Mbunge Jackson Kiswaga: Watanzania mkubali Serikali imeongeza bei za Mafuta kidogo. Punguzeni mambo ya Mitandao, hayana maana

Mbunge Jackson Kiswaga: Watanzania mkubali Serikali imeongeza bei za Mafuta kidogo. Punguzeni mambo ya Mitandao, hayana maana

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,943
Reaction score
2,981
Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Gidel Kiswaga akizungumza leo Aprili 2, 2026 kwenye Bunge la 13 Mkutano wa 3 kikao cha 3 Dodoma, ameeleza kuwa kulingana na hali ya kukosekana kwa mafuta duniana kufuatia mgoggoro unaondelea mashariki ya kati inabidi watanzania wakubali bei ya mafuta iliyoongezewa na serikali ni ndogo ukilinganisha nchi jirani Kenya huku akisitiza wananchi kupunguza mambo ya mitandao kuwa hayana maana.

" Nimeona maneno mengi kwenye mitandao kuhusiana na bei za mafuta ndugu zangu Watanzania kwanza mkubali kabisa kwamba sisi kama nchi serikali yetu imeongeza bei za mafuta kidogo ukilinganisha na namna majirani mfano Kenya Petroli wameongeza sasa inafika 5450 na diesel ni 5056 na mafuta ya taa ni 4400" Amesema Mbunge Jakcson Kiswaga

 
Mabunge ya hivi hayajui hata bungeni yameenda kufanya nini?

Badala lishauri serikali namna ya ku- control bei ya mafuta lenyewe linatetea tena Serikali...pumbavu

Hajui nauli zitapanda
Bei za vifaa vya ujenzi zitapanda
Chakula kitapanda na mwananchi ndo atakayeumia.

Lenyewe hapo linapewa hela ya mafuta, mawasiliano bure.

Sitting allowance ya kutosha.

Pumbafuuuuu kbs
 
Naungana na mbunge mitandao inatumia diesel sana, itasababishia serikali gharama
 
Mabunge ya hivi hayajui hata bungeni yameenda kufanya nini?
Badala lishauri serikali namna ya ku- control bei ya mafuta lenyewe linatetea tena Serikali...pumbavu
Hajui nauli zitapanda
Bei za vifaa vya ujenzi zitapanda
Chakula kitapanda na mwananchi ndo atakayeumia.
Lenyewe hapo linapewa hela ya mafuta, mawasiliano bure
Sitting allowance ya kutosha
Pumbafuuuuu kbs
unafikiri linaizo akili za kuishauri serikali
matahira kama haya haya ni mzigo kwa taifa
 
Kama kuna wapiga kura wake humu mwambieni Kiswaga ni MPUMBAVU sana. Mwonyesheni hizi takwimu za bei za mfuta za nchi za SADC:-
Screenshot_20260402_133322_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom