nauza

  1. K

    Nauza mizani ya kupimia uzito wa nguruwe

    habari wadau nauza mizani ya kupimia uzito wa nguruwe kama attachment ilivyo kwa anayehitaji wasiliana kwa 0626333300
  2. kiraza

    Nauza Youtube Channel imeshanilipa mil 1.7

    Hello wakuu nauza youtube chanel imeshanilipa kipindi cha nyuma mil 1.7 ina monetization na subscribers zaid ya 11,000. Hivyo ukiinunua kuanza kuweka content na account yako ya bank na kuanza kulipwa mwezi unaofuata, bei yake ni laki 5 tu. Nicheki DM *************** Duh nimeona niongeze data...
  3. Uhuru24

    Nauza hizi mashine

    Nauza hizi mashine moja ni kwa ajili ya upepo na nyingine, kwa mwenye kuhitaji hizi anaweza fika kimara stop over kuja kujionea Bei 4.5 kwa mashine la upepo na mazungumzo yapo 0715378899
  4. Nyamwezi tabora

    Nauza nguruwe

    Habari wanajamvi. NAUZA mifugo aina ya nguruwe wenye Miezi 10, 8 3 . Wa Miezi 10 ni 300000, wa Miezi 8 ni 25000, na Miezi 3 ni 60000. Karibuni sana farm ipo Vikindu... 0712378559.
  5. ukwaju_wa_ kitambo

    BONTA NAUZA KULA YANGU

    Bonta Maarifa ni Katibu wa Afya Halmashauri ya Ushetu Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Makazi yake ni Kahama Mjini maeneo ya Igomero (Masaki). Lakini pia ni member wa Crew ya Weusi kampuni , crew ambayo ina wasanii kama Vile joe makin, nikk wa pili, lord eyez na G nako.. Bonta maarifa...
  6. E

    Phone4Sale Nauza Smartphones

    📱Motorola g85 5G ⚙️Storage 128Gb- Tsh 780,000 ⚙️Storage 256Gb-Tsh 850,000 CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404 📍 KKOo, Masasi & Likoma
  7. dingihimself

    Nauza Taa (bulb)

    Ni zile bulb, ambazo umeme ukikata Bado zinaendelea kuwaka. Zipo za Watt 9 na watt 20. Za watt 9 tsh 12,000/= Za watt 20 tsh 14,000/= wakazi wa Dar nakuletea hadi mahali ulipo, Mikoani nakutumia kwa Bus. Kwa Mawasiliano no yangu 0657438581. Karibuni!
  8. M

    Nauza Gari used na container

    Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Gari ninazouza bado ziko vzr mpya na zmetunzwa vzr.Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
  9. V

    Plot4Sale Nauza Kiwanja Mabwepande

    Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 20x25. Kipo Mabwepande karibu na hospital ya Wilaya. Mauziano ni Serikali ya mitaa, huduma muhimu zipo karibu. Bei ni sh 8,400,000.00 Ukitaka maelezo zaidi piga simu au watsapp Peter +447939378570
  10. M

    Nauza container na used car.

    Habari.. unahitaji kununua gari used au mpya chassis no na hujui utapata wapi kwa Bei nzur? Je unahitaji container za 20ft na 40ft zenye VAT na bila VAT? karibu nikuhudumie +255764423726
  11. E

    Computer4Sale Nauza Laptops

    ACER SPIN 3 (SP314-54) ♻️2 in 1 convertible laptop TOUCHSCREEN 🖐 10 th GENERATION ACER STYLUS PEN🖊️ Core i5✅ 10th generation ✅ Processor 1.2ghz✅ Graphics Intel 620UHD✅ Backlit keyboard ✅ Ram 8gb✅ Ssd 256gb✅ Display 14"❇️ 🔋 5hrs ✳️ Price 850,000/= CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404 📍 UBUNGO...
  12. G

    Nauza dumbbells zangu, 20kg x 2

    Habari za sikukuu. Nauza dumbbells zangu pair ya 20kg x 2. Napatikana Dar Es Salaam Bei ni 200k. Iwapo unahitaji nitumie ujumbe (sms au whatsapp) kwenye namba 0685661790. Asante
  13. stabilityman

    House4Sale Nauza nyumba Madale Flamingo

    NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA MADALE FLAMINGO MITA 200 KUTOKA BARABARA KUU (MADALE ROAD) BEI NI TSH MILLION 150 VYUMBA 3 VYOTE MASTER JIKO LA KISASA DINNING PUBLIC TOILET STORE SEBULE UMEME MAJI UKUBWA WA ENEO NI SQM 800 KARIBUNI MABOSS PIGA SIMU 0743 257 669 WhatsApp wa.me/255743257669
  14. Y

    Plot4Sale Nauza kiwanja Zinga Mlingotini

    Habari ndugu zangu,nauza kiwanja ukubwa ni 20 ×24 kiwanja kipo karibu na barabara ya vumbi inayoenda mlingotini kina karatasi ya mauziano bei 6,00,000/= maongezi kidgo yapo Phone number 0657759846, 0653652755 Kiwanja kipo nyuma ya nyumba ya kwnza kutoka barabara ya vumbi..kina njia pana tu ya...
  15. E

    TV4Sale Nauza Brand New Tv's

    🚨🚨MZIGO MPYA UTAKUWEPO KUANZIA KESHO DUKANI🚨🚨 📍 LIKOMA & magira [KKKT] HISENSE STOCK 43A4 SMART = 600,000/= 43A6 4K = 730,000/= 50A6N 4K = 910,000/= 55A6N 4K = 1,030,000/= 55U6 ULED = 1,170,000/= 58A6N 4K = 1,120,000/= 65A6N 4K = 1,530,000/= SAMSUNG STOCK 43DU7100 4K =...
  16. Chifu mkuu

    Tangazo: Nauza mkojo wa sungura.

    Napatikana pasua manispaa ya Moshi mkoa wa Kilimanjaro. Nina dumu tano ( Lita 20 @ =Lita 100) bei ni maelewano. Kwa wale wasiojua mkojo wa sungura hutumika kama kinga na dawa ya kuua wadudu hasa katika bustani za mbogamboga na mazao mengine. Ukitaka faida zaidi za mkojo wa sungura ingia google...
  17. E

    Computer4Sale Nauza Laptops

    NEW (2024) GO BEYOND HP Envy x360 2-in-1 Laptop 14-fc0023dx • Intel Core TM Ultra 7 155U Processor [2] • 1TB Solid State Drive •Windows 11 • Touchscreen, Multi-touch enabled • 3-cell, 59 Wh • 16GB on-board LPDDR5 SDRAM • 14.0⚫ WUXGA IPS LED Display (300 nits) [4] • poly studio HP 5MP IR Camera...
  18. S

    Nauza eneo lipo Homboza Msanga Zalala eneo unaweza kujenga au kuchimba mchanga ni tambalale

    Habari viongozi nina eneo lipo omboza msanga zalala ni eka mbili eneo ni mali yangu halali halina shida yoyote eneo ni tambalale kabisa naitaji million13 kwa eka zote mbili nipigie simu 0794454720
  19. kizeze

    Nauza iriki (cardamon)

    Kwa wanaohitaji Iliki kutoka Morogoro maeneo ya Matombo ninazo nyingi huku zaidi yabTani 1 na hivyo nauza kila Kilo 1 kwa kiasi cha sh.31,000(elfu thelathini na moja) tu. Kwa anaye hitaji anicheki kwa namba hii 0657783083
Back
Top Bottom