nafasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr Msaka Habari

    JamiiForums Tanzania Mila potofu hazina nafasi katika ukuaji wa uchumi

    Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umesema kuwa mila potofu hazina nafasi katika uchumi endelevu. Akiendesha program kwa wadau mbalimbali waliofika kuchangia jana Dar es Salaam mmoja wa wawezeshaji wa mada Jane Msigita amesema uchumi jumuishi wa kaya baadhi ya wanawake wanaweza kuwa hawajui kile...
  2. T

    JamiiForums Tanzania SoC02 Wino wangu kwa Kiongozi

    UTANGULIZI Neno Kiongozi limebebwa na neno ‘nafasi’ ambayo inakamilisha uwepo wa icho cheo yaani ‘’KIONGOZI’’ Ni vizuri kuelewa katika maisha tunayoishi leo kuna mwanzo wake vivyo hivyo kuna mwisho wake,kujikumbusha ni swala la muhimu sana hili nafasi zetu tunazopata duniani iwe ni kwenye...
  3. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Mara washika nafasi ya 5 kwa wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika

    Taarifa iiyotolewa Afisa Elimu wa Mkoa, Benjamin Oganga imeonesha pia kuwa mkoa huo umeshika nafasi ya 5 kitaifa kwa kuwa na wanafunzi wanaohitimu darasa la 7, bila kujua kusoma na kuandika. Oganga ameongeza kuwa ufatiliaji uliofanywa unaonesha ndani ya miaka mitano, wanafunzi 350,000 katika...
  4. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Burundi: Rais amfuta kazi Waziri Mkuu, Waziri wa Usalama kuchukua nafasi yake

    Rais Evariste Ndayishimiye amewafuta kazi Waziri Mkuu Alain Bunyoni na Msaidizi wake Mkuu bila ya kutoa sababu za hatua hiyo baada ya hotuba ya kuonya kuhusu njama ya "mapinduzi" dhidi ya Serikali yake hivi karibuni Katika kikao cha dharura, Wabunge waliidhinisha Uteuzi wa Waziri wa Usalama...
  5. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kama unatafuta Ajira kwa kusambaza CV Ofisi za Umma na hujui nafasi ya Mlinzi hupati kazi ndugu yangu

    Habari! Katika kuhudumia watu (wateja) kama mlinzi ndani ya miaka 6 napenda kuteta na vijana mnaosaka ajira. Ratio ya ajira na wasomi sasa imekuwa tofauti sana. Sasa kinachomata ni connection na akili. Kuna ofisi watu wana hela mpaka huna wa kumuhonga. Imagine mpaka Mimi mlinzi unanikuta...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi tano (05) za Afisa masoko na mauzo ya viwanja- J2 Real Estate

    1. Utangulizi J2 Real Estate inahusika na ununuzi na uuzaji wa viwanja, tathmini na urasimishaji wa ardhi. Ofisi zake ziko Goba, DSM 2. Nafasi za kazi Tunawatangazia watanzania wenye sifa na uzoefu katika kazi za mauzo na masoko wa miradi ya viwanja kuchangamkia nafasi hizi. Sifa -Uwezo mzuri...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi tano (05) za Afisa masoko na mauzo wa viwanja- J2 Real Estate

    1. Utangulizi J2 Real Estate inahusika na uuzaji wa viwanja vya makazi na biashara. Ofisi zake ziko Goba, DSM 2. Nafasi za kazi Tunawatangazia watanzania wenye sifa na uzoefu wa mauzo na masoko katika miradi ya viwanja na mashamba kuomba nafasi husika. Sifa -Uwezo mzuri wa kuongea na...
  8. Deus Michael Ndololo

    JamiiForums Tanzania Kama ningepewa nafasi ya kukushauri....

    Ndugu zangu wa-Tanzania mambo vipi? Mko poa? Kama jibu ni ndio basi fresh na kama sio basi hakuna tabu, ila ninamachache ya kuzungumza na ninyi then niende zangu. Nisikilize sasa, Hakuna kipindi kigumu wanachopitia watanzania kama kipindi hiki na wengine wameanza kwenda mbali zaidi na kutafuta...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga inayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi

    Napenda niseme tu bila kupepesa macho ya kuwa yanga wanayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi klabu bingwa msimu huu. Nimepata ujasiri wa kusema hivyo baada ya kuwaona Al hilal iliyocheza na simba, ni timu ya kawaida ambayo kwa jicho la kiufundi nimeona bado inatafuta muunganiko baada ya...
  10. Manuell

    JamiiForums Tanzania SoC02 Ipi nafasi ya vijana katika Siasa na Uongozi

    UTANGULIZI Hivi karibuni tumeshuhudia kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na mwanasiasa na mwanasheria kijana akihoji juu ya sheria inayotaka mgombea Wa nafasi za ubunge awe na umri wa zaidi ya miaka ishirini na moja, huku haki ya kikatiba ikimtaka kijana mwenye umri wa miaka 18-19 na 20 kupiga...
  11. Japama

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi ya Pharma Dispenser

    Anatafutwa Pharma Dispenser mwenye usajiri wa pharmacy council, kuuza pharmacy uliyopo Dar es Salaam kiwalani. 0627345658
  12. S

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Ni suala la muda tu kabla Mwigulu hajaondolewa katika nafasi yake kwa kubadilishwa wizara au kuondolewa kabisa katika Baraza la Mawaziri

    Hata kama Mama anampenda au bado ana imani na Mwigulu, ni vigumu sana kuendelea kumbakiza katika nafasi yake kutokana na reaction ya umma kwani anaonekana kuwa ni waziri anaengoza kwa kulaumiwa na kutuhumia na hivyo anakosa sifa ya kisiasa ya kuendelea kuwa waziri. Kwa maneno mengine, yeye...
  13. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Tangazo la nafasi za kazi kada ya afya

    Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki imepata kibali cha ajira 6 za Watumishi wa Kada za afya kwa ajili ya Hospitali na vituo vya afya. Sifa za waombaji ni kama ifuatavyo; DAKTARI DARAJA LA II (NAFASI 1) Waombaji wawe na Shahada ya Udaktari wa binadamu...
  14. Y

    JamiiForums Tanzania Ni lini nafasi za kujiunga JWTZ zinaweza kutolewa?

    Habari wanajamii forums. Nauliza ni lini nafasi za kujiunga na jwtz zinaweza kutolewa? Natanguliza shukran zangu
  15. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Hakuna mbunge atakayethubutu kuukosoa utawala wa Rais Samia, kwa sababu kwa kufanya hivyo atahatarisha nafasi yake

    Huo ndiwo ukweli. Wawakilishi wa wananchi hususani wabunge wote ni waoga kuukosoa Utawala wa Samia kwa hofu kubwa ya kutokuteuliwa 2025 kuwa wagombea wa nafasi hiyo. Kama yupo awaye na matarajio hayo ni bora ayafute. Ifahamike wabunge wote waliopo mle bungeni kwa sasa ni zao na bila kupepesa...
  16. Jerlamarel

    JamiiForums Tanzania Tozo zimechukua nafasi ya upinzani

    𝕋𝕆ℤ𝕆 ℕ𝔻𝕀𝕆 ℕ𝕁𝕀𝔸 ℙ𝔼𝕂𝔼𝔼 𝕐𝔸 𝕂𝕌ℤ𝕀𝔹𝔸 𝔾𝔸ℙ𝔼 𝕃𝔸 𝕋𝔸𝕊𝕂 𝔽𝕆ℝℂ𝔼 ℤ𝔸 𝕁ℙ𝕄? 𝙽𝚊 𝚃𝚑𝚊𝚍𝚎𝚒 𝙾𝚕𝚎 𝙼𝚞𝚜𝚑𝚒. Ukiniambia niishauri Serikali yangu kuhusu Tozo nitawashauri kwa haraka kama ifuatavyo. Rais Samia Sio muumini wa task Force kama zile za Magufuli za kupambana na matajiri pamoja na wafamya Biashara kwenye...
  17. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi, anahitajika minning engineer haraka sana.

    Taarifa ya ajira anatakiwa mining engineer haraka sana eneo la kazi ni sumbawanga. Mwenye sifa tuwasiliane bila kuchelewa uingie kazini.
  18. OffOnline

    JamiiForums Tanzania Je, tumfikirie Shaka kwenye nafasi ya juu? Huenda ndio kijana mwenye ushawishi zaidi Tanzania

    Wasalaam, Hebu pitia video hizo zote then njoo u-comment,Huyu kijana naona anastahili nafasi ya juu hapo baadae, Je, Wewe unaonaje? === Tazama, huu ni usiku ila vijana wanagoma kumruhusu kijana huyu aondoke
  19. kyagata

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Young African sports club

    Sharti la msingi, lazima uwe mwanachama hai wa Yanga.
  20. MSAGA SUMU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jemedari Said atupa karata yake nafasi ya usemaji klabu ya Yanga

    Kama mnavyofahamu nafasi ya usemaji na nafasi nyingine zipo wazi . Mchambuzi wa michezo ndugu Jemedari Said bin Kazumari ameomba nafasi hiyo huku akiwa ametimiza vigezo kadhaa vya awali Kama elimu na kuwa mwananchi (mwanachama wa Yanga tangu 2001). Tumtakie Heri katika hili.
Back
Top Bottom