Wakuu,
Kuna sehemu vijijini nimeona wanafunzi wa shule ya sekondari (day) wanapata shida sana, tatizo mojawapo nililoliona ni makazi yao ya kupanga kuwa duni. Sasa nikawaza kuwasaidia hawa wanafunzi kwa kujenga hostel simple kwa ajili yao.
Plan yangu ni kila mwanafunzi awe na chumba chake --...
Wewe mtanzania ambaye bado unaendelea na ujenzi jipatie frool tiles kwa bei nafuu ukubwa wa tyles ni 50×50 bei ni 3000 kwa kila moja :mawasiliano ni 0788274721 na utaletewa popite ulipo ndani ya Dar es Salaam
Kampuni ya Drone Ads inakutangazia wewe unayependa kujenga maeneo jirani na kitovu cha mji, kwamba inauza viwanja 150 vilivyopimwa vilivyopo nyuma ya stendi kuu ya Kibaha, eneo la Pangani kilomita 1.5 toka stend, karibu kabisa na hospital ya wilaya Kibaha. Hivyo huduma zote muhimu zipo...
Afisa wa polisi aliyefutwa kazi Minneapolis Derek Chauvin amekamatwa na kufunguliwa mashitaka ya mauaji juu ya kifo cha George Floyd, mwendesha mashitaka wa kaunti ya Hennepin Mike Freeman alisema.
Afisa huyo wa zamani alionekana katika video akiikandamiza kwa goti lake shingo ya Floyd kwa...
Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) zimetiliana saini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu wa Euro milioni 70, sawa na takriban shilingi za Tanzania bilioni 175.6 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Maji Safi na Usafi wa Mazigira Mjini Morogoro (MORUWASA).
Mkataba wa...
Nyumba nzuri na zina mvuto na mwonekano mzuri wa kupendeza zikiwa na vyumba viwli vya kulala, jiko, sebule na mahala pa kula.
Kodi TZS 750,000 kwa mwezi.
Kuziona piga simu au whatsapp +255755312233
habari wakuu?
Ninajihusisha na uagizaji wa Spea za magari ya Ulaya... Kwa muhitaji yeyote anaweza kuni PM au akacomment hapa nitakusanya request kisha nitareply kwa Bei zetu.
Bei ni nafuu na spea ni Original
Kwa sababu ya changamoto ya mtaji hatuna stock bali tunaagiza moja kwa moja Ulaya kwa...
Habari zenu jamani,
Naombeni msaada mimi nawashwa kwenye makalio na nimefanya kama mashilingi ni mwezi wa 6 sasa nipo na hilo tatizo nmetumia dawa kibao za ngozi za kupaka na kunywa lakini hadi leo hamna nafuu naombeni mnisaidie.
Wakuu nilivutiwa na idea ya kufanya Vinyl Wrap business about 3 years ago ila sikuendelea na hii plan kutokana na mambo kadhaa yaliokuwa nje ya uwezo wangu.
So far nataka kufanya comparison kati ya Vinyl Wraps na Paint job kipi kitakuwa na gharama nafuu zaidi?
Kwa wale mliopiga rangi za gari...
Habari za wakati huu
Kutokana mimi ni mwananchi mwenye kipato cha kawaida
Naombeni ushauri wenu kuhusu hili,kwa sasa nataka nianze kuweka saving ,Sasa wakuu naombeni kuuliza
Hivi unafuu upo wapi kati ya kutunza fedha Benki au Kwenye Mitandao ya Simu kama Mpesa/Tigopesa
Uzi tayari
Habari wakuu,
Tunabadili matumizi ya ofisi na kuuza vifaa vya ofisi vifuatavyo
1. Meza mbili za plastic - zote 140,000 (@ 70,000)
2.Viti 3 vya plastic -vyote -30,000
3.laptop ya hp - 300,000
4. Min laptop bytespeed (haikai na chaji,utabadili battery) - 120,000
5.Printer - 60,000
6...
Apple wameamua kula sahani moja na makampuni yanayotengeneza budget phone.
Apple wamezindua simu ya iphone inayoitwa iphone SE.
Kitu kinachovutia kwa toleo jipya la simu hii ni bei nafuu kulinganisha na matoleo mengine ya hivi karibuni. Bei yake ni $399.
Hii bei ni kubwa kwa sisi watumiaji wa...
Nashauri nchi wahisani na taasisi za fedha za kimataifa kuja na mpango maalumu wa kuhakikisha unafuu wa kulipa madeni ulitolewa unakuwa na mashariti maalumu kwa nchi zote zilizopata unafuu huo.
Nasema hivi kwasababu inawezekana kabisa kwa baadhi ya nchi zetu za kiafrika kutumia unafuu huo...
Habari wadau,,,,ninauza canter ya tani nne kwa bei nafuu, imetembea km 48500 tu, na bodi lake Lina urefu wa mita 4,,,,,,kwa maelezo zaidi piga namba 0783696253,,,ninapatikana dar es salaam
habari za muda wadau wa jukwaa hili,naomba kufahamishwa benki au taasisi yenye mkopo nafuu kuliko nyingine ili,niweze kwenda kujipatia chochote katika kulisongesha mbele gurudumu la maendeleo ya tanzania.nilipita nmb na mwalimu commercial bank,riba zao ni asilimia 17,na kuna baadhi ya mambo...
Habari zenu wadau.
Naombeni mwenye uzoefu anisaidie kujua ni wapi naweza kupata vitu vya Stationery kwa bei nafuu sana, mfano pen, karatasi, mafaili n.k
Natanguliza shukrani
Ni siku kama ya tatu mwanagu wa mwaka mmoja anakohoa kikohozi kikavu na usiku anapata taabu ya kupumua.
Mimi ni mfauatiliaji wa thread ya Coronavirus humu, nimekosa raha kabisa na isitoshe niko mbali nao.
Yaani kila nikifuatilia habari ya wataliii Arusha natamani kulia kwa jinsi serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.