ndugu

Leon "Ndugu" Chancler ( in-DOO-goo CHANSS-lər; July 1, 1952 – February 3, 2018) was an American pop, funk and jazz drummer. He was also a composer, producer, and university professor.

View More On Wikipedia.org
  1. Kazanazo

    Baada ya kujitenga na mirathi ndugu zangu wamenitenga

    Habari wakuu, Huwa napenda kutoa baadhi ya matukio ya maisha yangu ili kupata ushauri na pia kama rejea au funzo kwa watu wengine katika jamii au jf Kuna kipindi nilikuja humu kuomba ushauri wa namna ya kuifanya familia yangu kuwa familia kubwa yenye kuigwa, nashukuru nilipata ushauri na...
  2. Taasisi ya Mifupa-MOI

    Tunatafuta ndugu zake

  3. Mijadala Migumu

    Naomba mwenye connection au anayeweza kunisaidia kupata kazi ya ULINZI, Kampuni ya SGA au G4S

    Habari zenu ndugu zangu, Naomba mwenye connection au anayeweza kunisaidia kupata kazi ya ULINZI, Kampuni ya SGA au G4S anisaidie ndugu zangu. Nina miaka 29 Nina mafunzo ya JKT - Miaka miwili (volunteer). Uwezo wa kutumia silaha. Elimu - Shahada ya kwanza Nazungumza Kingereza fasaha. Uzoefu wa...
  4. Chibike

    Waarabu ni ndugu zetu upande wa nani?

    Kumbe nateseka tu hapa kumbe Nina ndugu za kiarabu, embu niwajue wanipe hata bilioni 20 pesa za mafuta nifungue biashara.
  5. O

    POTOSHI Samia: Ngorongoro tumewapa Ndugu zetu waarabu wawekeze

    Samia anasema tuna undugu na Waarabu; lakini ni tangu lini tumekuwa na undugu na Waarabu? Kwahiyo hapa anataka kusema kwamba amewapa waarabu wawekeze kwasababu ni ndugu zake!? Kwanini Rais wa hii nchi akili zake zimejaa undugu na nepotism kwenye kufanya maamuzi ya msingi ya nchi !? Hafai kuwa...
  6. Pdidy

    Waziri Gwajima msaada wako huku Arusha na hii kesi na ndugu wapewe funzo kupora mali za wajane

    MAMA YETU GWAJIMA SHIKAMOO POPOTE ULIPO KWANZA NIKUTAKIE HERI YA SIKUKUU YA WANAWAKE BORA KTK NCHI HII KUTOKEA UONGOZINI NISIKUCHOSHE NAJUA UKO KTK SHAMRA SHAMRA BADO TUNAOMBA MSAIDIEN HUYU MDADA MJANE MUMEWE KAFIA..NDUGU WAMEPORA HELA ZA MCHANGO NA SASA WANAPORA NA MADUKA NA NYUMBA MBAYA...
  7. Pdidy

    Wamiliki wa hospitali binafsi wanajua kweli gharama wanazokutana nazo wagonjwa?

    Dah, nipongeze utaratibu wa baadhi ya kampuni zinazotoa huduma za kadi Zaidi wewe uliyelipia hela ndefu kupata kadi hiyo. Ukweli nimewaza sana, hivi hawa wamiliki wanakufaga kweli? Ama ndugu zao wanakufaga? Mbona gharama kubwa sana aisee, kama vile hawaoni pepo. Embu kaeni chini mjadiliane...
  8. VERBOSE

    Mwanaume tafuta Hela Ndugu waje kukutembelea

    Yangu ni hayo tu, leo sijisikii kuandika gazeti kubwa la Serekali kwa mada za kueleweka km hizi ili nikuchoshe sio vizuri kabisa mimi sihitaji kukuchosha mkuu, nimejisikia kukukumbusha tu. Sasa wewe kaza hilo shingo lako tegesha hilo fuvu usitafute hela halafu uone km kuna ndugu atakutembelea...
  9. D

    Anahitajika Gynaecologists mzuri Jijini Dar

    Habari ya asubuhi wadau. Tafadhali nahitaji msaada wa kufahamu wapi ninapoweza kupata Daktari bingwa mzuri wa magonjwa ya wanawake (Gynaecologists) , either ana hospitali binafsi , Polyclinic au anahudumu katika hospitali binafsi au serikali. Nikipata Jina au hata mawasiliano yake nitashukuru...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Kwa mujibu wa Dini zote tulizoletewa; Hakuna dhambi wala Karma kumtenda ubaya mtu asiye jamii yako, ndugu yako. Waafrika tuache kuamini kwenye ujinga

    KWA MUJIBU WA DINI ZOTE TULIZOLETEWA; HAKUNA DHAMBI WALA KARMA KUMTENDA UBAYA MTU ASIYEJAMII YAKO, NDUGU YAKO. WAAFRIKA TUACHE KUAMINI KWENYE UJINGA. Anaandika, Robert Heriel Yule Kuhani Katika Hekalu Jeusi. Mtibeli. 1. Leo nitafundisha self awareness. Ili watu waache kujidanganya. 2...
  11. Driz de Mafwele

    Ndugu zetu midomo yenu inanuka

    Huu mwezi wao yani hawa ndugu zetu mida ya mchana vinywa vyao vinatema balaa. Hasa wakipiga mihayo utadhani chemba imetema. Ni vizuri kutumia barakoa sehemu walipo wengi. Siyo sifa mdomo kunuka. Eti wenyewe kinywa kikinuka hivyo ni sifa eti kafunga.
  12. Joshua Mbezi

    Ndugu zetu Waislam njooni mnijibu kuhusu hili suala

    Imekuwa ni jambo la kawaida kwa nchi za kiislamu kukuta wanapiga marufuku watu kula chakula hadharani wakati wa mfungo wa Ramadhan ata kama sio Waislam Wengine hukumbana na adhabu Kali wanapokamatwa wakila chakula Sasa maswali yangu ni haya yafuatayo; 1; Je ninyi wenzetu hamuwezi kufunga Hadi...
  13. jamaikatz

    Mkipewa hela ya ujenzi jengeni,msiwaibie ndugu zenu

    Kuna hii tabia ya baadhi ya watu wakipewa hela na ndugu,jamaa au wapenzi ,wawasimamie ujenzi sababu wao wapo nje ya mkoa au nchi wao wanakula hela zao na hakuna wanachokifanya
  14. Mshana Jr

    Mshikamano: Tuwatakie ndugu zetu mfungo mwema

    Mwezi umeandamana! Hapo zamani lilikuwa ni tukio kubwa sana.. Maendeleo ya tech na siasa za dunia yamefubaza vingi Huu ni mwezi wa toba, kujitafakari na kuwa karibu zaidi na Mola Hizi funga za dini mbili huwa kuna wakati zinaenda pamoja. Kwa mfano Leo ni Jumatano ya majivu kwa Wakristo...
  15. Chizi Maarifa

    Mniombee ndugu zanguni. Sijui kama nitarudi salama

    Siku ya 5 hii nipo South Africa.... Daaaah.... Kuna mitoto imeumbika huku wallah.... Ina neema za Allah... Yaani nikitembea shingo feni macho mia mia. Wallah mabata ushungu...! Nlitamani niishi huku. Hawa watakuwepo nao peponi? Mitoto ina maumbo teke teke na ina rangi ya mtume... Hatari sana...
  16. funaku

    Je, Uamuzi wa majaji unashawishiwa na vilio vya ndugu au marafiki?

    Hili ni swali la logic/mantiki au kisheria. linalopaswa kujadiliwa kwa haki na uwazi. Je tupambane na vyombo vya kutoa haki kisheria kwa kumobilize vilio mahakamani? Je wale tusiokuwa na uwezo wa kumobilize waombolezaji mahakamani tutapata haki?
  17. Troll JF

    Rais Samia Suluhu Hassan asafiri kuelekea UAE

    Samia to the World!!!!! Mheshiwa Dr. Samia Suluhu Hassani amesafiri leo tarehe 02. 02. 2026 kuelekea Falme za Kiarabu UAE. Ambapo atashiriki katika mkutano wa World Government Summit (WGS 2026) na Uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS. Ushiriki wa Tanzania katika WGS unaakisi...
  18. M

    Mtanzania mwenzetu anatufuta ndugu zake. Anayemfahamu asaidie.

    Alipata ajali akapoteza kumbukumbu
  19. Taasisi ya Mifupa-MOI

    Tunatafuta ndugu zake

  20. Jack Daniel

    Marafiki, ndugu na wadau wote wa jukwaa hili

    Habari JamiiForums Siku zinakimbia, miaka inageuka, na umri unasogea. Nakumbuka ni kama juzi tu Mh. Lowasa alivyotikisa Tanzania kwenye kampeni za Urais 2015. Ni kama juzi tu tangu hayati Magufuli na itikadi zake, pamoja na misimamo mikali kwenye uongozi. Miaka inakimbia, watu waliozaliwa...
Back
Top Bottom