nauza

  1. D

    Nauza Mchele mzuri na Maharage kutoka Mbeya kwa bei nafuu

    Wakuu kwema! Nina mchele mzuri wa kutosha pamoja na maharage ya njano Mchele Jumla 2400 tsh kuazia kilo 100 Rejareja 2700 tsh Maharage Jumla 3000tsh kuazia kilo 100 Rejareja ni 3400 tsh Wenye maduka ya rejareja pia tueasiliane Location nipo Tabata Majichumvi (kwa mkuwa) Nakuletea popote...
  2. G

    Nauza pikipiki aina sinoray

    Nipo morogoro mjini, pikipiki ni sinoray bado mpya ina miezi 4 tangu inunuliwe documents zote zipo,kwa anahitaji tuwasiliane bei TSh.2200000
  3. M2flan

    NAUZA VITU HIVI VYA NDANI -Location Iringa

    1.HISENSE SMART TV NCH 55 INAMWEZ FULL DOCUMENT BEI 950k 2.Fridge ( Hisense) . Bei Laki550 3. Show Case Tsh200k, Radio Tsh 190 Mawasiliano :- WhatsApp 0769463336
  4. K

    Nauza Gari TOYOTA ISIS 2008 namba DMR

    Gari ipo Kigamboni Dar es Salaam. Ipo katika hali nzuri sana! Make: TOYOTA ISIS MWAKA: 2008 CC: 1798 SEATS: 7 DRIVE: AUTOMATIC, 2WD Kama kutahitajika service basi zitakuwa ni spares ndogongogo za kkawaida. Mawasiliano: WHATSAPP: 0785872256 BEI: 9,500,000
  5. Prof_rutta22

    Nauza Multi-purpose Epson printer L3250(mpya) kwa matumizi ya ofisi na binafsi

    Bidhaa: Multi-purpose Epson printer L3250(mpya) Kazi: Printing,scanning and photocopying Bei: Tsh 350,000/= Eneo: Kimara mwisho-Dar es salaam Mawasiliano: 0624576521 Ofa: wino+ Rimu
  6. M

    Nauza Water Pump Ya Boss Brand New

    Pampu ni Ya Inchi 3 Haijawahi kutumika nilinunua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji lakini mipango ya kilimo haikwenda sawa. Pampu haijatumika kabisa. Bei 200000/= Location: Ubungo-Dar Es Salaam 0779080365
  7. Sun Wukong

    Computer4Sale Nauza computer bei ya hasara 230k

    Kampuni Lenovo think pad Ram 8gb Hdd 256 gb Processor Intel Celeron 1007U (1.5 GHz, dual-core) Njoo PM kwa maelezo zaidi nipo dar es salaam tegeta
  8. saadmad

    Nauza Acoustic Guitar

    Habari wadau, nauza acoustic guitar kama linavyoonekana kwenye picha hapo, lipo vizuri na linapatikana mbagala kuu. Kwa mwenye kuhitaji anaweza kuni PM bei ni 140k . Asanteni
  9. E

    INAUZWA Nauza Smartwatches

    TK701 SMARTWATCH Mikanda 7 Ina Bluetooth Speaker Ina waya WA MIC WA kurekodia vdeo 💰75,000/= 💰 (OFFER PRICE) CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404 Location KKOO Masasi na likoma Street Free Delivery Around Dar es salaam Boundaries
  10. KakaKiiza

    Plot4Sale Nauza viwanja Kigamboni njia ya fun city kituo njano

    Nauza viwanja vipo 4 vipo kigamboni njia ya kuingia Fun city nyuma ya kituo cha Njano kila kimoja kina sqm 500 kila kiwanja kinaanzia Tshs,28ML kama upo intrested njoo tuyajenge piga hii no 0743921019
  11. A

    NAUZA HADITHI ZA SIMULIZI, MIKASA NA ZA KUTISHA.

    Wadau hadithi hizo ni zangu na kila moja ukitaka full unatuma 1500. Nifuate DM
  12. E

    Computer4Sale Nauza Laptops

    BRAND NEW CONDITION TOLEO LA MWAKA 2024🔥🫵 It is 13th Generation✅ It is Very powerfull Machine for heavy Task comes with Graphics Radeon 7✅ HP ELITEBOOK 835 G10 AMD RYZEN 5✅ RAM 16GB✅ SSD 512GB✅ PROCESSOR 3.2GHz🔥 Backlight keyboard✅ Kioo inch 13✅ Very slim✅ Two type C compile with Type C...
  13. CreatureKH

    Nauza kiwanja changu hakina udalali

    Nauza kiwanja changu..kipo vikindu kwa Mzee puga Ukishuka stend VIKINDU nauli ya bajaji ni 700 hadi site Futi 48 kwa 54 Bei mil.3 😔Bei hapungui kusema kweli.. ukiwa interested tuongee biashara na msimu mzuri wa kujua viwanja ni huu msimu wa mvua
  14. E

    Computer4Sale Nauza Laptops

    Pata hii Simple laptop yenye uwezo mkubwa sana👇 Hp Revolve 810 G3✅ Corei5✅ Ram 8GB✅ Ssd 256GB✅ Processor 2.3GHz✅ Backlight keyboard✅ Kioo inch 12.5✅ Touch Screen x360✅ Battery 3 - 4Hrs✅ Price 570,000/- Badala ya 650,000/=❌ CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404 Location Ubungo Kibo
  15. B

    Nauza pumba za mahindi

    Niende mojamoja kwenye mada nina Gunia 100 (KULINGANA NA MTAJI WANGU UKIHITAJI NIKUKUSANYIE PIA SAWA) ya pumba za mahindi nauza kg moja sh 80 niko kanda ya ziwa kwa anayehitaji tufanye biashara tuchekiane PM
  16. E

    Computer4Sale Nauza Laptops

    OFFER OFFER 🔥🔥 HP ELITEBOOK 830 G6 price 750,000 condition : very clean ✅ brand : HP model : ELITEBOOK 830 G5 processor : CORE i5 generation : 8th gen processor type : Intel (R) core i5 @1.8ghz up 3.6ghz. Processor (8CPU) RAM : 8GB Storage::SSD 256GB directX version : DirectX 12 X360...
  17. excel

    Nauza Kiwanja: Ubungo Kibamba Shule

    wazee na Vijana wa JF Nauza kiwanja kiko Kibamba shule 👉 Ibwegere size mita 20 kwa 20 Kutoka kibamba shule hadi Site ni 1,500 Tsh kwa Boda Bei elekezi 4,000,000 Tsh Simu ziite 0744-033-555
  18. Mike400

    Nauza simu Samsung ao5 ram4..gb 128

    Habari za majukumu wakuu . Kama kichwa kinavyojieleza nauza simu yangu Samsung ao5 ina ram 4 .. memory ni gb 128 .. battery 5000 mah .. clean as new .. Bei 210k .. Mteja serious..0684 56 25 23 Unapata charge original..pamoja na earphones
  19. iptl skanska

    Nauza kuku aina ya broiler

    Nauza kuku 7500. Kuku Wana wiki 5 na wako 270. Kwa ambae anahitaji jamani mnaweza nitafuta Kwa namba 0624 85 57 57. Mabanda yapo mbezi beach salasala. Kwa maeneonya karibu delivery ni bure. Unapata kuku ameshachinjwa. Kama utataka mzima utapata Kwa 7000 kamili.
  20. E

    Computer4Sale Nauza Laptops

    ASUS ZENBOOK DUO A PREMIUM DEVICE BY ASUS USA HEAVY DUTY COMPUTER POWERFUL GAMMING & GRAPHICS PC COLOR CELESTIAL BLUE WITH DOUBLE DISPLAY EDITION WHITE KEYBOARD BACKLIT LIGHT Intel®️ Core™️ i7-1165G7 Processor 8M Cache, up to 4.70 GHz 11th GENERATION 16GB RAM DDR4 SSD 512GB Nvme M.2 FAST...
Back
Top Bottom