Kuna sababu nyingi kwa vijana kutoingia kwenye ndoa. Lakini sababu zinazojulikana zaidi ni hitaji la kifedha, kujiandaa binafsi, na ukosefu wa mwenza anayefaa.
Sababu hizo mbili za mwisho zinachukuliwa kama jukumu la utamaduni.
Kutokana na tamaduni juu ya maswala ya ngono, familia, na dini...