Habari zenu wana jf.
Mimi ni kijana wa kitanzania ndugu yenu wa damu.
Mzaliwa wa mkoa kigoma kwa sasa naishi dar.
Nimemkimbia mke na watoto wangu wawili nilio wazaa mwenyewe, kutokana na ugumu wa maisha ya nyumbani.
Kwa sasa wanaishi nyumbani kwa kaka yangu mkubwa, najua wanakula lakini ni...