ndoa

  1. Askarimaji

    Ndoa inapangwa na mwanamke sio mwanaume

    NDOA INAPANGWA NA MWANAMKE SIO MWANAUME Kauli hii inaweza kukushangaza kidogo ila ngoja nikufafanulie, Mwanamke ndiye anaepanga ndoa na sio mwanaume, hii inamaana gani!!! Maana yake ni kwamba wewe mwanamke kwa tabia yako njema, uvumilivu wako, huruma yako, heshima yako, utiifu wako kwa...
  2. Surya

    Matumizi ya Pesa nikisanga kikubwa kwenye Tasinia na sekta ya Ndoa

    Mbali na mapenzi na sogeza nikae, Kwenye mahusiano nimegundua swala la Matumizi ya Pesa kama Familia lazima Tujadiri kabla ya Ndoa bila hivo huko mbele ni rahis sana kushikana mashati... Imagine unaowa mke anatoaga Sadaka ya kujimaliza 😂😂😂 Au Ugonvi unaweza kuwa Mwaname anataka Tutumie vyetu...
  3. Samia atosha tukutane2030

    Kama umekosea kuoa/kuolewa. Namaanisha kama upo kwenye ndoa au uhusiano na mtu ambaye si sahihi kwako njoo hapa kuna tiba.

    80% 90% ya wanandoa wengi wamejikuta wako ndani ya ndoa na watu ambao si sahihi kwao. Watu wote ni sahihi, wanawake wote ni wife materials, wanaume wote ni husband materials lakini si wote wanaweza kuwa sahihi kwako . La haula baada ya kufunga ndoa, baada ya kuzaa na mtu ndipo unagundua huyo mtu...
  4. Pdidy

    MWANAUME UKIMWAMBIA MWANAMKE UTAMUOA USHAMCHUMBIA..UKIMKATAA.LAANA UTAIKUTA KWENYE NDOA YAKO IJAYOO

    MWANAUME,UKIMWAMBIA MWANAMKE, UNATAKA KUMUOA — HAPO UMEMCHUMBIA TAYARI. - Mwanaume, ukiwambia mwanamke “Nataka kukuoa” — hayo si maneno ya kawaida, umemchumbia rohoni na mbingu inaandika. Ujumbe huu unabeba uzito wa kijamii na wa kiroho kuhusu jukumu la maneno ya mwanaume katika uhusiano wa...
  5. fact only

    Mwanaume - Mwanamke vipi 50 Kwa 50 Kwenye ndoa au penzi lako imesaidia au kilio?

    50 Kwa 50.
  6. Setfree

    Yajue mapepo yanayosababisha ndoa kuvunjika

    Ndoa ni agano takatifu linalomuunganisha mwanaume na mwanamke mbele za Mungu. Hata hivyo, ndoa nyingi zimevunjika au zimejaa migogoro mikubwa isiyoelezeka, kiasi cha kuwafanya wengine wafikirie kukataa ndoa. Matatizo ya ndoa wakati mwingine chanzo chake ni cha kiroho. Biblia inatufundisha kuwa...
  7. DuaZaMama

    Mhandisi Zena Ahmed Said: Msionyeshe ufundi kwa michepuko, Ndoa ni ibada

    Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zena Ahmed Said ametoa rai kwa watumishi wa umma kubadilisha mtazamo kuhusu maisha, akisisitiza kuwa kazi, elimu na ndoa ni Ibada na hivyo vinahitaji kutekelezwa kwa moyo, weledi na nidhamu. Mhandisi Zena ametoa kauli hiyo...
  8. N

    Mwanaume ni busara amzidi mke wake umri, uumbaji wa Adam kabla ya Hawa ni fundisho, Ndoa zenye watu waliolingana zinaongoza matatizo

    Adam aliumbwa kwanza. Kabla ya kuletwa kwa Hawa, aliishi peke yake kwenye bustani ya Edeni, akajifunza mazingira, kuishi na wanyama na namna ya kuyaendesha maisha. Alipokuwa tayari, ndipo Mungu akamletea msaidizi wake, Hawa, si kama kiongozi mpya, bali kama msaidizi wake wa karibu. Adam...
  9. Dogoli kinyamkela

    Ndoa zina mambo!Mimi sio nabii ila usiku huu kuna mwanaume kaamua tu alale sebuleni kwenye makochi, amwache mkewe alale chumbani kwenye kitanda

    Ndoa zina mambo! Mimi sio nabii ila usiku huu kuna mwanaume kaamua tu alale sebuleni kwenye makochi, amwache mkewe alale chumbani kwenye kitanda. Ee Mungu nusuru ndoa za waja wako🙏
  10. B

    Hivi anaepaswa kuilinda ndoa ni mke peke yake au mke na mume

    Hv kwann jamii inamchukuliaje mwanamke aisee Nimeolewa tangu mwaka wa kwanza mume kila mwaka matukio ya usaliti kali kabisa mwaka juz nilibaini anatoka na rafiki yangu wa ndan kabisa mwaka huu tena nimegundua anatoka na jiran kabisa tuliekua na ukaribu nae bado hatujamaliza iyo kesi nagundua...
  11. M

    Ndoa ndio sehemu pekee ambayo mwanaume anauziwa product used kwa bei ghali. Used corolla inauzwa bei ya benz mpya na mteja halalamiki

    Pia biblia imeandika Mungu aliwasamehe makahaba. Ila lilipokuja swala la kuchagua Mama wa mwanae alimchagua mwanamke bikira anaitwa Maria. Hakuchagua used
  12. Samson Ernest

    Kampeni Ya Kataa Ndoa Ilitabiriwa Zamani Itakuja Nyakati Za Mwisho

    Kama utabiri utatolewa alafu usitimie huo utabiri bila taarifa za uhakika kutoka kwa Mungu, utakuwa utabiri wa uongo. Kama kile kimeandikwa kwenye biblia kisiwe kama kilivyosemwa, tutakuwa hatuna haja kuendelea kujivunia neno la Mungu. Tunajivunia neno la Mungu(biblia) kwa sababu ilituambia...
  13. Kimbesa11

    Kuendelea kuishi na mwanamke ambaye anazaa nje ya ndoa akiwa ndani ya ndoa ni kujipunguzia life expectancy kwa mwanaume

    Nashangaa huko Instagram mwanamke anajitapa kuzaa inje ya ndoa watoto watatu halafu ndani ya ndoa mtoto mmoja Nini hiki wakuu mbona hatari sana. Najiuliza inakuwaje wanaume uendelee kuishi na mwanamke ambaye amezaa inje ya ndoa watoto wote hao au ni limbwata hilo Nini 🤣🤣🤣, Tatizo SS wanaume...
  14. Chiferereji Cha jisatu

    Je ni kweli 85% ya ndoa za Harusi huvunjwa na walioshiriki harusi

    Aiseeh Leo katika pita pita zangu mm huwa syo mtu wa story za vjiwen ila Leo mlienda mahali tulikuw wanaume tu bas story zlipgwa nyingiii akina s unajua palpo na wanaume wanawake pia huongelewa😂😂, kama ilivo kwenye saloon za wanawake pia wanaume huongelewa 🥲🥲 Ikaja Agenda kama ilivosome hapo...
  15. Hamissi Hamza Jr

    Gentlemen commandments//the art of winning women psychology

    1.Kama Una Mwanamke Unaempenda Usimuoneshe Kama Unampenda Sana au una muhitaji Sana 2.Ukitaka Mawasiliano naye Mpe Namba yako usichukue yake". Kukiwa na Mazingira complicated ya kukulazimisha kuchukua yake Ukichukua Pitisha siku tatu au week ndio umtafute 3.Ukimproach Mwanamke akikutaa...
  16. TheForgotten Genious

    Mnatoa ujasiri wapi wakujirekodi wakati mpo kwenye tendo la ndoa

    Kuna watu siwaelewi kama wana akili timamu,ulimbukeni ama ujuaji. Hivi unawezaje kujirekodi mkiwa katika tendo la ndoa na mwenzi wako?. Mnawezaje kupigana picha za utupu na kutumiana?. Nini faida yake?,na wengine utakuta ni wake za watu ama wa ume za watu wakifanya hivyo kupitia simu zao...
  17. Mstahiki Mea

    Ndoa ya wanawake Wengi Ruksa Uganda

    🇺🇬Wanaume nchini Uganda sasa wanaweza kuoa wake wengi kisheria, Mahakama ya Katiba imeamua. ✍Uamuzi huo umekuja baada ya Chama cha Wanawake Wanasheria (WPI) kupinga mila hiyo ya wanaume kuoa zaidi ya mwanamke mmoja. Kundi hilo la watetezi lilisema kuwa mitala inadhalilisha, inadhuru, na...
  18. MKATA KIU

    Maneno ya Mungu kwenye biblia yanasema kama unataka kuepuka matatizo Usioe ama kuolewa. Kwa nini Mungu aone ndoa inaleta matatizo ?

    Mungu ameshauri watu wasioe / kuolewa ili kuepuka matatizo kwenye kitabu chake kinachoitwa biblia 1 Wakorintho 7:27-28 inasema Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, wala hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi. Lakini wale wanaooa au...
  19. Mshana Jr

    Ushoga na usagaji changamoto zinazowatesa wengi kimyakimya kwenye familia na kwenye ndoa

    NB: Maslahi ya uzi; Hii mada nimeombwa niiandike na mdau wa hapa JF ambaye ni mwathirika wa muda mrefu lakini sasa anaendelea vema Yeye ni shoga kwa ajali na mkewe ni msagaji kwa ajali pia kutokana na mazingira ya makuzi na elimu.. Wote walizaliwa bila hizo kasoro.. Mwanaume akafundishwa na...
  20. M

    Mwanzo nilikua nawashangaa sana Kataa ndoa, sasa hivi nawakubali kinoma

    NRNE. kama ujumbe unavyosoma hapo juu.
Back
Top Bottom