mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,607
- 1,596
-
Niko interested,je risiti zile za EFD unatoa nazo au ndiyo unatumia kitambulisho cha h
Hii Printer niliinunua lakini sikuitumia baada ya computer niliyotegemea kutumia kuharibika monitor.Niko interested,je risiti zile za EFD unatoa nazo au ndiyo unatumia kitambulisho cha Chinga
Weka contacts watu wakutafute printer nzuri sana hiyo.Hii Printer niliinunua lakini sikuitumia baada ya computer niliyotegemea kutumia kuharibika monitor.
Hivyo hii ipo nyumbani na risiti za kununulia.
Nipo Dsm, tabata Kinyerezi
Inaprint Black and white peke yake ndugu,Inaprint coloured au ni black n white?
Tatizo la hp ni kwenye wino! Elfu 40 - 45! Huku printer ya Epson wino kwenye kichupa ni buku tano tu!Kwa anayetaka printer na recommend ainunue hiyo printer. Ni printer nzuri sana.
Kwa printer Bora bado Epson waku juu,ninazo mbili l850 na l805 ni nzuri na zinadumu,gharama ya wino chini Sana,na zinatoa colouredTatizo la hp ni kwenye wino! Elfu 40 - 45! Huku printer ya Epson wino kwenye kichupa ni buku tano tu!
Epson ni 🔥🔥 na huu ndiyo ukweli mchungu. Mimi nina hiyo L.850! Yaani nakula tu mafao!Kwa printer Bora bado Epson waku juu,ninazo mbili l850 na l805 ni nzuri na zinadumu,gharama ya wino chini Sana,na zinatoa coloured
Kila kitu kina ubora wake na ndio maana vitu vyote vinauzwa madukani,Epson ni 🔥🔥 na huu ndiyo ukweli mchungu. Mimi nina hiyo L.850! Yaani nakula tu mafao!
Uko sahihi kabisaaKwa printer Bora bado Epson waku juu,ninazo mbili l850 na l805 ni nzuri na zinadumu,gharama ya wino chini Sana,na zinatoa coloured
punguza ujinga, huwezi fananisha LaserJet na InkJet printersKwa printer Bora bado Epson waku juu,ninazo mbili l850 na l805 ni nzuri na zinadumu,gharama ya wino chini Sana,na zinatoa coloured
Wala usiwe na hofu ndugu juu ya hilo. Utauza tu hiyo mashine yako. Kwanza bei yako ni rafiki ukilinganisha na hizo Epson.Kila kitu kina ubora wake na ndio maana vitu vyote vinauzwa madukani,
ila sio jambo jema kuanza kusifia kitu chako kwenye tangazo la mtu mwingine, huo sio ustaarabu.
Ni vyema ungeanzisha mada inayojitegemea kuhusu hicho kitu unachokisema
Ni kweli kabisa ulichoandika, Hizo Inkjet wanazosema ni bei rahisi kujaza wino ila hazidumu, pia ubora wa maandishi ni hafifu.Uko sahihi kabisaa
Ila hiyo HP na hizo Epson ulizotaja ni mashine mbili zilizotengenezwa kwa kazi tofauti kabisa.
Pia lazima ujue tofauti ya Inkjet na Laserjet.
Gharama toner, toner genuine ni expensive sana. Toner nyingi tunazotumia fake tu.
Bora umemwambia ukweli,punguza ujinga, huwezi fananisha LaserJet na InkJet printers
lijitu linakuja linaropoka alimradi liropoke,Bora umemwambia ukweli,
huyo nadhani aliamua kuandika bila kujua ukweli wa alichoandika