nguvu za kiume

  1. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania Je, matumizi ya Ajinamoto kuongeza Ladha kwenye chakula kuna athari kwenye nguvu za kiume?

    Kuna kiungo Cha kupikia ni kama chumvi au ndimu, hiki kiungo ni kemikali hutumika majumbani na kwenye mapishi ya biashara kwenye bar na migahawa. Kinajulikana kwa jina la Ajinamoto, ndugu wanajukwaa hasa wadau wa lishe, afya na chakula karibu kwa ufafanuzi kama hiki kitu kinaathari kwenye...
  2. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Elimu juu ya nguvu za kiume, PMS, saikolojia, Sanaa ya mapenzi, lishe na mitishamba. Too deep

    https://youtu.be/Fh1P-A3RQbg?si=tEi8cxUnz1rTIuQe
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume limepungua nchini?

    Kuna wakati kulikuwa na kelele nyingi sana na matangazo kila kona kuhusu tatizo la nguvu za kiume na tiba mbalimbali za kuongeza nguvu za kiume. Sasa hivi ni kama harakati za kutafuta nguvu za kiume zimefifia sana, hazisikiki kelele nyingi katika vyombo mbalimbali vya habari au mitandao kuhusu...
  4. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania Siri ilioko nyuma ya pazia juu ya nguvu za kiume

    Habari, nimeona nireje MAELEZO niliyowahi kuyatoa kwenye Moja ya Uzi niliyowahi kuchangia bàada yakupata PM na calls kutokana kwa wanaJF wengi wakihitaji ufafanuzi na msaada wakimatibabu juu ya hili na wengi wamepata ufumbuzi wa elimu na tiba juu ya hili. Nimerejea ili tujadili kwa pamoja kwa...
  5. The unpaid Seller

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hebu naomba niweke jambo Moja bayana: PUNYETO HAIPUNGUZI NGUVU ZA KIUME

    May all souls find enlightenment, Moja kwa Moja kwenye mada, nianze kwa kusema Mimi ni mwanaume (45) nimepata na pamoja na mambo mengine katika ndoa yangu naenjoy sana sex ofcourse nina michepuko kadhaa pia. Sinywi pombe, sivuti sigara, napenda kula vizuri (starehe yangu nyingine) nafanya...
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natumia uungwana, huna tatizo la nguvu za kiume, ni mwoga.

    Kama ilivyo kawaida. Kwema ndugu zangu wa JF? Aisee, wanaume wenzangu wanalalamika sana humu ndani, kuhusiana na tatizo la nguvu za kiume, ikiwemo kushindwa kusimamisha uume kwa uimara, au kushindwa kusimamisha kabisa, wawapo faragha. Mimi siyo daktari, ila kuliko kufaidika mwenyewe kimya...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Kukosa nguvu za kiume

    Habari wakuu naomba msaada tafadhari nina kama mwezi mmoja sasa nakosa hamu ya tendo pia jogoo hawiki kabisaa naomba mtu mwenye kujua dawa ya uhakika anisaidie tafadhari hali yangu sio nzuri naona aibu kwa mtubwangu
  8. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke ulie kwenye ndoa, mumeo akipatwa na tatizo la nguvu za kiume, ukiwa na uwezo wa kumtibu utamuhangaikia ama ukamuacha ateseke?

    Imetokea somewhere jijini Dar es salaam, mwanamama mmoja in her 50s,mumewe kapatwa stroke. Mmama ana ana uwezo mkubwa tu which means kwamba anao uwezo wa kumuhangaikia mumewe apate tiba arudi kuwa Sawa lakini kamuacha mumewe kitandani anapigwa na vi benten. What about u mwanamke? Wewe...
  9. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wacha niwafundishe dawa bora kabisa ya nguvu za kiume (Dawa namba moja ya nguvu za kiume)

    Hii inakuhusu zaidi wewe Mtanzania mwenye kipato cha chini ambae hauna uwezo wa kurudi gharama za matibabu ya nguvu za kiume. Nasema hivi kwa sababu matibabu ya ukweli na uhakika ya nguvu za kiume yapo hapa Tanzania, na watu wanatibiwa na kupona kabisa. Tatizo la nguvu za kiume linabaki...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Joto la Dar kizuizi cha ongezeko la watu

    Idadi ya watu kuongezeka inapelekea kukutana na kashikashi zitokanazo na Joto la Dar kwa sababu linapunguza NGUVU za KIUME kwa maana ya kukosesha hamu ya kufanya mapenzi na hivyo kupelekea tendo la ndoa kuwa lenye kukosa Radha na hivyo kutishia uwajibikaji wa kufanya Hilo tendo lenye malengo...
  11. Melki Wamatukio

    JamiiForums Tanzania NADHARIA Mmea wa Mwani wa hutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Nimepita mahali nikakutana na jopo likiwa na gari yao likiuza na kutangaza faida za mmea wa mwani ikiwa ni pamoja na kutatua tatizo la upungufu wa nguvu za kiume Kuna ukweli wowote kwenye hili?
  12. dr namugari

    JamiiForums Tanzania Matangazo ya kuongeza za dawa za kuongeza nguvu za kiume inatudhalilisha wanaume

    Jana nilimpelekea mtu moto mkaal eti baada ya mapuziko ananimbia kuwa mm natumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume," alisema mbna wee wa moto hv au umepaka mkongo nn" 🤣 😂 nikacheka akasema tena "utakuwa unatumia haya madawa ya kuongeza nguvu haiwezekani unikamatie hvyo dk 45 hukojowi tu akasme...
  13. DLc

    JamiiForums Tanzania Sababu za upungufu wa nguvu za kike

    ungufu
  14. Trainee

    JamiiForums Tanzania Yanayomaliza na yanayoongeza nguvu za kiume

    Mada pendwa kwa wanaume! Hebu tujikumbushe yale yote tuliyowahi kusikia, kuona, kusoma au hata kuexperience kuwa yanachangia katika nguvu za kiume kuongezeka au kupungua. Nitataja randomly baadhi ya magonjwa, kazi, mazoezi, tabia, vyakula na vinywaji Kula chips- weka za kushiba na kila kitu...
  15. Joseph midimu

    JamiiForums Tanzania Nasumbulia na tatizo la nguvu za kiume naomba msaada

    Nahitaji wataalamu anaweza kunisaidia jinsi ya kutibu nguvu za kiume zijirudi kama awali anisaidie maana nimekuwa natumia mkongo mwanzo mwisho.au pia niendelea kutumia? Soma Pia: Mazoezi ya Kegel husaidia kutibu changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume
  16. haszu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba uzoefu wa kuendana na mke wenye uhitaji wa "sex" kila wakati

    kwa uzoefu wangu nimefikia hitimisho la kusemackua, mke wangu ana nguvu nyingi kwenye tendo la ndoa na si kuwa nina tatizo la nguvu za kiume. Nimejaribu kuendana na kasi yake ya uhitaji wa jambo hili lakini nimeona uhitaji wake ni above average. Naomba msaada wa namna ya kuedanda nae, anapokua...
  17. B

    JamiiForums Tanzania KWELI Mazoezi ya Kegel husaidia kutibu changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume

    Kuna taarifa mitandaoni zimekuwa zikisambaa na kutanabaisha kuwa mazoezi ya "kegels" yanaweza kuongeza au kutibu shida ya nguvu za kiume kwa ufanisi, Je ni kweli?
  18. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umri wangu ni miaka 37. Sina nguvu za kiume imara, siwezi kurudia round ya pili

    Habari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada ya masaa zaid ya 10. Round ya kwanza uume nikichelewa kuingiza unalala au hata unalala ukiwa ukeni...
  19. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Vijana wapo hatarini zaidi kupoteza nguvu za kiume, matumizi ya ndimu ya unga yamekithiri mno

    Upatikanaji wa ndimu umekuwa adimu sana kipindi hiki na bei zake zimechangamka sana. Mbadala wa wafanyabishara wengi wa chakula wanatumia ndimu ya unga, na ni sehemu nyingi sana kwa sasa ndio ndimu wanayoitumia. Ndimu ya unga ni kisababishi kikuu cha kulegeza uume , hivyo kwa hii hali...
  20. Technophilic Pool

    JamiiForums Tanzania Huyu mwanaume anaesifia kula chips twitter (x) ni nani Tanzania?

    Kuna mtu kila nikiingia x namkuta anapost kusifia chips. Na hii ni baada ya wadau kumponda nadhan anatumia muda wake wote maishani kujaribu kuonesha yuko sahihi. Wanaume/Mwanaume usile chips we mwanaume ujue. Isipokua kwa wale second class men
Back
Top Bottom