ngo

Organizations which are independent of government involvement are known as non-governmental organizations or non-government organizations, with NGO as an acronym. NGOs are a subgroup of organizations founded by citizens, which include clubs and associations that provide services to their members and others. NGOs are usually nonprofit organizations, and many of them are active in humanitarianism or the social sciences. Surveys indicate that NGOs have a high degree of public trust, which can make them a useful proxy for the concerns of society and stakeholders. However, NGOs can also be lobby groups for corporations, such as the World Economic Forum. According to NG😵rg (the non-governmental organizations associated with the United Nations), "[an NGO is] any non-profit, voluntary citizens' group which is organized on a local, national or international level ... Task-oriented and driven by people with a common interest, NGOs perform a variety of service and humanitarian functions, bring citizen concerns to Governments, advocate and monitor policies and encourage political participation through provision of information."Russia had about 277,000 NGOs in 2008. India is estimated to have had about two million NGOs in 2009 (approximately one per 600 Indians), many more than the number of the country's primary schools and health centers. The term "NGO" is used inconsistently; it is sometimes a synonym for a civil society organization, any association founded by citizens. NGOs are known in some countries as nonprofit organizations, and political parties and trade unions are sometimes considered NGOs. NGOs are classified by orientation and level of operation; orientation refers to the type of activities an NGO undertakes. Activities may include human rights, consumer protection, environmentalism, health, or development. An NGO's level of operation indicates the scale at which an organization works: local, regional, national, or international.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    Kenya Tuko Serious? Mtoto Anashare Choo na 99 Wengine Hadi NGO Iingilie

    Jamani hii nchi kuna kitu haiko sawa… Shining Hope for Communities wameingia ground kusaidia over 100,000 learners Nairobi informal settlements. Wanajenga ICT labs + toilets kwa shule kama Salama Primary School na Huruma Primary School. Lakini sasa sikia hii ➡️ Mtoto mmoja alikuwa anashare choo...
  2. Eronda

    Uganda Civil Society rejects proposed NGO funding bill by Government, warns threat to Freedom

    Uganda's civil society organizations have rejected the government's proposed NGO Funding Bill 2026, which mandates state oversight of foreign funding and accreditation, arguing it threatens constitutional freedoms of association and expression ahead of the 2026 elections. While speaking to the...
  3. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Rais Samia: Naambiwa kwamba vijana walioingia barabarani kudai haki walilipwa kwanza ndipo wakaingia

    Leo Novemba 20, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani katika uzinduzi wa tume huru ya uchunguzi wa vurugu za uvunjifu wa amani uliojitokeza siku ya uchaguzi mku Oktoba 29, 2025 ameeleza kuwa walioingia barabarani na kudai haki walikuwa wamelipwa na NGO za ndani na za...
  4. M

    Vacancy for the position of Managing Director of a well established NGO

    For additional information, please, download the attachment.
  5. L

    Program and Operations Manager at Relief Family NGO July 2025

    APPLICATION CLOSED
  6. The Supreme Conqueror

    Jasusi hatari nyuma ya NGO nchini Burkina Faso.

    Jasusi hatari nyuma ya NGO nchini Burkina Faso. Jasusi Joe Bassey kutoka Perrot Island nchini Cana ameachia nyaraka za siri zinazofichua kwamba Bi Claire Dubois, mwanamke Mfaransa katika miaka 30 iliyopita aliwasili Burkina Faso akijifanya kama mkurugenzi wa NGO ya Magharibi iitwayo Hope...
  7. Bigmaaan

    Ninaomba msaada wa Template ya katibo ya NGO toleo la kiingereza

    Kwema wakuu? Nina hitaji Muongozo wa katiba ya NGO ambayo ni English version. Online site ya board ya NGOs iko suspended. Mwenye kuwa nayo ninaomba anisaidie. Asanteni.
  8. Cannabis

    Kwa nchi zinazotegemea misaada hali inazidi kuwa ngumu, Elon Musk aanzisha mpango wa kuiua USAID

    Elon Musk ameanza kutekeleza mpango wa kuliua Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID). Amesema anaamini USAID ni "shirika la kihalifu" ambalo linapaswa "kufa." Kupitia mtandao wa X Musk alisema “USAID ni shirika la uhalifu. Ni wakati wa kufa” Hii ni baada ya taarifa iliyosema...
  9. N

    Mtumishi wa Umma anaruhusiwa kuanzisha na kusimamia NGO yake?

    Habari JF, Naomba kujua endapo mtumishi wa umma anaruhusiwa kuanzisha na kusimamia NGO yake.
  10. F

    Msaada:Natafuta kazi katika mashirika ya wakimbizi au NGO za masuala ya Afya

    Msaada:Natafuta kazi katika mashirika ya wakimbizi au NGO za masuala ya Afya ELimu: Diploma in Nursing and Midwifery Nina leseni Hai kutoka TNMC ( Tanzania Nursing and midwives Council) as a Registered Nurse Jinsia: Male Email: avicboston@gmail.com PM ipo wazi kwa mawasiliano zaidi...
  11. Boeing787-8

    Reputable NGO kutokutoa interview feedback kwa candidate

    Za asubuhi wakuu, Kuna NGO nyingine unaweza kudhania kuwa ziko serious kumbe sivyo. Niliomba kazi kwa shirika moja lenye makao yake Australia. Wakanichagua kwenye shortlist, baada ya wiki moja nikafanya mahojiano ya kwanza, halafu baada ya wiki nyingine nikaitwa kwa mahojiano ya pili, na baada...
  12. L

    LWAGAKA BUSINESS CONSULTANT: Tunasajili biashara, majina ya biashara, kampuni, NGO na Taasisi mbalimbali

    Habari, karibuni tuwasajilie biashara na huduma mbalimbali na hizi ndo huduma zetu tunazotoa: OUR SERVICES 1️⃣Company registration/ kusajili kampuni (200,000) 2️⃣Business name registration/Jina la biashara (60,000 pamoja na ada) 3️⃣Business license application/leseni ya biashara (50,000)...
  13. RUKUKU BOY

    Lengo la third interview kwenye international NGO

    Habari wakuu, Kuna kazi niliiomba kwenye NGO ya wa Norway. Nikiri ya kwamba sijawai ona Hiring process ndefu kama ya hili shirika. Nilikuwa shortlisted nkapiga interview ya kwanza ambayo ilikuwa phone interview na WA Norway, badae nkapita, na kuingia second interview nilifanya na ma boss kutoka...
  14. T

    Nimefurahishwa na utendaji wa ofisi ya Msajili wa NGO chini ya wizara ya Dorothy Gwajima. Tatizo lipo kwenye ngazi ya mtaa na kata

    Niseme wazi mimi huwa ni mlalamikaji pindi nikihudumiwa sivyo. Lakini Kwa hili napenda niipongeze wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu chini ya mwanamama mhe. Dkt Dorothy Gwajima. Nimehudumiwa vizuri pasipo urasimu wowote mpaka kufanikisha usajili wa shirika lisilo...
  15. sonofobia

    Nani kawahi kuona NGO ya wachina hapa Tanzania? Kama hazipo sababu haswa ni nini kuja kufanya kazi nchi kama Tanzania?

    Naomba nisaidieni kama kuna mtu kawai ona NGO ya kichina nna taka kufanya research kuhusu mchango wa NGO za China kwenye social services za Tanzania. Nipige comparative study China vs Western. Binafsi sijawai ona NGO ya kichina Tanzania na sijui sababu ni nini ata kupata volunteer wa kichina ni...
  16. Start-Menu

    Ngo ngo ngo, hodi wenyeji

    Nimeingia kwenye mji huu wa kidijitali ila kabla hata siku haijaisha nimeona ni uungwana kuwasalimu kwanza wenyeji. Nimekuwa ni msomaji wa muda mrefu wa jamiiforums katika majukwaa kadhaa ila nimeamua rasmi niingie kwenye ngoma nipate uhondo zaidi kuliko kuwa mtazamaji / msomaji. Mnipe baraka...
  17. Z

    CCM ina udhaifu wa kupata viongozi wakuu wa nchi, Sasa nchi imeuzwa!

    Hadithi mitaani ni kwamba kumbe hata Ngorongoro ilikuwa ni dili la mwarabu! Misitu MWarabu! kila kitu sasa ni mwarabu. Ni maamuzi ya rais Samia. Tuliamini ni rais mwema, CCM iliamini ina kiongozi wa Tz. Zipo hadithi tofauti juu ya samia kuingia ktk siasa. Yeye mwenyewe alieleza safari yake kwa...
  18. comte

    CHADEMA kama mnataka tuwaamini ili tuwape nchi wekeni hapa mkataba wa uhusiano wenu na NGO ya Kijerumani The Konrad Adenauer Stiftung (KAS)

    Mwaka 2004 CHADEMA iliingia ubia na NGO ya Kijerumani The Konrad Adenauer Stiftung (KAS) ili iwajengee uwezo wa kisiasa, kiutawala na kiufundi (technical assistance including capacity building for local leaders, programmatic support and structural coordination). TUWEKEENI HUO MKTABA HAPA WA UBIA
  19. Exformer

    Natafuta nafasi ya kujitolea katika taasisi binafsi, NGO au sehemu yoyote

    Habari zenu wanajamii, Mimi ni kijana wa Kitanzania, nina miaka 25, mhitimu wa chuo kikuu cha Ushirika Moshi (MOCU). Nimesomea shahada ya sanaa katika Uchumi wa Maendeleo ya jamii (Bachelor of Arts in Community Economic Development) Mbali na elimu niliyosomea nina ujuzi wa kutumia Computer hasa...
  20. Boss la DP World

    Kilimanjaro: Asasi inayohamasisha Ushoga na Usagai yafutwa

    Serikali wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro, imesitisha shughuli zinazofanywa na shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na vijana la Kilimanjaro Youth Network baada ya kubainika kufundisha na kufungisha vijana ndoa za mapenzi ya jinsia moja tofauti na usajili wa shirika hilo. Chanzo...
Back
Top Bottom