ndoa

  1. Beira Boy

    Diamond atoa talaka tatu kwa mkewe Zuchu, Khadija Kopa azikataa ni baada ya NDOA kudumu kwa mwezi mmoja kama ndoa za Magomeni

    Amani iwe kwenu watumishi Nianze kwanza na history ya magomen kitaa changu ninachoishi toka kitambo sana Kitaa hiki ni kitaa mabingwa wa ndoa za mkeka hasa mwezi wa Ramadhan unapokalibia Ndoa hufungwa nyingi sana na wazee wanaoitwa wazee watukufu katika uislam Wazee hawa watukufu katika...
  2. The redemeer

    Kwanini hekima za kale pia hata maandiko zilisisitiza ndoa za wanawake bikira

    Katika tamaduni nyingi za kale, hasa barani Afrika, wazee wetu walithamini sana mwanamke anayehifadhi usafi wa mwili wake – si kwa sababu ya mila tu, bali kwa sababu walijua fumbo la nishati lililojificha katika tendo la ndoa na nguvu ya kwanza ya muungano. Katika ulimwengu wa kiroho, mwili wa...
  3. W

    Kuna mwanawake nilishindwana nae kwa kiburi chake pro max, mtu aliemuoa kajifunza kunywa pombe na huchelewa kurudi nyumbani

    Kama ilivyo kawaida, Ijumaa huwa napenda kwenda kupumzisha akili moja baridi, moja moto kwenye viwanja. Lakini leo hali ilikuwa tofauti kidogo. Rafiki yangu mmoja aliniomba nimpe kampani twende kwenye kiwanja ambacho yeye amekizoea. Sikuwa na shida, tukasafiri pamoja hadi huko. Tulipofika...
  4. SankaraBoukaka

    Bila Mchepuko, Ndoa Nyingi za Sasa ni Ngumu Kudumu – Unahitaji “Catalyst” ya Mahusiano

    Kwa mtazamo wa sasa juu ya ndoa na mahusiano ya kimapenzi, kuna ukweli mchungu ambao wengi hawataki kuukubali hadharani: bila mchepuko, ndoa nyingi za siku hizi hazidumu kwa amani wala furaha. Kabla hujanihukumu au kunishambulia, tafadhali nielewe vizuri. Sipromoti usaliti, bali najaribu...
  5. D

    Mpaka sasa Najiona Nishakata tamaa kabisa ya kuo

    Wakuu mpaka sasa Najiona Nishakata TAMAA kabisa ya kuoa.kwa ninayoona kakazangu watatu walionitangulia wanavyofanyiwa ndani ya ndoa inanitia hasira Zaidi nikisikia neno ndoa. Kiufupi ndugu zangu wanazipambania Sana familia zao lakini awo shemeji mambo yao ni hovyo tena Kila mtu anachangamoto...
  6. The redemeer

    Ndoa: Safari yenye kusudi maalumu si kifungo cha milele

    MLANGO WA 7 SIRI KUHUSU NDOA Ndoa si kitu cha kudumu kwa lazima. Si gereza la milele, wala mkataba wa damu ambao lazima udumu hata kama moyo umekauka. Ndoa ni agano la muda, safari ya ujumbe, ujumbe ambao unapofika mwisho wake, hatupaswi kulazimisha uendelee kwa nguvu za maumivu au hofu ya...
  7. Friji la mtumba

    Team kataa ndoa mnasahau kwamba hata simu mpya ina matatizo yake?

    Watu wa “sitaki ndoa, sitaki stress, nataka amani” mnasahau kitu kimoja muhimu: Hata ukiamua kubaki single, maisha hayana warranty ya furaha ya kudumu. Mnasema ndoa ina kelele? Basi tuambieni single life haina shida ya upweke usiku? Au haina pressure ya kulipa kila kitu mwenyewe...
  8. Tembosa

    Wanaume tulioko kwenye Ndoa, Backup ni muhimu sana.

    Tahadhari: Si hamasishi watu kuchepuka. Wakuu, ili kuwa na ndoa imara na itakayodumu! Jitengenezee backup yako ya kupiga mambo pale ambapo nyumbani kwako mambo hayaendi sawa. Hii mbinu inasaidia sana. Binafsi nitafanya hivyo ili kunusuru ndoa yangu na kuimarisha familia. Few days ago...
  9. M

    kihistoria ndoa hazikuwa zinafungwa sababu ya love, bali sababu zinginezo, zama hizi ndoa zinavunjika sana sababu zinafungwa sababu ya kupendana

    Kwa kihistoria, ndoa ilikuwa suala la kibiashara kabisa. Katika maeneo ya kale ya Mesopotamia, Misri, na Uchina, ndoa zilipangwa ili kukuza utajiri wa familia, kupanua maeneo, na kuimarisha ushirikiano wa kisiasa. Miongoni mwa Wazulu wa kusini mwa Afrika, ndoa ilikuwa njia ya kuunda uhusiano...
  10. Hyrax

    Naomba jina la hotel iliyopo Tanzania ambayo huwezi kuingia bila kuthibitisha cheti cha ndoa

    Wakuu naomba mnisaidie jina la hotel yoyote ambayo huwezi kuingia bila kuthibitisha cheti cha ndoa. Best Regards
  11. Just Pray

    Sababu kupoteza fahamu kwa mwanamke/mwanaume wakati wa tendo la ndoa, na namna ya kukabiliana na hali hiyo

    Kuzimia kunaweza kutisha, hasa baada ya kipindi cha raha ama msisimko mkali. Mara kadhaa kumekuwepo watu waliotaka kufahamu chanzo cha kuzimia, ama kupata kizunguzungu wakati wa tendo la ndoa kinapofikiwa kilele cha msisimko/raha, na namna ya kukabiliana na hali hiyo ya kupoteza fahamu. Hata...
  12. Teslarati

    Wenye ndoa yenye watoto tu: Je mwanao alishawakuta kimakosa mkiwa faragha? Ulichukua hatua gani?

    Kwanza kataa ndoa nisiwaone huku, hii mada ni kwa wale tulowah kuishi maisha ya ndoa na familia yenye watoto. Je mwanao au wanao walishawakuta mpo faragha kimakosa? Je ulichukua hatua gani ili kuondoa mental au psychological damage kwa mtoto? Hii mara nyingi hutokea pale wazazi wakiwa na...
  13. ELI COHEN

    Kwahio salome ataondoka na aziz au ndoa ilikuwa ni ya bongo movie

  14. fact only

    NDOA (Kwa Sasa yani generation hii believe me bikra sio ndoa na ndoa sio bikra)

    Habari wana JF. Nilipata mwanamke Bikra na nipo nae mpaka Sasa lakini nimeshapata red flag kutoka kwake so nimeona nilete thread hapa "Ndoa sio Bikra na Bikra sio ndoa", Kwa lifestyle la sasa au generation hii wakuu hata mwanamke bikra ni mjanja mjanja vilevile, ingawa yeye nyeti zake zinakuwa...
  15. Friji la mtumba

    TEAM KATAA NDOA – Ulevi wa Ubinafsi Usio na Maono

    Ni ajabu sana kuona kizazi kinachojiona "kimeamka" kikikumbatia falsafa ya ubachela kana kwamba ni mafanikio ya juu kabisa ya maisha. Team Kataa Ndoa wamechagua njia rahisi ya kuepuka majukumu, wakijificha nyuma ya visingizio vya uhuru, starehe, na "kupambana kivyao." Je, kweli wana akili...
  16. ELI COHEN

    Usifanye sherehe ya harusi kama unataka ndoa yako idumu.

    Harusi kubwa inaweza kuunda mindset ya zile hadithi za 'forever and ever" na kuji mwambafy katika hadhi fulani hivi, na pia kukuza matarajio yasiyo ya kweli kuhusu ndoa. Wakati maisha ya kila siku hayalinaginishwi na ukuu wa sherehe yenu, ukakasi unaweza kuwatokea na kusababisha kutoridhikiana...
  17. Royal Son

    Nimeokota pete ya ndoa

    Habari Wandugu nimeokota Pete ya Ndoa kama kichwa habari kinavyojielezea. Sasa nasubiri niokote mchumba tufunge ndoa tuu 😔😔😔
  18. Oscar Lyrics

    Ingia kwenye ndoa pale unapokuwa tayari kwa ajili ya maisha ya ndoa

    Wapo baadhi wanaoingia kwenye ndoa kwa sababu flani amaeoa/kuolewa, yani hajui kwanini ameingia kwenye ndoa. Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la ndoa kuvunjika kwa sababu mbalimbali kwa mfano, -Kijana anaamua kuoa lakini unakuta bado ana tabia za mvulana yani bado hawezi...
  19. Fbn

    Miaka inavyozidi kwenda na mambo ya ndoa yana potea kabisa

    Kuna vipindi youtube sijui challenge kufahamu kama kuna mapenzi ya kweli. Unaweza kujua ni utani au maigizo yani wasio kuwa kwenye ndoa walio kuwa kwenye ndoa ni kama wapo group moja la wasaliti. Kutarakiana kumeongezeka huko mahakamani,nyumba za dini na waamuzi wao. Kwa sasa kama mnataka...
Back
Top Bottom