nguvu za kiume

  1. N

    JamiiForums Tanzania Hii mada ni kwa Wanaume miaka 50 na kuendelea: Uhusiano kati ya Kuongezeka kwa Tezi Dume na Ukosefu wa Nguvu za Kiume kwa wenye umri zaidi ya 50

    Ombi: Hii mada inafaa kujadiliwa na makundi matatu yafuatayo:- i. Wanaume wenye umri kuanzia miaka 50 au zaidi; ii. Akinamama wenye wenza (mume au mchepuko) wenye umri wa miaka 50 au zaidi; na iii. Wenye wazazi ambao wanasumbuliwa na Matatizo ya Tezi Dume. Utangulizi: Nilihamasika kuanzisha...
  2. matunduizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake kuvaa nusu uchi na nguo zinazoonyesha maumbile ndio chanzo cha mmomonyoko wa nguvu za kiume

    KWA siku mwanaume anaangalia maeneo nyeti ya mwanamke yaliyofunikwa nusu au robotatu zaidi ya mara mia. Ofisini Barabarani Biasharani Kanisani Kwenye usafiri Pia social media adds na reel/shorts automatic suggestions ( hata kama hufuatililii utawekewa kamoja) zinavyonza morali ya mwanaume KWA...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kumekucha: Wanaume wengi wa Dar hawana Nguvu za Kiume kwa kupenda kula Chips zenye Mafuta mengi hivyo waanze kula Chips zinazokaangwa na Maji

    Wala tusipotezeane sana muda nendeni manaratv mkamsikie wenyewe, ila Mimi nauliza tu Utakaanga vipi Chips na Maji? Sasa taratibu naanza kuamini kuwa huenda Tanzania ikawa na Madaktari Vihiyo (wa Mchongo) na ambao huenda wakawa wanavuta mno Bangi kuliko hata ambao wanazilima huko Tarime (Mara) na...
  4. TUKANA UONE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii Hali Kwa baadhi ya wanaume wakati wa mizagamuano husababishwa na nini?

    Wakuu hebu kwanza tuachane na mambo ya Chaumma tuongee Ishu nyeti kama wanaume ! Mara kadhaa nimekuwa nikisia na kuona baadhi ya wanaume hasa mitandaoni wakilala Mika ya kwamba,wanapokuwa kwenye mizagamuano baada ya bao la kwanza tu mzee Ramadhani mpiga chafya hulala kabisa huku wakivuta pumzi...
  5. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serious Question: Kati ya Pesa na Nguvu za kiume ni kipi Mwanaume hutakiwi kukikosa kabisa ?

    Asie na Pesa nyingi lakini kwenye 6 x 6 ni full package Au Mwenye pesa nyingi ila shughuli hawezi
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kula vizuri chakula na matunda, kunywa vya kutosha maji na maziwa na kupumzika vizuri vya kutosha ndio dawa ya kutibu upungufu wa nguvu za kijinsia

    Achaneni na upotoshaji mwingi sana mitandaoni na vijiweni kuhusu shida ya tatizo la nguvu za kijinsia. Suluhisho la uhakika na la kipekee sana kuponya na kumaliza kabisa tatizo lako la nguvu za kijinsia, ni kula chakula bora na matunda safi ya kutosha, kunywa maji safi na maziwa ya kutosha...
  7. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania FAHAMU VYAKULA VITANO UKILA VINAONGEZA HAMU YA TENDO (Testosterone, Estrogen hormones booster).

    Habari zenu wapendwa, Naomba niwape Siri hii "fahamu vyakula ambayo ukivila vitakuongezea uzalishwaji wa testosterone hormone, estrogen levels na kuwa catalyst ya uzalishwaji wa hormones nyingine za uzazi kwa wanaume na wanawake. Hivyo kuwe kuondoa uwezekano wa upungufu wa nguvu wanazoziita za...
  8. The Whistleblower

    JamiiForums Tanzania Suluhisho la nguvu za Kiume

    Hakuna Tatizo linalotesa wanaume kama upungfu wa nguvu za Kiume. Tatizo hili ni kubwa kuliko hata Tatizo la uchumi, yaani ni bora uwe maskini wa kutupwa kuliko kuwa na upungufu wa nguvu za Kiume. Mimi ni victim mkubwa sana wa Tatizo hilo,na baada ya kupona nimeona bora nitoe Elimu ya bure kwa...
  9. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Nimeuliza AI kama kweli supu ya pweza inaongeza nguvu za kiume

    Source: GROK MAJIBU: SUGGESTION YA VYAKULA: SUGGESTION YA MCHANGANYIKO WA VYAKULA ULIO BORA NA DOZI YAKE:
  10. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Kama una shida ya nguvu za kiume fanya hivi

    Sasa hivi ni msimu wa mapera. Kula mapera manne angalau kila siku. Halafu njoo hapa utoe ushuhuda. Facts: 1. Vitamin C – Husaidia kuongeza uzalishaji wa shahawa na kuzuia uharibifu wa seli kwa sababu ya oksideni nyingi (oxidative stress). Pera lina vitamins C mara nne zaidi ya chungwa. 2...
  11. Holoholo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilipooa suala la upungufu wa nguvu za kiume nalisikia tu kwenye radio

    Wakuu, Hofu ilikuwa imetanda ktk maisha yangu ,kila nikikutana na dada wa watu naishia dk 10 namaliza na matokeo yake ananiambia nimemchafua Hakika nilidhani Nina upungufu wa nguvu za kiume,nilipanga kuwaambia wazazi nyumbani waanze kunitibisha lakini nafsi ilikataa katakata 🏃 Baada ya kuoa...
  12. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Video: Nguvu za kiume kupotea rasmi April 2025

    Kwa mujibu wa moja ya manibii muhimu na wakuaminika hapo daslam, ni kuwa kuanzia mwezi huu wanne wanaume wengi watapoteza nguvu za KIUME na makende kusinyaa. Nabii ametoa wito kwa wanawake kuwavumilia waume zao sababu Hali hiyo ya ugoigoi itawakumba hata hao wanaowafikiria kwenda kuchepuka nao
  13. mfuaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hiki ndicho kinachosababisha naonekana kuwa nina upungufu wa nguvu za kiume

    Iko hivi! Wanawake wengi niliojamiana nao wananiona mimi ni mtu nisiyekuwa na nguvu nyingi za kiume kutokana na sababu kadhaa. Jambo la kwanza ni kunuka kwa mdomo; kuna baadhi ya wanawake niliokutana nao kimwili ambao wananunuka mdomo kiasi cha kusema kwa shida wakati wa tendo la ndoa jambo...
  14. Binti wa zamani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Njia za kiasili za kuongeza nguvu za kiume ni zipi?

    Usihitaji kujua kwanini hii nyuzi imeshuka asubuhi asubuhi. Kama unazifahamu njia za kiasili ambazo siyo dawa za viagra, share hapa kwa manufaa ya wengi. Asante!
  15. Captain said

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya mwanaume hayahitaji nguvu za kiume

    Inaweza kuwa ngumu sana kuamini na kuilewa hii kwa wanaume, ila leo tumia macho yako kusoma thread hii...... Tumezaliwa katika kizazi ambacho kilichojitenga na maadili mema ya kijamii ambapo mambo mabaya, ushetani, uongo yamegeuzwa kuwa haki na dunia huyaabudu hayo, nije kwenye point...
  16. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ugumu wa maisha unafanya dawa za nguvu za kiume zinauzwa hadharani kama pipi zama hizi

    Vijana hawajali tena maana njaa sasa imewafika pabaya. Zamani vitu kama hivi viliuzwa kwa usiri na ukimya ila sasa hivi vijana wakiangalia tabu hii ukiunganisha na stress walizonazo wanaona acha niropoke tu hata kama nisiporopoka njaa haiwezi badirika. MAPAMBANO YAENDELEE
  17. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini nguvu za kiume wanaziita "Umeme"makanisani

    Umewahi kujiulixa hili Makanisa mengi ya kiroho wakianza kuombea watu Kama ULIKUWA HUJUI hili kama ukisikia neno "umeme " nguvu za kiumeee ama za kike Ukisikia mwenye umeme uliopotea nikujuze nguvu za ....kama una shida hioo kimbilia fasta MBELE ukaombeweee Badoo nawaza Hivi ilikuwaje...
  18. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Watano waongezewa nguvu za kiume Hospitali ya Benjamini Mkapa

    Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) imesema kati ya asilimia 40 hadi 50 ya wanaume wanakabiliwa na tatizo la nguvu za kiume, huku wengi wakifika hospitalini hapo kutafuta huduma ya upandikizaji wa uume. Mkurugenzi Mkuu wa BMH, Prof. Mabere Makubi, akizungumza leo Machi 4, 2025 jijini Dodoma...
  19. PSL god

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna faida ya kuwa tajiri kama hana nguvu za kiume

    Za jioni, Well kuna kamsemo kanasema kuwa starehe ya masikini ni ngono. Well napingana na hiyo kauli kwa 100% mimi naamini kuwa wanaume wengi duniani kama sio wote tunapenda SEX kuliko chochote kile. Hivyo huo msemo ilibidi uwe "starehe ya wanaume ni ngono" Ndio maana 1. wanaume tunanunua...
  20. Candela

    JamiiForums Tanzania Hamna tatizo la nguvu za kiume, epuka kutapeliwa

    Wadau naandika uzi huu kutokana na uzoefu wangu binafsi wa muda mrefu. Suala la nguvu za kiume linategemea sana na aina ya mwanamke unaelala nae kama anakupa mizuka au lah, Point zangu ziko hivi. Kwa muda mrefu nina mpenzi ambae nakuwa nae muda mwingi. Huyu mpenzi ana mazoea kwa hiyo hatunaga...
Back
Top Bottom