nauza

  1. CONTROLA

    JamiiForums Tanzania Nauza funguo aina zote za magari, kwa wale mnaotaka kuning'iniza kwenye suruali au kubeba mkononi

    Najua wengi tuna malengo ya kumiliki magari lakini shida yetu ni kwamba bado channel za pesa hazijakaa vizuri kuokoa muda na wakati hatujui kesho yetu unweza ukazima leo paap hujaendesha hata hilo gari,sasa mkombozi nimekuja Haina haja ya kusubiri sana wakati unaendelea tafuta pesa uje miliki...
  2. Boyla

    JamiiForums Tanzania Nauza Pikipiki aina ya TVS HLX125

    Wadau wa jamii forum nauza pikipiki yangu aina ya TVS star hlx 125.. Napatikana Ukonga Dar es Salaam. Price Tshs.920,000/= Hakuna udalali Mhusika ni mimi mwenyewe Call 0652015525
  3. rasomaka

    JamiiForums Tanzania Nauza Toyota Mark X 2006

    Make: Toyota Mark X 2006 Cc: 2490 Mileage:130,000 Seat: Leather seat 5, both front electronic Airbag; 9 Sound and Radio: touch screen and subwoofer Mirror: side mirror indicator Key: push start Price: 8,200,000 Location: Mbezi Beach Tanki Bovu Tel: 0653 029400
  4. Aidanna

    JamiiForums Tanzania Nauza mafuta ya nazi kwa ajili ya kupikia

    Wakuu habari, nauza mafuta ya Nazi kwa kupikia, ni mazuri sana hayajachanganywa na chochote. Lita ni Elfu 30000/= Mawasiliano 0655800252 Unaletewa popote ulipo Tanzania
  5. T

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza sony xperial model z4

    simu in nzima kabisaa bein ni tsh 150,000/= maelewano yapo kdogo nipo DSM 0622 237 444
  6. NguoYaSikuKuu

    JamiiForums Tanzania YouTube channels zinauzwa

    Nauza YouTube channels :) subscribers : zaidi ya 1500 + watching time hours : zaidi ya 1500 + UPDATE (HAZIUZWII TENA ZIMEISHA)
  7. jknhfdd

    JamiiForums Tanzania Tetesi: NAUZA APP NA GOOGLE play store account

    Anae hitaji app nauza nnazo mbili moja inausu group link za whatsapp nyingine inausu mambo ya vichekesho pia anae hitaji Google play account nauza bei maelewano nicheki pm tufanye biashara Quo
Back
Top Bottom