Derby ya Jumapili ni surprise kwetu Yanga, Baleke ni silaha mpya ambayo imekuja ghafla ndani ya muda mfupi kabla ya pambano kuu, hali si shwari

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,860
Nimecheki mechi ya leo na iliyopita huyu wa kuitwa Baleke ni surprise na si kitu kizuri akitumiwa effectively mechi ya jumapili.

Bado hajaweza kusomeka vizuri na huenda ana vitu extra ambavyo ndani ya muda mfupi bado hakuweza kuviweka, hii ni hatari mithiri ya adui anaetumia mkono wa kushoto kupigania huku wa kulia kauficha.

Cha kuombea ni kwamba wachezaji wazoefu wale wale tuliowazoea waingie kucheza, kocha aamue wazoefu ndio wacheze.
 
Kipimo sahihi kwangu Binafsi ni MICHEZO mi nne ijayo.

Yanga.
Azam.
Wydad.
Whydad.

Katika hii MICHEZO4 BALEKE akifunga GOLI 3 tu hapo ndipo nitasema ni mshambuliaji mwenye uwezo.

Kwa sasa nisiseme nikamaliza
Ni bora umesema "binafsi" maana yatabaki kuwa maoni yako tu.
 
Kipimo sahihi kwangu Binafsi ni MICHEZO mi nne ijayo.

Yanga.
Azam.
Wydad.
Whydad.

Katika hii MICHEZO4 BALEKE akifunga GOLI 3 tu hapo ndipo nitasema ni mshambuliaji mwenye uwezo.

Kwa sasa nisiseme nikamaliza
We ungeweza kama ungekuwa mshambuliaji? izo mechi ni Tafu atleast goli mbili
 
Kipimo sahihi kwangu Binafsi ni MICHEZO mi nne ijayo.

Yanga.
Azam.
Wydad.
Whydad.

Katika hii MICHEZO4 BALEKE akifunga GOLI 3 tu hapo ndipo nitasema ni mshambuliaji mwenye uwezo.

Kwa sasa nisiseme nikamaliza
AZAM hao anaweza kuondoka na mpira tena na hao Yanga akiweza kuwatungua goli la kwanza ndani ya dakika 10 za mwanzo, anaweza pia kuondoka na mpira kwenye derby inategemea tu performance ya kina Kibu na Chama siku hiyo (simtegemei sana Saido).

Ukicheza na Simba ukafunguka tu umekwisha. Goli la pili la jana lilikuja baada ya Ihefu kujilipua na wote kwenda mbele kutafuta goli. Ukicheza open football isiyo na discipline na Simba hii ambayo wana options nyingi za wafungaji wanakuadhibu vibaya sana.
 
Kipimo sahihi kwangu Binafsi ni MICHEZO mi nne ijayo.

Yanga.
Azam.
Wydad.
Wydad.

Katika hii MICHEZO 4 BALEKE akifunga GOLI 3 tu hapo ndipo nitasema ni mshambuliaji mwenye uwezo.

Kwa sasa nisiseme nikamaliza
Manara apewe sifa....

Baleke vs Raja
Baleke vs mtibwa
Baleke vs Horoya
Baleke vs ihefu
Baleke vs ihefu

Bado unahitaji nini kuprove?au ndo mshaenda kuroga ili mumfanyie kama Philli?????


Hilo Jini halina Kiti..........
 
Nimecheki mechi ya leo na iliyopita huyu wa kuitwa Baleke ni surprise na si kitu kizuri akitumiwa effectively mechi ya jumapili.

Bado hajaweza kusomeka vizuri na huenda ana vitu extra ambavyo ndani ya muda mfupi bado hakuweza kuviweka, hii ni hatari mithiri ya adui anaetumia mkono wa kushoto kupigania huku wa kulia kauficha.

Cha kuombea ni kwamba wachezaji wazoefu wale wale tuliowazoea waingie kucheza, kocha aamue wazoefu ndio wacheze.
Baleke ni mchezaji wa TP Mazembe aliyepekwa Simba kwa mkopo.

Sijui kama unaelewa nini mchezaji akitolewa kwa mkopo?

Ile TP Mazembe mnayosema mbovu Baleke hana namba, ameletwa Simba akuze kiwango chake.
 
Kipimo sahihi kwangu Binafsi ni MICHEZO mi nne ijayo.

Yanga.
Azam.
Wydad.
Wydad.

Katika hii MICHEZO 4 BALEKE akifunga GOLI 3 tu hapo ndipo nitasema ni mshambuliaji mwenye uwezo.

Kwa sasa nisiseme nikamaliza
Kweli hayo ni maoni binafsi, maana atataka kusema mayele ila ukiangalia mayele hajawahi cheza againts wakubwa wa hadhi ya raja, horoya wydad basi ndio kaamua kupimia humo, tukutane jumapili mwaka huu mtaabika maana mchawi wenu tushamloga
 
Baleke ni mchezaji wa TP Mazembe aliyepekwa Simba kwa mkopo.

Sijui kama unaelewa nini mchezaji akitolewa kwa mkopo?

Ile TP Mazembe mnayosema mbovu Baleke hana namba, ameletwa Simba akuze kiwango chake.
Nusu ya wachezaji wenu mnaotamba nao sasa, walionekana kuwa magarasa kule AS Vita baada ya kupigwa na Simba Sc nje ndani, ila huku kwenu wanatamba.

Ni kawaida sana, hii ligi ni ndogo.
 
Nimecheki mechi ya leo na iliyopita huyu wa kuitwa Baleke ni surprise na si kitu kizuri akitumiwa effectively mechi ya jumapili.

Bado hajaweza kusomeka vizuri na huenda ana vitu extra ambavyo ndani ya muda mfupi bado hakuweza kuviweka, hii ni hatari mithiri ya adui anaetumia mkono wa kushoto kupigania huku wa kulia kauficha.

Cha kuombea ni kwamba wachezaji wazoefu wale wale tuliowazoea waingie kucheza, kocha aamue wazoefu ndio wacheze.
subiri makicha wanamsoma
 
Uzuri wake utaonekana siku hiyo atakapocheza dhidi ya mabeki mahiri kabisa wa Yanga.
 
Nusu ya wachezaji wenu mnaotamba nao sasa, walionekana kuwa magarasa kule AS Vita baada ya kupigwa na Simba Sc nje ndani, ila huku kwenu wanatamba.

Ni kawaida sana, hii ligi ni ndogo.
Bora umuambie, anajitoa ufahamu sana huyo.
 
Back
Top Bottom