Heri ya sikukuu ya ufufuko wa Yesu Kristo.
Leo ni miaka 10 kamili tangu nimejiunga hapa JF 09 Aprili 2013.
Wengine mlikuwa bado wachanga,wengine shule,wengine mlikuwa huko vijijini kwenu ambako hakuna internet lakini Mungu ni mwema leo wote tupo JF na tunasoma nyuzi za kila aina.
Ndani ya miaka...