Habarini wote.
Mimi ni muhanga wa macho nimeyavumilia kwa muda mrefu lakini naona ni too much. Siwezi focus vitu vya mbalii hata karibu hasa maandishi ziwezi somaa.
Naitaji miwani ya bei nafuu nipo Morogoro
Asanteni
Habari wadau..
Nauza wheel chair za mtumba.. nzuri kabisa zipo mbili..
Yenye draft draft bei yake ni Tsh. 200,000. na nyingine nyeusi bei yake ni Tsh 150,000.
Namba ya simu ni 0692 275 229
Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na...
Waziri nishati Dkt. Kalemani asema Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15 mwaka huu wa 2021 aeleza gharama za kuzalisha umeme kwa kila chanzo bunge lamshangilia sana.
Asema lengo la Serikali ni kutumia vyanzo vyote ili mradi vilete umeme wa uhakika na wa bei nafuu kwa mwananchi
Asema umeme...
Habari wadau
Nauza air condition mpya kabisa, sealed in box
Bei ya kuuza ni laki tano fixed ( haipungui kiasi chochote) mimi nilinunua laki 7, risiti ipo
Brand ni BRUHM
Nilinunua kwa ajili ya kuifunga kwenye barber shop .. kwa sasa wazo la barber shop limeniondoka, nimeona niiiuze tu maana...
Habari wakuu,
Tumeleta mzigo wa pochi za kina dada nzuri.
Tunauza kwa bei ya jumla na reja reja
Bei yetu ya jumla ni sh. 13,000/=✓ kuanzia PC tano tu na rejareja sh. 15,000/=
Tunapatikana Nyegezi Mwanza
Karibu WhatsApp 0763772636 popote zitakufikia kwa bei ya tabasamu
Tunapokea oda za kuprint t-shirt za aina zote kwa bei nafuu..t-shirt high Quality.
tunapokea oda kwa t-shirt za
1. Familia
2. Shule (wanafunzi na staff)
3. Birthday
4. Msiba
5. Kwaya
6. Vikundi
Tunapatikana (Msongola- Ukonga Dar Es Salaam)
Wasiliana kwa 0789214792 au 0620875713
Habari za weekend,
Kwa budget ya Laki tatu (300k) naomba ushauri kwenu ni simu gani nichukue yenye uwezo mzuri wa battery, camera na internal memory kubwa ya kukidhi matumizi ya kawaida.
Nilimsikiliza Rais katika ufunguzi wa kitu cha mabasi Magufuli kule Mbezi akitambua mchango wa mama lishe katika jamii.
Mama lishe wengi wanatengeneza chakula katika hali ngumu sana. Wengi wanatumia kuni kama nishati ya kupikia, sshemu wanazopikia ni duni na mvua ikinyesha wanapata adha...
Habari waJF,
Kwa wale wafugaji wenzangu wa mkoa wa Kagera na mikoa jirani sasa unaweza kupata mbegu za Azolla zenye ubora unaohitajika kwa bei rafiki kabisa.
Tuwasiliane kupitia namba 0625951181
Faida za Azolla kwa kifupi ni;
1. Ni nyongeza ya chakula cha kuku na mifugo mingine
2. Ina...
Mara nyingi wakulima wamekuwa wakitamani kununua au kumiliki vifaa vya kilimo lakini kutokana na bei kubwa na pia kutokuwa na sifa za kukopesheka katika taasisi za fedha basi wanashindwa kutekeleza matakwa yao.
Simusolar tumeliangalia hili swala kwa undani na sasa tumeamua kuwawezesha wakulima...
Habari!
Naomba kifahamishwa majina, sehemu na kiwango cha ada kwa shule za msingi zinazofuata mtaala wa kimataifa (international Schools) zenye ada ya kawaida. Sihitaji hizi IST n.k
Shukran!
Baadhi ya mahitaji ya wadau:
Naombeni kupewa orodha ya maduka ya suti za kiume (za kisasa) yaliyopo Kariakoo. Nahitaji kuyazungukia. Kwasababu ya muda siwezi ku-design kwa fundi ndo maana nataka kuitungua dukani. Shukrani.
Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za...
Wakuu habari:
Mara kwa Mara viongozi wetu wamekuwa wakituambia tumepata mkopo kutoka China wenye masharti nafuu.
Swali langu ambalo natamani kila Mtanzania ajiongeze na aweze kufikiria nje ya box je mkopo wa masharti nafuu ukoje je masharti nafuu ni yapi?
Mara nyingi tumesikia kauli kuwa...
Mji mpya umeanzishwa ,mkabala na halmashauri mpya ya Kibaha ( Mlandizi),Nyuma ya kiwanda cha Kiluwa Steel.
viwanja vipo kilomita 1.9 toka Morogoro road.
Kiwanja Cha sqm 1,200 (mita 40 kwa mita 30) kinauzwa milioni 3 tu. Piga 0713039875 kwa maelezo zaidi
Vimebaki viwanja 6 kwa wiki hii. Ofa...
Habar, tunauza vitanda na bedside zake kwa kila kitanda ......ni vitanda vilivyotumia mbao ngumu.
Bei: 380000 - 350000 kwa kila kimmoja
wapi : kawe ukwamani.
Simu : 0757994417 au 0625 959542.
Usafiri: utajitegemea
Je naweza kuwekeza? Ndio unaweza kuwekeza kidogo kidogo mpaka unamaliza deni.
Je...
Wapendwa Wana jamvi,
Nimeamka na dharura ya kumsafrisha mgonjwa na Mambo yangu siyo mazuri.
Nalazimika kuuza laptop yangu( Kama unaweza nisaidia kupata mtu wa haraka wa kuniokoa)
Walau kufikia jioni niwe nimepata mteja.
Specifications za laptop"
👉HP probook
👉Hard disck 400GB
👉Processor...
Shirika la UNICEF limetangaza kuhusu mkakati wake wa kusambaza chanjo ya Covid-19 kwa Kenya na nchi nyingine zinazoendelea, limeripoti gazeti la daily Nation nchini Kenya.
Chanjo zote zitakazonunuliwa kupitia Covax zitauzwa kwa shilingi 300 za Kenya (takriban dola 3) kwa nchi zinazoendelea...
Hii sio hypothesis, imeshakuwa proven kwa tafiti zilizofanywa na wengine wanaotafiti kuhusu poor economics.
Iko hivi ni rahisi kujua kuwa gharama za kutuma na kutoa fedha kwa kutumia simu, iwe M-pesa, Tigo pesa nk ni gharama zaidi kuliko kutumia benki i.e ATM ambazo zimetapakaa nchini.
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.