new

  1. D

    Wana JF Mimi nimgeni hapa kutoka Kenya

    Habari zenu Wana JF Mimi nimgeni hapa kutoka Kenya naomba mnikaribishe thank you 🫂
  2. Moaz

    The new political system for Africa

    THE NEW POLITICAL SYSTEM FOR AFRICA NAME: The Ubuntu Sovereign System (USS) "Ubuntu" is an African philosophy meaning "I am because we are"—emphasizing unity, responsibility, and justice. The Ubuntu Sovereign System (USS) is a political system designed for Africa, merging religious values...
  3. Beira Boy

    New York: Wahuni waiba TREN ya umeme na kutokomea nayo kusikojulikana

    Amani iwe nanyi Dunia haishiwi maajabu Polisi huko New York wametoa mkanda wa video unaoonesha kundi la watu wakiiba treni iliyokuwa imeegeshwa na kuiendesha. Polisi inasema watu hao walijirekodi wakifanya kitendo hicho kisha wakaposti video hiyo kwenye mtandao wa kijamii. LONDON BOY
  4. D

    Car4Sale Vitz new model

    Mileage 47000+Km Bei Milioni 11 Taarifa na Documents zote muhimu zipo. Mteja aliye serious , karibu sana 0621 396 550
  5. LIKUD

    Wanaopinga " New World Order" ni vichaa

    Wanapinga kitu wasicho kijua. Nimefanya utafiti WA Kina kuhusu New World Order . Nimesoma vitabu ishirini kuhusu " New World Order" . Ninasema hivi dunia hii Ina ihitaji New World Order Kuliko unavyo weza kufikiria. Mngejua New World Order mngetamani ianze hata kesho. Mnadanganywa sijui...
  6. Mnyilinga Digital

    Mnyilinga Digital (MD) New Logo

    Mnyilinga digital logo (MD) new 2025 designed by Mnyilinga graphics. Mnyilinga Digital tunatambulisha logo yetu mpya 2025 Wana jamii forums kama unataka logo kali wasiliana na +255 741 502 775
  7. yassird200

    Hi Guyz...

    Am new member here! Nimevutiwa na jukwaa hill kwa mambo mengi zaidi kubadilishana ideas,naombeni ukaribisho weni guyz! Asante.
  8. K

    Uwekezaji kwenye AI “ the new bitcoin”

    Mwaka 2009 wakati bitcoin inaanzishwa ilikuwa na thamani ya usd 0.4 ambayo ilikuwa ni kama tsh. 520 tu kwa wakati huo, ilipanda thamani taratibu na hivi sasa miaka 16 baadae thamani ya bitcoin moja ni Karibia Milioni 236 za kitanzania. Aliyewekeza Tsh. 520 mwaka 2009 au Tsh. 22,000 mwaka 2012...
  9. U

    Shambulizi la kigaidi kwa kutumia gari aina ya pickup new Orleans Marekani, 10 wauawa na 30 wajeruhiwa , muuaji akutwa amefariki

    Wadau hamjamboni nyote? Ni shambulizi la kigaidi huko new Orleans Marekani Dereva aua watu 10 na kujeruhi wengine 30 baada ya kuendesha gari kwa spidi kubwa na kuvamia umati mkubwa wa watu walisherehekea mwaka mpya Dereva huyo pia aliwapiga risasi polisi wawili na kuwajeruhi Taarifa kamili...
  10. Mejasoko

    Jamaa wameniaharibia Raha ya mwaka mpya na na email ya kifedhuli, hivi new year si siku ya mapumziko?

    Niliomba kazi kwenye hii taasisi wiki iliyopita Sasa Leo nakutana na email na hivi ni mwaka mpya nikajua itakua ni habari njema kumbe ni huu upuuzi 🤣🤣🤣 Thank you for the time you took to express interest in Watu. We regret to inform you that at this stage we have decided to proceed with...
  11. Leejay49

    Happy New Year Max

    Incase kuna ambaye amesalia kuwatakia mwaka mpya basi naomba niwe mimi,. Happy new year Founder Maxence Melo na Uongozi wako mzima wa JamiiForums Active Wand Moderator Payge Paw Mhariri Na Mods wengine niliowasahau Nawasilisha✍✍
  12. M

    RC makonda akinukisha Arusha, shamrashamra za new year 2025 za fana.

    Happy new year 2025 wadau wote wa JF. Kama mlivyosikia, sherehe za kupokea mwaka mpya kitaifa zimefanyika Arusha. Wakati dar Mwamposa akivukisha watu na chao, na kule Mwanza wakiomba kutoka viwanja vya Nyamagana. Arusha imekuwa ni habar nyingine kabisa. Vibe la kufa mtu. Mitaa inayoingia...
  13. kante mp2025

    Happy New Year Mzena Hospital

    Jobless leo nimewakuta nawawaza sana hawa Mzena hospital. Hivi hawa wakuu wanatumia utaratibu gani kupata wafanyakazi wao nimekuwa nikitamani sana kufanya kazi kwenye hii hospitali lakini sijawahi yaona kabisa matangazo yao ya kazi. Kwa anayejua Mzena wanatumia utaratibu gani kuajiri wataalamu...
  14. Pdidy

    Heri ya Mwaka Mpya kwa Wana CCM wote, kazi iendelee

    Kidumu chama cha mapinduzI Nawatakia hapoye new year Wana CCM wote katika Bwana Mkawe na MWAKA WA furaha na baraka
  15. NyegereBOY

    Hivi kwanini Subaru Impreza new model kuanzia 2012 huuzwa mapema baada ya kununuliwa ! Zinachangamoto Gani ? Mwenye ujuzi atujuze tafadhali

    Wakuu kama kichwa kinavyoeleza nimeanza kuwa na mapenzi ya dhati na Subaru Impreza za kuanzia mwaka 2012 tofauti na matoleo ya Nyuma kwakuwa za Nyuma niliziona ziko chini sana tofauti na hizi new model Wasi wasi wangu ni kuwa nyingi nazo zifahamu au kuziona Mtaani na hata mtandaoni huuzawa mara...
  16. Ponjoro wa Kinondoni

    Nilipata fursa ya kutembelea Australia na New Zealand nilichojifunza ni hiki

    Wakuu, mnamo mwezi wa 7 mwaka 2023 nilipata fursa ya kutembelea Australia na baadaye New Zealand, kwakifupi NILIKATA TAMAA. 1. Hakuna namna Tanzania tunaweza kuwafikia hata wakiamua kutusubiri kwa miaka 100. 2. Niliona kabisa kuwa Waafrika wengi ni kama hatuna akili hasa tunapokuwa katika...
  17. Jamii Opportunities

    4 exciting new vacancies at Simera Transport Limited including Tire Inspector, Welding Mechanic and more - December, 2024

    Company Summary: Simera Transport Ltd is a Tanzanian company under private ownership, was founded in 2012 and has since evolved into the preferred choice for road freight transport and logistics. Operating in Tanzania and Rwanda and also has a sister company in Zambia called Motion Logistics...
  18. Donkey

    ATC Anzisheni haraka route ya Dar to JFK New York USA

    Shirika la ndege Tanzania- ATC Anzisheni haraka safari za kutoka Dar/Kilimanjaro kwenda JFk New York USA, sababu Kuna abiria wengi sana Toka USA kuja Tanzania. Changamkeni
  19. tajiri wa fikra

    Computer4Sale Laptop brand new

    chuma hiki hapa,mpya📌 DELL LATITUDE 3380 14inch Display, 7th Generation Intel Core i5, 2.7GHz RAM 8Gb DDR4 Storage 500Gb HDD Battery Health: 100% 6 Month Warranty *Price 520,000/- Phone:0712793505
  20. M

    Ushauri: Gari Toyota Spacio New Model kukosa nguvu pindi ninapokutana na mlima

    Wakuu habari za Majukumu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, gari yangu hiyo aina ya Toyota Spacio hivi karibuni imekuwa ikikosa nguvu pindi inapoanza kupanda mlima hata kama ni kidogo pia inakuwa kama inamiss hivi sasa sijajua kama ni ishu ya Fuel Pump au maana hata nikijaribu piga ress...
Back
Top Bottom