nguvu za kiume

  1. TUKANA UONE

    Hii Hali Kwa baadhi ya wanaume wakati wa mizagamuano husababishwa na nini?

    Wakuu hebu kwanza tuachane na mambo ya Chaumma tuongee Ishu nyeti kama wanaume ! Mara kadhaa nimekuwa nikisia na kuona baadhi ya wanaume hasa mitandaoni wakilala Mika ya kwamba,wanapokuwa kwenye mizagamuano baada ya bao la kwanza tu mzee Ramadhani mpiga chafya hulala kabisa huku wakivuta pumzi...
  2. W

    Serious Question: Kati ya Pesa na Nguvu za kiume ni kipi Mwanaume hutakiwi kukikosa kabisa ?

    Asie na Pesa nyingi lakini kwenye 6 x 6 ni full package Au Mwenye pesa nyingi ila shughuli hawezi
  3. Tlaatlaah

    Kula vizuri chakula na matunda, kunywa vya kutosha maji na maziwa na kupumzika vizuri vya kutosha ndio dawa ya kutibu upungufu wa nguvu za kijinsia

    Achaneni na upotoshaji mwingi sana mitandaoni na vijiweni kuhusu shida ya tatizo la nguvu za kijinsia. Suluhisho la uhakika na la kipekee sana kuponya na kumaliza kabisa tatizo lako la nguvu za kijinsia, ni kula chakula bora na matunda safi ya kutosha, kunywa maji safi na maziwa ya kutosha...
  4. Dr Luu

    FAHAMU VYAKULA VITANO UKILA VINAONGEZA HAMU YA TENDO (Testosterone, Estrogen hormones booster).

    Habari zenu wapendwa, Naomba niwape Siri hii "fahamu vyakula ambayo ukivila vitakuongezea uzalishwaji wa testosterone hormone, estrogen levels na kuwa catalyst ya uzalishwaji wa hormones nyingine za uzazi kwa wanaume na wanawake. Hivyo kuwe kuondoa uwezekano wa upungufu wa nguvu wanazoziita za...
  5. The Whistleblower

    Suluhisho la nguvu za Kiume

    Hakuna Tatizo linalotesa wanaume kama upungfu wa nguvu za Kiume. Tatizo hili ni kubwa kuliko hata Tatizo la uchumi, yaani ni bora uwe maskini wa kutupwa kuliko kuwa na upungufu wa nguvu za Kiume. Mimi ni victim mkubwa sana wa Tatizo hilo,na baada ya kupona nimeona bora nitoe Elimu ya bure kwa...
  6. ELI COHEN

    Nimeuliza AI kama kweli supu ya pweza inaongeza nguvu za kiume

    Source: GROK MAJIBU: SUGGESTION YA VYAKULA: SUGGESTION YA MCHANGANYIKO WA VYAKULA ULIO BORA NA DOZI YAKE:
  7. N'yadikwa

    Kama una shida ya nguvu za kiume fanya hivi

    Sasa hivi ni msimu wa mapera. Kula mapera manne angalau kila siku. Halafu njoo hapa utoe ushuhuda. Facts: 1. Vitamin C – Husaidia kuongeza uzalishaji wa shahawa na kuzuia uharibifu wa seli kwa sababu ya oksideni nyingi (oxidative stress). Pera lina vitamins C mara nne zaidi ya chungwa. 2...
  8. Holoholo-Baba Kijacho

    Nilipooa suala la upungufu wa nguvu za kiume nalisikia tu kwenye radio

    Wakuu, Hofu ilikuwa imetanda ktk maisha yangu ,kila nikikutana na dada wa watu naishia dk 10 namaliza na matokeo yake ananiambia nimemchafua Hakika nilidhani Nina upungufu wa nguvu za kiume,nilipanga kuwaambia wazazi nyumbani waanze kunitibisha lakini nafsi ilikataa katakata 🏃 Baada ya kuoa...
  9. mwehu ndama

    Video: Nguvu za kiume kupotea rasmi April 2025

    Kwa mujibu wa moja ya manibii muhimu na wakuaminika hapo daslam, ni kuwa kuanzia mwezi huu wanne wanaume wengi watapoteza nguvu za KIUME na makende kusinyaa. Nabii ametoa wito kwa wanawake kuwavumilia waume zao sababu Hali hiyo ya ugoigoi itawakumba hata hao wanaowafikiria kwenda kuchepuka nao
  10. mfuaji

    Hiki ndicho kinachosababisha naonekana kuwa nina upungufu wa nguvu za kiume

    Iko hivi! Wanawake wengi niliojamiana nao wananiona mimi ni mtu nisiyekuwa na nguvu nyingi za kiume kutokana na sababu kadhaa. Jambo la kwanza ni kunuka kwa mdomo; kuna baadhi ya wanawake niliokutana nao kimwili ambao wananunuka mdomo kiasi cha kusema kwa shida wakati wa tendo la ndoa jambo...
  11. Binti wa zamani

    Njia za kiasili za kuongeza nguvu za kiume ni zipi?

    Usihitaji kujua kwanini hii nyuzi imeshuka asubuhi asubuhi. Kama unazifahamu njia za kiasili ambazo siyo dawa za viagra, share hapa kwa manufaa ya wengi. Asante!
  12. Captain said

    Mafanikio ya mwanaume hayahitaji nguvu za kiume

    Inaweza kuwa ngumu sana kuamini na kuilewa hii kwa wanaume, ila leo tumia macho yako kusoma thread hii...... Tumezaliwa katika kizazi ambacho kilichojitenga na maadili mema ya kijamii ambapo mambo mabaya, ushetani, uongo yamegeuzwa kuwa haki na dunia huyaabudu hayo, nije kwenye point...
  13. TheGreatest Of AllTime

    Ugumu wa maisha unafanya dawa za nguvu za kiume zinauzwa hadharani kama pipi zama hizi

    Vijana hawajali tena maana njaa sasa imewafika pabaya. Zamani vitu kama hivi viliuzwa kwa usiri na ukimya ila sasa hivi vijana wakiangalia tabu hii ukiunganisha na stress walizonazo wanaona acha niropoke tu hata kama nisiporopoka njaa haiwezi badirika. MAPAMBANO YAENDELEE
  14. Pdidy

    Kwa Nini nguvu za kiume wanaziita "Umeme"makanisani

    Umewahi kujiulixa hili Makanisa mengi ya kiroho wakianza kuombea watu Kama ULIKUWA HUJUI hili kama ukisikia neno "umeme " nguvu za kiumeee ama za kike Ukisikia mwenye umeme uliopotea nikujuze nguvu za ....kama una shida hioo kimbilia fasta MBELE ukaombeweee Badoo nawaza Hivi ilikuwaje...
  15. Dalton elijah

    Watano waongezewa nguvu za kiume Hospitali ya Benjamini Mkapa

    Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) imesema kati ya asilimia 40 hadi 50 ya wanaume wanakabiliwa na tatizo la nguvu za kiume, huku wengi wakifika hospitalini hapo kutafuta huduma ya upandikizaji wa uume. Mkurugenzi Mkuu wa BMH, Prof. Mabere Makubi, akizungumza leo Machi 4, 2025 jijini Dodoma...
  16. PSL god

    Hakuna faida ya kuwa tajiri kama hana nguvu za kiume

    Za jioni, Well kuna kamsemo kanasema kuwa starehe ya masikini ni ngono. Well napingana na hiyo kauli kwa 100% mimi naamini kuwa wanaume wengi duniani kama sio wote tunapenda SEX kuliko chochote kile. Hivyo huo msemo ilibidi uwe "starehe ya wanaume ni ngono" Ndio maana 1. wanaume tunanunua...
  17. Candela

    Hamna tatizo la nguvu za kiume, epuka kutapeliwa

    Wadau naandika uzi huu kutokana na uzoefu wangu binafsi wa muda mrefu. Suala la nguvu za kiume linategemea sana na aina ya mwanamke unaelala nae kama anakupa mizuka au lah, Point zangu ziko hivi. Kwa muda mrefu nina mpenzi ambae nakuwa nae muda mwingi. Huyu mpenzi ana mazoea kwa hiyo hatunaga...
  18. Brain Kingdom

    Je, matumizi ya Ajinamoto kuongeza Ladha kwenye chakula kuna athari kwenye nguvu za kiume?

    Kuna kiungo Cha kupikia ni kama chumvi au ndimu, hiki kiungo ni kemikali hutumika majumbani na kwenye mapishi ya biashara kwenye bar na migahawa. Kinajulikana kwa jina la Ajinamoto, ndugu wanajukwaa hasa wadau wa lishe, afya na chakula karibu kwa ufafanuzi kama hiki kitu kinaathari kwenye...
  19. Dr Luu

    Elimu juu ya nguvu za kiume, PMS, saikolojia, Sanaa ya mapenzi, lishe na mitishamba. Too deep

    https://youtu.be/Fh1P-A3RQbg?si=tEi8cxUnz1rTIuQe
  20. Yoda

    Tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume limepungua nchini?

    Kuna wakati kulikuwa na kelele nyingi sana na matangazo kila kona kuhusu tatizo la nguvu za kiume na tiba mbalimbali za kuongeza nguvu za kiume. Sasa hivi ni kama harakati za kutafuta nguvu za kiume zimefifia sana, hazisikiki kelele nyingi katika vyombo mbalimbali vya habari au mitandao kuhusu...
Back
Top Bottom