Wakuu hebu kwanza tuachane na mambo ya Chaumma tuongee Ishu nyeti kama wanaume !
Mara kadhaa nimekuwa nikisia na kuona baadhi ya wanaume hasa mitandaoni wakilala Mika ya kwamba,wanapokuwa kwenye mizagamuano baada ya bao la kwanza tu mzee Ramadhani mpiga chafya hulala kabisa huku wakivuta pumzi...
Achaneni na upotoshaji mwingi sana mitandaoni na vijiweni kuhusu shida ya tatizo la nguvu za kijinsia.
Suluhisho la uhakika na la kipekee sana kuponya na kumaliza kabisa tatizo lako la nguvu za kijinsia, ni kula chakula bora na matunda safi ya kutosha, kunywa maji safi na maziwa ya kutosha...
Habari zenu wapendwa, Naomba niwape Siri hii "fahamu vyakula ambayo ukivila vitakuongezea uzalishwaji wa testosterone hormone, estrogen levels na kuwa catalyst ya uzalishwaji wa hormones nyingine za uzazi kwa wanaume na wanawake. Hivyo kuwe kuondoa uwezekano wa upungufu wa nguvu wanazoziita za...
Hakuna Tatizo linalotesa wanaume kama upungfu wa nguvu za Kiume.
Tatizo hili ni kubwa kuliko hata Tatizo la uchumi, yaani ni bora uwe maskini wa kutupwa kuliko kuwa na upungufu wa nguvu za Kiume.
Mimi ni victim mkubwa sana wa Tatizo hilo,na baada ya kupona nimeona bora nitoe Elimu ya bure kwa...
Sasa hivi ni msimu wa mapera. Kula mapera manne angalau kila siku. Halafu njoo hapa utoe ushuhuda.
Facts:
1. Vitamin C – Husaidia kuongeza uzalishaji wa shahawa na kuzuia uharibifu wa seli kwa sababu ya oksideni nyingi (oxidative stress). Pera lina vitamins C mara nne zaidi ya chungwa.
2...
Wakuu,
Hofu ilikuwa imetanda ktk maisha yangu ,kila nikikutana na dada wa watu naishia dk 10 namaliza na matokeo yake ananiambia nimemchafua
Hakika nilidhani Nina upungufu wa nguvu za kiume,nilipanga kuwaambia wazazi nyumbani waanze kunitibisha lakini nafsi ilikataa katakata 🏃
Baada ya kuoa...
Kwa mujibu wa moja ya manibii muhimu na wakuaminika hapo daslam, ni kuwa kuanzia mwezi huu wanne wanaume wengi watapoteza nguvu za KIUME na makende kusinyaa.
Nabii ametoa wito kwa wanawake kuwavumilia waume zao sababu Hali hiyo ya ugoigoi itawakumba hata hao wanaowafikiria kwenda kuchepuka nao
Iko hivi!
Wanawake wengi niliojamiana nao wananiona mimi ni mtu nisiyekuwa na nguvu nyingi za kiume kutokana na sababu kadhaa.
Jambo la kwanza ni kunuka kwa mdomo; kuna baadhi ya wanawake niliokutana nao kimwili ambao wananunuka mdomo kiasi cha kusema kwa shida wakati wa tendo la ndoa jambo...
Usihitaji kujua kwanini hii nyuzi imeshuka asubuhi asubuhi.
Kama unazifahamu njia za kiasili ambazo siyo dawa za viagra, share hapa kwa manufaa ya wengi. Asante!
Inaweza kuwa ngumu sana kuamini na kuilewa hii kwa wanaume, ila leo tumia macho yako kusoma thread hii......
Tumezaliwa katika kizazi ambacho kilichojitenga na maadili mema ya kijamii ambapo mambo mabaya, ushetani, uongo yamegeuzwa kuwa haki na dunia huyaabudu hayo, nije kwenye point...
Vijana hawajali tena maana njaa sasa imewafika pabaya.
Zamani vitu kama hivi viliuzwa kwa usiri na ukimya ila sasa hivi vijana wakiangalia tabu hii ukiunganisha na stress walizonazo wanaona acha niropoke tu hata kama nisiporopoka njaa haiwezi badirika.
MAPAMBANO YAENDELEE
Umewahi kujiulixa hili
Makanisa mengi ya kiroho wakianza kuombea watu
Kama ULIKUWA HUJUI hili kama ukisikia neno "umeme " nguvu za kiumeee ama za kike
Ukisikia mwenye umeme uliopotea nikujuze nguvu za ....kama una shida hioo kimbilia fasta MBELE ukaombeweee
Badoo nawaza
Hivi ilikuwaje...
Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) imesema kati ya asilimia 40 hadi 50 ya wanaume wanakabiliwa na tatizo la nguvu za kiume, huku wengi wakifika hospitalini hapo kutafuta huduma ya upandikizaji wa uume.
Mkurugenzi Mkuu wa BMH, Prof. Mabere Makubi, akizungumza leo Machi 4, 2025 jijini Dodoma...
Za jioni,
Well kuna kamsemo kanasema kuwa starehe ya masikini ni ngono. Well napingana na hiyo kauli kwa 100% mimi naamini kuwa wanaume wengi duniani kama sio wote tunapenda SEX kuliko chochote kile. Hivyo huo msemo ilibidi uwe "starehe ya wanaume ni ngono"
Ndio maana
1. wanaume tunanunua...
Wadau naandika uzi huu kutokana na uzoefu wangu binafsi wa muda mrefu.
Suala la nguvu za kiume linategemea sana na aina ya mwanamke unaelala nae kama anakupa mizuka au lah,
Point zangu ziko hivi.
Kwa muda mrefu nina mpenzi ambae nakuwa nae muda mwingi. Huyu mpenzi ana mazoea kwa hiyo hatunaga...
Kuna kiungo Cha kupikia ni kama chumvi au ndimu, hiki kiungo ni kemikali hutumika majumbani na kwenye mapishi ya biashara kwenye bar na migahawa.
Kinajulikana kwa jina la Ajinamoto, ndugu wanajukwaa hasa wadau wa lishe, afya na chakula karibu kwa ufafanuzi kama hiki kitu kinaathari kwenye...
Kuna wakati kulikuwa na kelele nyingi sana na matangazo kila kona kuhusu tatizo la nguvu za kiume na tiba mbalimbali za kuongeza nguvu za kiume.
Sasa hivi ni kama harakati za kutafuta nguvu za kiume zimefifia sana, hazisikiki kelele nyingi katika vyombo mbalimbali vya habari au mitandao kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.