nataka

Nataka is a village in Mirzapur, Uttar Pradesh, India.

View More On Wikipedia.org
  1. M-FINANCE

    Nataka Gari Nina Tsh 10M Madalali karibuni

    Hey nataka gari aina moja wapo KAti y’a hizi Usajili iwe namba D njoo tumalize Biashara mapema 1. Kluger 2. Harrier 3. Murano 4. Dualis
  2. R

    Nataka nifunge zuku fiber ofrisin vipi speed yao ipo poa au wanga tu

    Habari wadau Zuku wamekuja ofisin leo wametuambia tulipie 69000 ili watuunge na fiber ya 10MB/S vp speedd yao nzur au utopolo Nasubiri ushauri wenu wadau
  3. MwanawaMUNGU41

    Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

    Habari wadau, Baada ya kuwa kwenye ajira kwa miaka 10 na kuona msoto uko pale pale,nimeamua kuingia kwenye kilimo kama njia ya kuongeza kipato cha ziada. Nimeanza kwa kukodi shamba Ruvu kwani mimi niko Dar na niko kamili kwa kuanza na heka 2. GHARAMA Nimekodi shamba laki 3(@150,000),nikafyeka...
  4. ommytk

    Nataka gari aina ya Toyota IST, bajeti 5 to 6m

    Nahitaji gari aina ist bajeti yangu ni 5 to 6m gari iwe yako sio dalali sinunui kwa dalali
  5. M

    Nataka hawa ndiyo wawe katika Benchi la Ufundi la Taifa Stars na siyo 'Goigoi' walioko sasa

    1. Mecky Mexime Kocha Msaidizi 2. Ally Mayai Meneja wa Timu 3. Juma Kaseja Kocha wa Makipa Kocha Mkuu Kim Poulsen hatufai ila awe Mkurugenzi wa Ufundi wa Timu za Taifa na atafutwe Kocha mwenye Viwango wa Kimataifa na anayejua Kucheza Soka la Kimalengo na siyo Soka la Hamasa, Siasa na Upuuzi...
  6. Mayova

    Nataka kuanzisha biashara ya kuuza dawa za kuua magugu (nyasi), naombeni uzoefu

    Jamani wapendwa nataka kuanzisha biashara ya kuuza dawa za kuua nyasi kama vile round up kalachi nk. Naombeni mwenye uzoefu anipe faida na hasara za biashara hii. Asanteni sana
  7. Superbug

    Ushauri: Nataka kuanza kula nyama ya kenge

    Nyama ya mamba inaliwa na inauzwa ghali Sana kg 1 ni 30,000/= pale kibaha kwa mzungu Sasa mamba na kenge ni ndugu je Kuna tatizo naomba ushauri. Naishi pembeni ya mto Kuna kenge wengi Sana.
  8. CHIEF MGALULA

    Nitajuaje kama ni Afisa wa TAKUKURU au anataka kuniibia?

    Ndg, mimi ni mtumishi wa Umma kwenye taasisi nyeti hapa Dar, hata hivyo juzi nilipigiwa simu na mtu aliejitambulisha yupo Dodoma. Akinitaka nifike ofisini kwao kesho kutwa yake kwa ajili ya mahojiano, nikakubali ila baadae nikamwambia naomba anitumie barua ya wito kupitia kwa mwajiri wangu...
  9. Equation x

    Napenda kuishi karibu na uzao wangu hasa katika uzee wangu

    Kutokana na changamoto ninazoziona kwa wazee au wakubwa zangu walionitangulia, hasa wenye umri mkubwa wanavyoishi, nimeazimia kutengeneza 'empire' kama mazingira yataniruhusu. Wazee wengi wamekuwa wakiishi kinyonge, kutokana na watoto wao kuwa mbali nao; unakuta mzee alipambana kuwakuza watoto...
  10. K

    Nataka kuachana na Mwanamke niliyemtolea mahari

    Mimi ni kijana umri Miaka 28. Naishi Dar es Salaam. Baada ya kupata shauku kuoa niliamua kusafiri na kurudi kijijini kwetu ambako wazazi wanaishi. Nilifanya uchunguzi kwa binti kadhaa waliokuwepo kijijini. Kutokana na Mimi kutokuwepo kijijini kwa Muda mrefu ilikuwa ngumu kujua yupi ni mtu...
  11. MC44

    Nataka kuagiza kitu kwa kutumia forwarding company

    Kuna bidhaa nataka kununua aliexp ila naona fedex ndo wapo na wana bei Mkasi. Nawezaje kuwatumia kama hawa silent ocean au kampuni kama hizo?
  12. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Nataka kununua mbwa aina ya bull dog. Ni wapi nitapata?

    Natafuta bulldog Wapi nitapata? Nikikosa bulldog Basi mbwa Kama huyu. Call 0655173113
  13. daizouh

    Nataka kujua duka linalouza electronic components Dar es Salaam

    Mambo vipi wanajamiiforum, Naombakukujua maduka yanayouza electronics components kamavile capacitors, resistors , ICs, opamp, diodes
  14. kabwinyola

    Nataka kwenda Botswana, natakiwa kuwa na Visa?

    Wakurugenzi nimepata mchongo Nampula Botswana je hints nafikaje huko? Ubalozi wao upo wapi hapa Tanzania? Naona hapa pananifaa. Vigezo gani vya kuingia huko? Nimetenga 1500$ Kama safari alafu 1000$ ya kukaa miezi mitatu rental
  15. Abuu Said

    Nishaurini: Nataka ninunue iphone S6

    Wataalam wa Technology habari zenu, Bajeti yangu ndogo ila natamani nimiliki Iphone katika pita pita zangu nimekutana na Iphone S6 ambayo inaendana na Bajet yangu ila wasiwasi wangu ni kwamba nasikia ifikapo mwakani itakua expired kwamba baadhi ya app km WhatsApp na nyinginezo zitakua hazifanyi...
  16. J

    SoC01 Nataka Kubadilika: Mambo 10 muhimu unayotakiwa kuyaacha

    MAMBO 10 MUHIMU UNAYOTAKIWA KUYAACHA. Rafiki yangu mpendwa, Unashindwa kutoka hapo ulipo siyo kwa sababu hutaki kutoka hapo ulipo, hapana, unataka sana tu kutoka hapo ulipo na kufika kule unapotaka wewe kufika. Ila tatizo lako wewe ni kuwa unataka kutoka hapo ulipo kwa maneno na si kwa vitendo...
  17. S

    Nataka kutumia Viagra

    Ndugu wapendwa habari za jioni hiii, nimekuja kwenu kutafuta kujuzwa kuhusu utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume (viagra). Jana nilipatwa na mshituko kwani nilikwenda kwenye mambos na mpenzi wangu wa siku zote na katika kuhitimisha mambo yetu kila kitu kilienda sawa kwenye romance...
  18. J

    Nataka kubadilika

    MAMBO 10 MUHIMU UNAYOTAKIWA KUYAACHA. Rafiki yangu mpendwa, Unashindwa kutoka hapo ulipo siyo kwa sababu hutaki kutoka hapo ulipo, hapana, unataka sana tu kutoka hapo ulipo na kufika kule unapotaka wewe kufika. Ila tatizo lako wewe ni kuwa unataka kutoka hapo ulipo kwa maneno na si kwa...
  19. A

    PCB 3.13 kuenda kusoma udaktari nje

    Nimemaliza kidato Cha sita nimepanga kusoma md uganda, Je, Kuna athari gani kwenda kusoma nje ya nchi bila no objection certificate ya tcu maana sijatimiza vigezo vya D tatu ya tcu na nimekosa chuo.hapa.nchini. Nimepata phy D chem D bioE 3.13
Back
Top Bottom