Wakuu kwema!
Nina mchele mzuri wa kutosha pamoja na maharage ya njano
Mchele
Jumla 2400 tsh kuazia kilo 100
Rejareja 2700 tsh
Maharage
Jumla 3000tsh kuazia kilo 100
Rejareja ni 3400 tsh
Wenye maduka ya rejareja pia tueasiliane
Location nipo Tabata Majichumvi (kwa mkuwa)
Nakuletea popote...
1.HISENSE SMART TV NCH 55 INAMWEZ FULL DOCUMENT BEI 950k
2.Fridge ( Hisense) . Bei Laki550
3. Show Case Tsh200k, Radio Tsh 190
Mawasiliano :- WhatsApp 0769463336
Gari ipo Kigamboni Dar es Salaam. Ipo katika hali nzuri sana!
Make: TOYOTA ISIS
MWAKA: 2008
CC: 1798
SEATS: 7
DRIVE: AUTOMATIC, 2WD
Kama kutahitajika service basi zitakuwa ni spares ndogongogo za kkawaida.
Mawasiliano: WHATSAPP: 0785872256
BEI: 9,500,000
Pampu ni Ya Inchi 3
Haijawahi kutumika nilinunua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji lakini mipango ya kilimo haikwenda sawa. Pampu haijatumika kabisa.
Bei 200000/=
Location: Ubungo-Dar Es Salaam
0779080365
Habari wadau, nauza acoustic guitar kama linavyoonekana kwenye picha hapo, lipo vizuri na linapatikana mbagala kuu. Kwa mwenye kuhitaji anaweza kuni PM bei ni 140k .
Asanteni
TK701 SMARTWATCH
Mikanda 7
Ina Bluetooth Speaker
Ina waya WA MIC WA kurekodia vdeo
💰75,000/= 💰 (OFFER PRICE)
CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404
Location KKOO Masasi na likoma Street
Free Delivery Around Dar es salaam Boundaries
Nauza viwanja vipo 4 vipo kigamboni njia ya kuingia Fun city nyuma ya kituo cha Njano kila kimoja kina sqm 500 kila kiwanja kinaanzia Tshs,28ML kama upo intrested njoo tuyajenge piga hii no 0743921019
BRAND NEW CONDITION TOLEO LA MWAKA 2024🔥🫵
It is 13th Generation✅
It is Very powerfull Machine for heavy Task comes with Graphics Radeon 7✅
HP ELITEBOOK 835 G10
AMD RYZEN 5✅
RAM 16GB✅
SSD 512GB✅
PROCESSOR 3.2GHz🔥
Backlight keyboard✅
Kioo inch 13✅
Very slim✅
Two type C compile with Type C...
Nauza kiwanja changu..kipo vikindu kwa Mzee puga
Ukishuka stend VIKINDU nauli ya bajaji ni 700 hadi site
Futi 48 kwa 54
Bei mil.3
😔Bei hapungui kusema kweli.. ukiwa interested tuongee biashara na msimu mzuri wa kujua viwanja ni huu msimu wa mvua
Niende mojamoja kwenye mada nina Gunia 100 (KULINGANA NA MTAJI WANGU UKIHITAJI NIKUKUSANYIE PIA SAWA) ya pumba za mahindi nauza kg moja sh 80 niko kanda ya ziwa kwa anayehitaji tufanye biashara tuchekiane PM
wazee na Vijana wa JF
Nauza kiwanja kiko Kibamba shule 👉 Ibwegere
size mita 20 kwa 20
Kutoka kibamba shule hadi Site ni 1,500 Tsh kwa Boda
Bei elekezi 4,000,000 Tsh
Simu ziite 0744-033-555
Habari za majukumu wakuu . Kama kichwa kinavyojieleza nauza simu yangu Samsung ao5 ina ram 4 .. memory ni gb 128 .. battery 5000 mah .. clean as new ..
Bei 210k ..
Mteja serious..0684 56 25 23
Unapata charge original..pamoja na earphones
Nauza kuku 7500. Kuku Wana wiki 5 na wako 270.
Kwa ambae anahitaji jamani mnaweza nitafuta Kwa namba 0624 85 57 57. Mabanda yapo mbezi beach salasala. Kwa maeneonya karibu delivery ni bure.
Unapata kuku ameshachinjwa. Kama utataka mzima utapata Kwa 7000 kamili.
ASUS ZENBOOK DUO
A PREMIUM DEVICE BY ASUS USA
HEAVY DUTY COMPUTER
POWERFUL GAMMING & GRAPHICS PC
COLOR CELESTIAL BLUE
WITH DOUBLE DISPLAY EDITION
WHITE KEYBOARD BACKLIT LIGHT
Intel®️ Core™️ i7-1165G7 Processor
8M Cache, up to 4.70 GHz
11th GENERATION
16GB RAM DDR4
SSD 512GB
Nvme M.2
FAST...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.