Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
NEC Jimbo la Serengeti imemtaka Mgombea Urais wa CHADEMA kuheshimu ratiba iliyopangwa ambayo ilimtaka septemba 27 awe na mkutano wa kampeni Serengeti
Magufuli alitakiwa kuwa Iringa , naye wameshamuandikia barua ?NEC Jimbo la Serengeti imemtaka Mgombea Urais wa Chadema kuheshimu ratiba iliyopangwa ambayo ilimtaka septemba 27 awe na mkutano wa kampeni Serengeti
View attachment 1583076
Hawa nao wanawashwa.NEC Jimbo la Serengeti imemtaka Mgombea Urais wa Chadema kuheshimu ratiba iliyopangwa ambayo ilimtaka septemba 27 awe na mkutano wa kampeni Serengeti
View attachment 1583076
Kama barua imepelekwa CHADEMA kwanini CCM wapewe copy??? Magufuli mara ngapi anakiuka taratibu halafu mnamnyamazia kimya nyiye mafisi?NEC Jimbo la Serengeti imemtaka Mgombea Urais wa Chadema kuheshimu ratiba iliyopangwa ambayo ilimtaka septemba 27 awe na mkutano wa kampeni Serengeti
View attachment 1583076
Double standards.Kama barua imepelekwa CHADEMA kwanini CCM wapewe copy??? Magufuli mara ngapi anakiuka taratibu halafu mnamnyamazia kimya nyiye mafisi?
Magufuli kampeni weekend hawezi kabisa hakuna anayeweza kutoka kwake kwenda kumsikiliza anategemea kuwapa wafanyakazi na wanafunzi off kwenda kutazama wasanii ndio aonekane amejaza vichwa.Magufuli alitakiwa jana awe Iringa lkn kalazimisha kesho kama siyo fujo ni nini.
View attachment 1583086
kesho tutakuwa serengeti , ila tunairuhusu Tume kupanda majukwaani kumnadi mgombea wa CCM
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika. Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.NEC Jimbo la Serengeti imemtaka Mgombea Urais wa CHADEMA kuheshimu ratiba iliyopangwa ambayo ilimtaka septemba 27 awe na mkutano wa kampeni Serengeti
View attachment 1583076
Kwa hiyo anaona aibu kukosa nyomi na anaona fahari kupata nyomi feki, magu ni shidaMagufuli kampeni weekend hawezi kabisa hakuna anayeweza kutoka kwake kwenda kumsikiliza anategemea kuwapa wafanyakazi na wanafunzi off kwenda kutazama wasanii ndio aonekane amejaza vichwa.
Wanafahamu lakini wanajisahaulisha mwaka huu imekula kwao kila kona amewabana 🤣🤣🤣🤣Hivi NEC bado haijajua uchaguzi huu una mgombea mwanasheria nguli?
Barua ya kwenda CHADEMA inakuwaje addressed to CCM badala ya CCM kupewa nakala kama ilivyofanyika kw mkuu wa wilaya, afisa usalama na wengine?NEC Jimbo la Serengeti imemtaka Mgombea Urais wa CHADEMA kuheshimu ratiba iliyopangwa ambayo ilimtaka septemba 27 awe na mkutano wa kampeni Serengeti
View attachment 1583076