ni nini

Ni Ni's Treehouse is a preschool television series and was produced jointly by The Itsy Bitsy Entertainment Company and GMTV. It was originally aired on TLC and GMTV from 2000 until 2003.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    JamiiForums Tanzania Kosa la Luhaga Mpina ni nini hadi aandamwe kiasi hiki?

    Nimekuwa mfuatiliaji wa karibu wa Bunge ambalo linahitimisha uhai wake leo, lakini kuna jambo limekuwa likinitatiza na kujiuliza Kosa la Mpina ni nini hadi aandamwe kiasi hiki? https://youtu.be/PN81WsF_xtk?si=k9ZKT_YzOEruZsfw https://youtu.be/dJ3VufyOuLE?si=bfhouP59K5a_gcSP...
  2. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Wataalam Aviation...hii ni nini?

    Pale ndege inapoanza kupaa hukimbia na kupiga kelele. Ikianza kupaa kuna hatua inafika kunatokea hali ya ukimya na wakati huo huo inakuwa kama vile inakosa nguvu na kuanza kushuka chini kidogo. Hapo ndipo itageukia kushoto ama kulia....then ndipo unasikia machine zinanguruma nguvu kuongezeka...
  3. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Look at this: Huu ni Ujinga Hama ni Nini?

    "Habari Dada samahani naomba unipostie najuta sana dada ako katoto nilizaa na mchina aliyekuwa kwenye mradi wa ujenzi wa barabara. Mradi ulipoisha akahamia sehemu nyingine, baada ya kujifungua alikuwa ananihudumia vizuri sana na alisema watakapomaliza mradi tutaondoka wote. Sasa ni miezi...
  4. Jacobus

    JamiiForums Tanzania Hivi kandanda ni nini?

    Sasa hivi Azam Sports 3 waeandika 1600-1800 Kandanda mbashara lakini wanaonesha mashindano ya 'basketball' ya CRDB kombe la Taifa. Mie nachofahamu kandanda ni mpira wa miguu au soka au 'football'. Sasa tusaidiane kama hiyo 'basketball' nayo ni kandanda.
  5. Mi mi

    JamiiForums Tanzania AIPAC ni nini ? Kwa nini na ki vipi inaamua sera za nje za marekani juu ya Israel

    AIPAC ni nini ? A National Movement of Pro-Israel Americans WE ARE more than 5 million pro-Israel Americans from every congressional district who are working to strengthen bipartisan support for the U.S.-Israel relationship. Imeanzishwa lini ? AIPAC was founded in 1954 by Isaiah L. Kenen, a...
  6. Ellerie Bexley

    JamiiForums Tanzania Naombeni kujua huyu ni mdudu gani maana nilikuwa na jipu ile kutumbua akatoka

    Habari zenu naombeni kujua huyu ni mdudu gani maana nilikuwa na jipu ile kutumbua akatoka huyu mdudu Yani sielewi 🙏🙏🙏🙏
  7. Marco Seth

    JamiiForums Tanzania Fizikia na Hesabu ni rahisi, kwanini watu wanaona ni ngumu?

    Hakuna somo Rahisi kama Physics na Math😎. Namshukuru Mungu alinipa siri yake Nikawa nafaulu Baadaye nikafkia stage nikawa napata 97% kwenye Physics Kila kitu kinawezekana Physics na Math ni masomo yanayohitaji watu waliotayari kufikiria sio wazembe . Watu waliopewa uwezo na Mungu Kuyavumbua na...
  8. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Ni nini faida ya kushabikia mauaji ya Waarabu yanayofanywa na Israeli ?

    Habarini za Wakati Huu Ndugu wanajamvi. Nimekua nikifuatilia vita ambavyo vimekua vikiendelea toka nikiwa mdg huko nikiwa sifahamu lolote hadi nimekua mtu mzima nafuatilia kwa ukaribu sana. Mauaji yanayofanyika huko yanaumiza moyo na niwazi kwamba Hivi vita vitadumu maisha yote hata mwisho...
  9. Da Vinci XV

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya rangi za binadamu: Ni nini siri yake ?

    Na DaVinc XV Katika dunia hii pana yenye milima na mabonde, mito na bahari, jua kali na theluji yenye baridi tele, mwanadamu ameendelea kuishi karne kwa dahri akiwa tofauti kwa sura, sauti,kimo, unene na rangi ya ngozi. Kutoka mweusi kama usiku wa nyika, hadi aliye mweupe kama barafu ya...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Camfed ni nini? Anae wafahamu Camfed vizuri afunguke

    Camfed ni watu gani hawa? Wana fanya kazi kwa utaratibu gani? Anae wafahamu vizuri ni nani? How comes mnamuandikisha mtoto kwenye mpango wa kumsomesha kwamba anaishi kwenye mazingira magumu bila kuwashirikisha wazazi wake? Mimi baba Nina uwezo wa kumsomesha mtoto wangu. Ghafla naambiwa...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Camfed ni nini? Anae wafahamu Camfed vizuri afunguke

    Camfed ni watu gani hawa? Wana shughulika na nini hasa? Anae wafahamu vizuri ni nani?
  12. Genesis_2030

    JamiiForums Tanzania 📍 Je ngiri maji ni nini (Hydrocel)

    🩺 Elimu ya Afya Leo: Hydrocele (Ngiri ya Maji) 📍 Imeandaliwa na: Hillary Francis Ndeng’aso Radiology Technologist (Mtaalamu wa Mionzi) | Health Educator (Muelimishaji wa Afya) | Genesis Project. 📲 IG: @hillary_officialtz 🔍 Hydrocele ni nini? Hydrocele ni hali ambapo maji hukusanyika kwenye...
  13. Marco Seth

    JamiiForums Tanzania Gravity ni Nini ?🤔imetokea Wapi?

    God In his Creation Created Gravitational Force Gravitational force is the fundamental force of nature that cause objects with to attract each other According to Universal law of Gravitation State that The Universal Law of Gravitation, also known as Newton's Law of Universal Gravitation...
  14. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Hivi hii tabia ya Babu na Bibi kuwa "wapole sana" kwa Wajukuu zao kuliko walivyokuwa kwangu Mtoto wako ni nini?

    Yaaani hawa Wazee wangu wakiwa kwangu au tukienda kuwatembelea, hawataki kabisaaa niwaguse Wajukuu zao hata kwa kakofi kadogo. Na pia hawapendi niwagombeze Wajukuu Sielewi aiseee hii Softness wameitoa wapi maana walivyonilea miye ilikuwa ni mchakamchaka mno na hata sasa na Utu Uzima huu kuna...
  15. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Upeo na ujasiri wa wanasheria wa serikali upo chini sana. Tatizo ni nini hasa?

    Awe bungeni (mwanasheria mkuu) au mahakamani (mawakili wa serikali), kote huko wanasheria wa serikali wameonekana kuwa na upeo wa chini huku wakikosa ujasiri. Case study. Jopo la mawakili wa serikali katika kesi uhaini ya Lissu, siku ya leo (16/6/2025) mahakamani walikuwa wazito na wenye woga...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania USDT ni Nini? Kwa Nini Inaaminika Kama Dola ya Kidijitali?

    Je, Kwa Nini USDT (Tether) Inaonekana Kama Sarafu ya Kidijitali Inayoshikilia Thamani ya Pesa?. Tuje kwenye Historia Kabla ya kuibuka kwa USDT, watu waliokuwa wakitumia sarafu za kidijitali kama Bitcoin au Ethereum walikumbwa na changamoto kubwa ya mabadiliko makubwa ya bei (volatility). Hii...
  17. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Silver Cord of life ni nini?

    Nilishawahi kukutana na huo msamiati humu JF. Lilihusushwa na utokaji nje ya mwili. Leo nimekutana nao kwenye Biblia! "Yes, remember your Creator now while you are young, before the silver Cord of life snaps and the golden bowl is broken. Don't wait until the water jar is smashed at the spring...
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Gundu ni Nini

    Gundu ni... Unaamka asubh huku ukiwa na heng over ya jana ucku😂😂 Unapasha maji kweny jiko la gec ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na yabard unajimwagia,,,unaungua unaanza kupiga kelele bafuni😂😂😂 Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu Ile unatoka nje ndege anapita...
  19. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Imekua ni hatari sana kuwa mpinzani kwa miaka ya hivi karibuni hapa nchini, je ni nini kimetufikisha hapa?

    Awamu ya tatu na nne vijana wengi walihamasika kuingia upinzani na ilionekana ni kitendo cha kishujaa huku wakiungwa mkono na familia zao. hali imekua tofauti kwa vipindi vya awamu mbili za hivi karibuni, ambapo kuwa mpinzani imeonekana ni kitendo cha kuuweka rehani uhai pamoja na furaha ya...
  20. I

    JamiiForums Tanzania Kompyuta ya AI ni Nini, na Inatofautianaje na Kompyuta ya Kawaida?

    Kompyuta ya AI ni Nini, na Inatofautianaje na Kompyuta ya Kawaida? Na ITS MALEKOGJ Katika zama hizi za maendeleo ya kasi ya teknolojia, kila siku tunasikia maneno mapya. Mojawapo ni “AI PC” — au kwa tafsiri rahisi, Kompyuta ya Akili Bandia. ➤Inaonekana kama uvumbuzi mkubwa wa kisasa. Lakini...
Back
Top Bottom