Masquarrader
Member
- Aug 17, 2018
- 62
- 38
Inadaiwa mchungaji wa Kanisa la Restoration Bible Church huko ruaha Iringa ameingia kwenye mgogoro wa kifamilia na kanisa kutokana na mchungaji huyo aliyefahamika kwa jina moja la Jeremia kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mdada aliyejulikana kwa jina la Vaileth ambae pia amempa kacheo flan bila kuzingatia vigezo kanisani hapo.
Inaelezwa mchungaji huyo amekuwa na mahusiano na Dada huyo kwa muda was miaka miwili na sasa Vaileth amekuwa ndio mwenye sauti kanisani hapo kwani anachokipanga yeye ndicho hufanyika kanisani hapo hata akiamua siku ya kaz hakuna ibada basi haifanyiki.
Kutokana na hilo mama mchungaji ametishia kuanzisha kampeni ya kuondoka kwenye ndoa kwakuwa suala la mapenzi ya wawili hao la muda Askofu anakijua ila analea ujinga huo.
Habari zaidi nitawapasha wiki ijayo kuna kongamano linakuja kufanyika hapa iringa mjini tutapata uhakika toka kwa wenzetu wa huko ruaha maana jamaa akija lazima watakuwa beneti.
Inaelezwa mchungaji huyo amekuwa na mahusiano na Dada huyo kwa muda was miaka miwili na sasa Vaileth amekuwa ndio mwenye sauti kanisani hapo kwani anachokipanga yeye ndicho hufanyika kanisani hapo hata akiamua siku ya kaz hakuna ibada basi haifanyiki.
Kutokana na hilo mama mchungaji ametishia kuanzisha kampeni ya kuondoka kwenye ndoa kwakuwa suala la mapenzi ya wawili hao la muda Askofu anakijua ila analea ujinga huo.
Habari zaidi nitawapasha wiki ijayo kuna kongamano linakuja kufanyika hapa iringa mjini tutapata uhakika toka kwa wenzetu wa huko ruaha maana jamaa akija lazima watakuwa beneti.