nauza

  1. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza BMW 5 SERIES (DYS) TZS. 8m

    Gari haina tatizo lolote Haijawahi kurudiwa rangi popote AC, Engine, Gear box vyote safi . Makumbusho - Dsm . 0717 650800
  2. MaduhuJ

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nipo Dodoma, nauza mbao bei nafuu sana

    Mpo salama wadau wa Dodoma? Nimeshusha mzigo wa mbao (Futi 12) pale karibu na uwanja wa Jamhuri. Bei zangu ni rafiki na mbao ni nzuri/bora sana; 2x2 - 2,500 2x3 - 3,700 2x4 - 4,700 2x6 - 7,000 1x4 - 2,500 1x6 - 4,500 1x8 - 7,500 1x10 - 14,000 Mafundi ujenzi, fanicha na wateja wengine karibuni...
  3. MaduhuJ

    JamiiForums Tanzania Nauza Mbao kwa bei rahisi ndani ya Dodoma

    Mpo salama wadau wa Dodoma? Nimeshusha mzigo wa mbao (Futi 12) pale karibu na uwanja wa Jamhuri. Bei zangu ni rafiki na mbao ni nzuri/bora sana; 2x2 - 2,500 2x3 - 3,700 2x4 - 4,700 2x6 - 7,000 1x4 - 2,500 1x6 - 4,500 1x8 - 7,500 1x10 - 14,000 Mafundi ujenzi, fanicha na wateja wengine karibuni...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nauza korosho

    Mm ni muuzaji wakorosho za kuokwa kutoka masasi mtwara. Nawatangazia wanaoitaji korosho mm naziuza mfano kwa picha chini.
  5. Mwafrika mmoja

    JamiiForums Tanzania Nauza pikipiki - TVS STAR 125 "EHD" 🔥🔥🔥

    Karibu ujipatie pikipiki hii new condition TVS STAR 125 "EHD" 🔥🔥🔥 Unaipata kwa 1,850,000/= Tu Napatikana Mbezi Beach, DAR. CALL/WHATSAPP 0683535699
  6. The ice breaker

    JamiiForums Tanzania Nauza Samaki aina ya Jodari

    Wakuu habari Nina aina hii ya samaki Jodari wadogo.. Ni samaki mwenye stake nyingi kuliko miba.. Ni mzuri na ni mtam sana. Kama upo hapa Dar, nakuletea mpka ulipo , gharama za usafiri inategemea mahali ulipo. Bei ni 12000 tu, kwa mmoja 0616274277. Napatikana Kigamboni
  7. Lyamba lya mfipa

    JamiiForums Tanzania NAUZA NYUMBA YA KISASA HAPA VIKINDU NYUMA YA MTAA WA POLISI 0673294681

    Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi. Nyumba inavyumba viwili vya kulala vyote master. Ina maji na umeme nimesogeza nguzo na kufanya wiring mwenye uhitaji unipigie/whatsup 0673294681. Ninashida ya pesa nataka niende masomoni nje ya nchi. Bei tsh. 20m mazungumzo yapo
  8. anny gervas

    JamiiForums Tanzania NAUZA NYUMBA

    Habari wana jf Nimerudi tena na picha kimfaacho mtu chake nimekumbwa na changamoto kidogo za kuuguza so nimefikia maamuzi haya nauza nyumba ila bado haijaisha Vyumba 3(viwili master) Jiko Sebule Miguu 40 kwa 40 Store 10m maongezi yapo Eneo mbagala kwa mbiku(chaboko)2-2.5km kutoka barabarani
  9. mzeemkavu

    JamiiForums Tanzania Nauza Home appliances & Kitchen appliance kwa bei nafuu sana!

    Tunauza bidhaa Bora & Original kwa Bei nafuu sana!! Tunakusaidia Kujua bidhaa Original na zenye Ubora kwa hali Ya Juu sana! mawasilino zaidi Mimi nauza online(winga) sina duka. soko la electronics nalijua vizuri sana huduma ya usafiri bure ndani ya dar yote na bei zangu ni ndogo sana bidhaa...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Nauza mizani ya kupimia uzito wa nguruwe

    habari wadau nauza mizani ya kupimia uzito wa nguruwe kama attachment ilivyo kwa anayehitaji wasiliana kwa 0626333300
  11. kiraza

    JamiiForums Tanzania Nauza Youtube Channel imeshanilipa mil 1.7

    Hello wakuu nauza youtube chanel imeshanilipa kipindi cha nyuma mil 1.7 ina monetization na subscribers zaid ya 11,000. Hivyo ukiinunua kuanza kuweka content na account yako ya bank na kuanza kulipwa mwezi unaofuata, bei yake ni laki 5 tu. Nicheki DM *************** Duh nimeona niongeze data...
  12. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Nauza hizi mashine

    Nauza hizi mashine moja ni kwa ajili ya upepo na nyingine, kwa mwenye kuhitaji hizi anaweza fika kimara stop over kuja kujionea Bei 4.5 kwa mashine la upepo na mazungumzo yapo 0715378899
  13. Nyamwezi tabora

    JamiiForums Tanzania Nauza nguruwe

    Habari wanajamvi. NAUZA mifugo aina ya nguruwe wenye Miezi 10, 8 3 . Wa Miezi 10 ni 300000, wa Miezi 8 ni 25000, na Miezi 3 ni 60000. Karibuni sana farm ipo Vikindu... 0712378559.
  14. ukwaju_wa_ kitambo

    JamiiForums Tanzania BONTA NAUZA KULA YANGU

    Bonta Maarifa ni Katibu wa Afya Halmashauri ya Ushetu Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Makazi yake ni Kahama Mjini maeneo ya Igomero (Masaki). Lakini pia ni member wa Crew ya Weusi kampuni , crew ambayo ina wasanii kama Vile joe makin, nikk wa pili, lord eyez na G nako.. Bonta maarifa...
  15. E

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza Smartphones

    📱Motorola g85 5G ⚙️Storage 128Gb- Tsh 780,000 ⚙️Storage 256Gb-Tsh 850,000 CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404 📍 KKOo, Masasi & Likoma
  16. dingihimself

    JamiiForums Tanzania Nauza Taa (bulb)

    Ni zile bulb, ambazo umeme ukikata Bado zinaendelea kuwaka. Zipo za Watt 9 na watt 20. Za watt 9 tsh 12,000/= Za watt 20 tsh 14,000/= wakazi wa Dar nakuletea hadi mahali ulipo, Mikoani nakutumia kwa Bus. Kwa Mawasiliano no yangu 0657438581. Karibuni!
  17. M

    JamiiForums Tanzania Nauza Gari used na container

    Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Gari ninazouza bado ziko vzr mpya na zmetunzwa vzr.Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
  18. V

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza Kiwanja Mabwepande

    Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 20x25. Kipo Mabwepande karibu na hospital ya Wilaya. Mauziano ni Serikali ya mitaa, huduma muhimu zipo karibu. Bei ni sh 8,400,000.00 Ukitaka maelezo zaidi piga simu au watsapp Peter +447939378570
  19. M

    JamiiForums Tanzania Nauza container na used car

    Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
  20. E

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Nauza Laptops

    ACER SPIN 3 (SP314-54) ♻️2 in 1 convertible laptop TOUCHSCREEN 🖐 10 th GENERATION ACER STYLUS PEN🖊️ Core i5✅ 10th generation ✅ Processor 1.2ghz✅ Graphics Intel 620UHD✅ Backlit keyboard ✅ Ram 8gb✅ Ssd 256gb✅ Display 14"❇️ 🔋 5hrs ✳️ Price 850,000/= CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404 📍 UBUNGO...
Back
Top Bottom