NEC Corporation (日本電気株式会社, Nippon Denki Kabushiki-gaisha) is a Japanese multinational information technology and electronics company, headquartered in Minato, Tokyo. The company was known as the Nippon Electric Company, Limited, before rebranding in 1983 as NEC. It provides IT and network solutions, including cloud computing, AI, IoT platform, and 5G network, to business enterprises, communications services providers and to government agencies, and has also been the biggest PC vendor in Japan since the 1980s, when it launched the PC-8000 series.
NEC was the world's fourth largest PC manufacturer by 1990. Its semiconductors business unit was the world's largest semiconductor company by annual revenue from 1985 to 1992, the second largest in 1995, one of the top three in 2000, and one of the top 10 in 2006. NEC spun off its semiconductor business to Renesas Electronics and Elpida Memory. Once a Japan's major electronics company, NEC has largely withdrawn from manufacturing since the beginning of the 21st century.
NEC was #463 on the 2017 Fortune 500 list. NEC is a member of the Sumitomo Group.
Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanya. Ukiwa proactive unamwondoa "adui" yako kwenye reli kirahisi kwani ni vigumu kwake ku predict chochote kwako.... unamuweka kwenye defensive mode na hawezi ku focus tena.
Ni kama Tundu Lissu alivyofanya wakati ule alipowasilisha pingamizi lake NEC dhidi ya...
Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Ninaamini kumekuwapo na kujizuia kwa hali ya juu wanazuoni wanaita subira kutoka kwa wanaoathirika moja kwa moja na maamuzi yenu na kwa muda mrefu tu.
Jamani tusiache subira hizi kufika ukomo.
NEC na ZEC mnayo sababu na uwezo wa...
NEC NA ZEC NI TUME HURU KWA MUJIBU WA SHERIA, NONGWA INATOKA WAPI?
Deogratias Mutungi
Uchaguzi wa kisiasa lazima uwe huru, na ni mtamu unapokuwa huru, maana unapokuwa huru unogesha demokrasia na mifumo yake, raha ya uchaguzi kisiasa ni kuwa huru, demokrasia ustawi na kunoga kisiasa endapo tu...
Baada ya wiki moja ya kampeni tumepokea taarifa mbali mbali za mienendo ya kampeni.
Kinachonifanya niandike huu uzi ni kitendo cha NEC kufumbia macho suala la wanafunzi kuamriwa kuacha masomo kwenda kuhudhuria mikutano ya kampeni.
Ni kweli kuwa baadhi ya wanafunzi wana umri wa kutosha kupiga...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Viongozi wengine wa Serikali hawapaswi kuingia vituo vya kupigia, kuhesabu au kujumulishia kura. Viongozi hao wanaruhusiwa kuingia vituoni kwa madhumuni ya kupiga kura tu.
Wakuu nimewaletea link muingie ili mjue kama upo kwenye mfumo wa NEC ujue kituo chako.
Angalia
https://vis.nec.go.tz
Tukapige kura October 28 bila kukosa.
Haki itatamalaki
Amani tuitangulize mbele.
å Ni majibu ya kauli ya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dr. Wilson Mahera Charles aliyoitoa jana alipokuwa anazungumza na vyombo vya habari.
å Kwamba, baadhi ya wagombea katika mikutano yao ya kampeni wanakiuka kanuni na maadili ya uchaguzi mkuu wa 2020.
å Na kwamba, tume inaweza...
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeweka masharti ya matumizi ya simu katika vituo vya kuhesabu, kupigia na kujumulishia kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).
Mambo hayo yasiyotakiwa ni;
Mosi...
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt Charles Mahera amesema kwamba "Kama tume tunaweza kuamua kuwafungia hata kufanya kampeni, wagombea wa vyama ambao kazi yao ni kusambaza matusi na sio sera kwa kuwa sheria ipo na imetaja adhabu, tunatoa rai wabadilike na kuzingatia maadili ya uchaguzi waliyosaini"...
Kamwambieni Abood kuwa asiyempenda kaja, atoke mafichoni akanadi sera.
Devotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo.
Hongera kamanda, ulipambana mpaka ukalala ndani!
===
Katika kikao chake cha tarehe 13, 2020, NEC ilipitia na kufanyia uamuzi rufaa za Wagombea Udiwani kupitia Wasimamizi mbalimbali wa #Uchaguzi nchi nzima
Tume imezipitia, kuzichambua na kuzifanyia uamuzi jumla ya rufaa 49 za Wagombea Udiwani kama ifuatavyo;
Imekubali Rufaa 24 na kuwarejesha...
Nilisikiliza maamuzi ya ZEC juu ya pingamizi la mgombea wa ACT, Maalim Seif. ZEC iliona makosa ya ujazaji fomu lakini haikuona kama makosa hayo ni sababu ya kuharibu Uchaguzi. Kwa maana kwamba, kosa la ujazaji halikuwa na lengo la kunufaisha mgombea au kuufanya Uchaguzi usiwe wa haki n.k...
1. Nini tathimini ya Tume kuhusu mchakato mzima wa kupokea na kurudisha fomu za wagombea, mapingamizi na rufaa kwa wagombea hasa kwa nafasi za Ubunge na Udiwani?
2. Nini tathimini ya Tume kuhusu mapingamizi yoote yaliyowakiliishwa Tume kutoka kwa wasimamizi wa uchaguzi (Wakurugenzi) kwamba...
Wanabodi,
Naafuatilia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kinachorushwa live na Star TV kila Jumamosi asubuhi, kwenye kipindi cha leo, kutoka Mwanza, kinaongozwa na mkongwe, Doto Bulendu, na wageni wake waandishi wakongwe, Moses Mathew na Odero, na Dar es Salaam yuko Katibu Mkuu wa Jukwaa la...
Kuna kanuni zilizowekwa kwa mjibu wa sheria ya uchaguzi wa namna ambavyo wagombea wanatakiwa kuzifuata wanapofanya kampeni kushawishi kura za wananchi. Kabla ya kuteuliwa na NEC wagombea hawa waliapa mbele ya mahakimu au majaji kuwa watazingatia kanuni na maadili hayo yaliyowekwa kwa mjibu wa...
Kwa yanayoendelea sasa kuhusu kesi za uchaguzi na malalamiko mengine yanayohusiana na uchaguzi hasa kuhusu wagombea kuenguliwa,ni matokeo ya kuwa na sheria mbovu ya uchaguzi inayotoa mwanya wa wagombea kupita bila kupingwa huku Tume ya Uchaguzi ikiwa ndio alpha na omega katika kuamua nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.