nauza

  1. Delacruzito

    JamiiForums Tanzania Nauza Laptop yangu mwenyewe haina kipengele

    Wakuu nauza laptop aina ya Hp Pro Book, Yenye Ram 8GB, Hdd 500gb. Battery 4hrs. Haina kipengele chochote sema tu nauza kwasababu nina shida ya haraka. Napatikana -Banana-Dar Es Salaam Mawasiliano yangu ni 0628116693 Price 380,000
  2. T

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza pikipiki aina ya Honlg

    Wanajamvi nauza pikipiki imetumika no .MC439 CUN aina HONLG ipo mbezi ya kimara. Bei 700,000 Njoo DM tuongee
  3. J

    JamiiForums Tanzania Habari nauza nguo za mtumba nipo Dar es salaam wapi nikitembeza naweza nikapata soko kirahisi naombeni ushauri wenu

    Mimi ni kijana mjasiriamali naombeni ushauri wenu nauza nguo za mtumba za watoto nikitembeza wapi naweza nikapata soko kirahisi nipo dar es salaam
  4. PamojaTz

    JamiiForums Tanzania Nauza vitabu vya hard copy

    WhatsApp 0737317870 au jambojambo633@gmail.com 1. Richest man in Babylon 20,000. 2. The Law of success 18,000. 3. Side hustle 45,000. 4. The magic of thinking Big 30,000. 5. How to handle difficult people 25,000. 6. Rich dad, poor dad 25,000 7. The subtle art of not giving a f* 45,000. 8. Talk...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza shamba eneo la viwanda misugusugu

    Wadau nina eneo upande wa shule ya msingi misugusugu iliyopo mkoani Pwani ninauza ni karibu na eneo la viwanda vya wachina. Pia unapita eneo la Usangu logistics. Jirani ni msikiti, na kiwanda cha tissue 5,865 sqm Urefu 141.01m Upana 45.62 Bei 18.75M Dalali 10%(kwa dalali akileta mteja) Umbali...
  6. Zero Competition

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza king'amuzi cha Startimes na dish lake

    Nauza king'amuzi cha Startimes kikiwa na dish lake, remote controller, waya wake wa kutoka kwenye dish hadi kwenye decoder pamoja na power adopter yake kwa Tshs 35,000 Kimetumika miezi 4 tu Nipo Mbezi Luis Mawasiliano 0767696021
  7. Top007

    JamiiForums Tanzania Nauza bulb Kwa bei nafuu

    Kampuni: Honor LED Watts 3 - 10,000 PC 10 Watts 5 - 12,000 PC 10 Watts 7 - 13,000 PC 10 Watts 9 - 14,000 PC 10 Free Delivery piga : 0614502969 Dar na mikoani
  8. ADESIGN

    JamiiForums Tanzania Nauza tv used, inches 43, Moelectro ni smart tv bei 300,000

    Nauza tv used, inches 43, Moelectro ni smart tv bei 350,000 namba yangu ni 0684101707
  9. R

    JamiiForums Tanzania Nauza crate 10 tupu za bia mchanganyiko TBL na Serengeti

    Anaye hitaji niko Tabata Kisukuru kwa Swai. Bei sh 9,000 @ crate mawasiliano 0718219523
  10. B

    JamiiForums Tanzania Nauza Kuku chotara, ni Tetea kwa bei ya TSh 10,000 wapo 145

    Wakuu Kama muonavyo kwenye picha, hawa ni baadhi ya Kuku ambao nauza. Kuku wapo Dar es Salaam, Mbweni JKT kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nauza Harrier chogo (DPR) TZS. 14.8m

    2360cc Automatic Petrol Engine safi Gear box safi AC safi Haijawahi kupata ajali . Call: 0717 650800
  12. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nauza redio call

    Nilinunua 150,000 Kwa sasa sina kazi nayo zipo 2 unaweza kuongea hadi km 15 hadi 20km Kwa sasa sina kazi nayo nauza bei ya hasara 100,000 zipo banana 0743257669 Kwa msiojua unaweza kuongea na mtu bila kutumia vocha wewe ni kuichaji tu kwa kampuni za ulinzi Godauni,mashambani,kiwanda hii itakufaa
  13. African businesses

    JamiiForums Tanzania NAUZA VIFAA VYA STUDIO YA KUPIGIA PICHA (PHOTOSHOOT)

    Wadau kama heading inavyojieleza hapo juu nina vifaa vyangu kwa ajili ya kupiga picha indoor na viuza kwa bei kitonga Sana Kuna studio background yenye vitambaa vinne ambavyo ni nyeusi, nyeupe, kijani na kijivu. Soft box mbili, miavuli minne na reflector Taa NNE na fleme zake, pia vitambaa...
  14. Mafian cartel

    JamiiForums Tanzania Nauza hii phone 13 Pro

    Apple Iphone 13 pro 128 GB •Face id✅ •Battery health 81 •Ina network lock(unaweza tumia •Gevey sim card au ukalipia deni ikawa unlocked) Simu Imetumika wiki moja tu tangu itoke nje ya nchi Price 950,000/= Kimara Dar es salaam 0757187238
  15. hungary

    JamiiForums Tanzania Nauza shera Tsh. 250,000

    Husika na kichwa Cha habari hapo juu nauza shera. Shera ni mpya nzuri ninaiuza bei iyo kwa sababu ya dharula iliyojitokeza ambayo inaitaitaji fedha kwa ambae atakuwa serious ni pm ili nikutumie picha na video. Napatikana Dar Mbezi
  16. jT0078

    JamiiForums Tanzania NAUZA ASUS All in One Pc i7

    Nauza Pc Asus Zen AIO Z240 Intel Core i7 6Gen 16Gb Ram 24 Display size Touch imepasuka ila nimei disconnect haina madhara SSD nimetoa unaweza kuweka mwenyewe ina NVYDIA GRAPHIC GTX950 BEI 250K Tshs Nipo Ilala - Dsm 0767953873
  17. B

    JamiiForums Tanzania Nauza majogoo chotara

    Wakuu Nina vijogoo vya kuku chotara naviuza nipo maeneo ya mbweni jkt karibuni sanaaa kwa mawasiliano 0612630936 bei n 15000
  18. M

    JamiiForums Tanzania Nauza simu Infinix hot 40 pro

    Nauza simu Aina Infinix hot 40 pro GB 256 Ram 16
  19. Shanily

    JamiiForums Tanzania OFA YA JANUARY : Nauza Shuka za kudarizi kwa bei ya elfu Thelathini ( 30,000/=) Tu.

    Jipatie shuka za kudarizi pamoja na foronya mbili kwa bei ya elfu Thelathini (30,000/=) Tu. Size ni 6×6. Delivery ni Bure kwa wakazi wa dar. Usikubali kupitwa na ofa hii ya January , hivyo nitafute kupitia 0628 160058 / 0658 843438. Karibuni sanaa.
  20. Jay_255

    JamiiForums Tanzania Ongeza uwezo wa laptop nauza RAM za DDR4 8gb kwa 30,000 Tu

    Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb bei ni 30,000 Tu. ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000. Nipo kimara Dar es Salaam 0782780980
Back
Top Bottom