F FRESHMAN JF-Expert Member Sep 29, 2011 8,822 33,516 Apr 14, 2021 #1 Habari wadau.. Nauza wheel chair za mtumba.. nzuri kabisa zipo mbili.. Yenye draft draft bei yake ni Tsh. 200,000. na nyingine nyeusi bei yake ni Tsh 150,000. Namba ya simu ni 0692 275 229
Habari wadau.. Nauza wheel chair za mtumba.. nzuri kabisa zipo mbili.. Yenye draft draft bei yake ni Tsh. 200,000. na nyingine nyeusi bei yake ni Tsh 150,000. Namba ya simu ni 0692 275 229
baraka bb JF-Expert Member Mar 20, 2016 2,691 3,858 Apr 14, 2021 #2 vipi waliokuwa wanazitumia wameshapona mkuu
F FRESHMAN JF-Expert Member Sep 29, 2011 8,822 33,516 Apr 14, 2021 Thread starter #3 baraka bb said: vipi waliokuwa wanazitumia wameshapona mkuu Click to expand... Mtumba huwezi jua mtumiaji kama amepona ama bado
baraka bb said: vipi waliokuwa wanazitumia wameshapona mkuu Click to expand... Mtumba huwezi jua mtumiaji kama amepona ama bado
A Arovera JF-Expert Member Nov 19, 2013 10,945 28,401 Apr 18, 2021 #5 baraka bb said: vipi waliokuwa wanazitumia wameshapona mkuu Click to expand... Watakua washakufa si unajua mali ya marehemu haina dhamana
baraka bb said: vipi waliokuwa wanazitumia wameshapona mkuu Click to expand... Watakua washakufa si unajua mali ya marehemu haina dhamana
Mwita Mtu Mrefu JF-Expert Member Sep 6, 2020 740 1,106 Apr 18, 2021 #6 FRESHMAN said: Karibuni sana wenye changamoto za kuuguza Click to expand... Aione all of me
F FRESHMAN JF-Expert Member Sep 29, 2011 8,822 33,516 Apr 18, 2021 Thread starter #7 Arovera said: Watakua washakufa si unajua mali ya marehemu haina dhamana Click to expand... Magari tunayonunua mtumba pia ama nguo za mtumba. Waliozitumia wanakuwaga marehemu?
Arovera said: Watakua washakufa si unajua mali ya marehemu haina dhamana Click to expand... Magari tunayonunua mtumba pia ama nguo za mtumba. Waliozitumia wanakuwaga marehemu?
F FRESHMAN JF-Expert Member Sep 29, 2011 8,822 33,516 Apr 24, 2021 Thread starter #8 Wenye changamoto za kuuguza wazee na vijana, wheel chair zipo, karibuni sana