na kuikuza kuliko uhalisia, lakini ligi yetu ni ya kawaida sana ila imejaa msisimko wa kishabiki.
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Kesi ya Lissu ni ya uongo aachiwe bila masharti yoyote

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara, John Heche, ametoa wito wa kumuachia huru bila masharti Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Tundu Lissu, ambaye yupo mahabusu akikabiliwa na kesi ya uhaini.
  18. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Wajua Tanzania Haijawahi Kuwa na Katiba ya Wananchi?. Katiba Hii Iliyopo ni ya CCM!, Pongezi Katiba ya Samia, Ndio Katiba ya Kwanza ya Wananchi!.

    Wanabodi, Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, Utangulizi: Bandiko hili ni bandiko la manifestation ya Katiba mpya, japo hata mchakato wa Katiba mpya bado haujaanza, bandito linatoa pongezi kwa Katiba mpya ya Samia!, hii ni kufuatia kushindikana kwa mchakato wa Katiba mpya ya...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Serikali hii ni ya Waswahili

    Kuanzia Rais mstaafu ambaye ndio God father, Rais mwenyewe, Waziri Mkuu, Mawaziri, Wabunge, MaRC, MaDC, viongozi wa CCM na wengineo wote ni WASWAHILI kwa maana Ile ya Mzee Mtei iliyodadavuliwa msibani kwake na Jenerali Ulimwengu
  20. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Suala la mamlaka haramu kuitumia kampuni ya airtel kufungia namba za watu tunalichukulia kama mwendelezo wa kujiongezea kesi za kujibu

    Kampuni ya airtel sio kampuni ya kisiasa tunajua kilichotokea ni shinikizo na hii haifanyi kampuni imuunge mkono bali amejiongezea kesi madaraka yanaisha haya mtaona airtel ikimfungulia kesi hii baadae. Washauri wa samia ni akina kingwendu kila kitu ni sifuri wanachochea moto zaidi tunaongozwa...
Back
Top Bottom