Tangu uhuru taifa limekuwa likiongozwa na wao. Kila siku hatuachi kukumbushwa juu ya mazuri na mema mengi sana ambayo wametufanyia (utadhani ni hisani). Hapa utasikia mambo kama tumejenga shule, tumejenga barabara, tumejenga hospitali, tumeleta umeme, tumeleta hiki na kile.
Sasa basi, katika...