Nauza kiwanja changu..kipo vikindu kwa Mzee puga
Ukishuka stend VIKINDU nauli ya bajaji ni 700 hadi site
Futi 48 kwa 54
Bei mil.3
😔Bei hapungui kusema kweli.. ukiwa interested tuongee biashara na msimu mzuri wa kujua viwanja ni huu msimu wa mvua
Niende mojamoja kwenye mada nina Gunia 100 (KULINGANA NA MTAJI WANGU UKIHITAJI NIKUKUSANYIE PIA SAWA) ya pumba za mahindi nauza kg moja sh 80 niko kanda ya ziwa kwa anayehitaji tufanye biashara tuchekiane PM
wazee na Vijana wa JF
Nauza kiwanja kiko Kibamba shule 👉 Ibwegere
size mita 20 kwa 20
Kutoka kibamba shule hadi Site ni 1,500 Tsh kwa Boda
Bei elekezi 4,000,000 Tsh
Simu ziite 0744-033-555
Habari za majukumu wakuu . Kama kichwa kinavyojieleza nauza simu yangu Samsung ao5 ina ram 4 .. memory ni gb 128 .. battery 5000 mah .. clean as new ..
Bei 210k ..
Mteja serious..0684 56 25 23
Unapata charge original..pamoja na earphones
Nauza kuku 7500. Kuku Wana wiki 5 na wako 270.
Kwa ambae anahitaji jamani mnaweza nitafuta Kwa namba 0624 85 57 57. Mabanda yapo mbezi beach salasala. Kwa maeneonya karibu delivery ni bure.
Unapata kuku ameshachinjwa. Kama utataka mzima utapata Kwa 7000 kamili.
ASUS ZENBOOK DUO
A PREMIUM DEVICE BY ASUS USA
HEAVY DUTY COMPUTER
POWERFUL GAMMING & GRAPHICS PC
COLOR CELESTIAL BLUE
WITH DOUBLE DISPLAY EDITION
WHITE KEYBOARD BACKLIT LIGHT
Intel®️ Core™️ i7-1165G7 Processor
8M Cache, up to 4.70 GHz
11th GENERATION
16GB RAM DDR4
SSD 512GB
Nvme M.2
FAST...
Kichwa cha habari kimejitosheleza kiwanja kina hati kabsaa hakina dalali me ndio muhusika...
Phone: 0712183658
Mita 200 toka barabara ya lami ya goba mtaa barabara ya mwishekhe
Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
Habari wakuu.
Kwa wale maboss zangu wawekezaji nimewaleta kiwanja ambacho kipo Luguluni mkabala na nyumba ya mkuu wa wilaya ya Ubungo.
Kiwanja kina sifa sifuatizo.
(1) Hati ya wizarani matumizi ya makazi au biashara
(2) Sqm 1380
(3)Kiwanja kinatazamana na...
Habari wakuu.
Eneo Kwajili ya Gas linauzwa GOBA
Hapo unaweza kufungua kituo cha Kuuza Gas.
Ewe mwekezaji fumba macho ununue hili Eneo.
Sqm 2000.
Kwa mawasiliano Zaidi
0754693556
Habari wakuu.
Nyumba zipo nne ndani ya kiwanja kimoja Mtaa wa Undogi Tank la maji.
Nyumba mbili zimepauliwa
Nyumba mbili hazijapauliwa.
Sqm 870
Hati ya wizarani.
Location Kibamba njia panda ya shule Mtaa wa Undogi Tanki la maji.
Km 3 kutoka Morogoro Road hadi kwenye nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.