SaulGoodman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 351
- 793
Habari zenu wandugu, naomba niende kwenye hoja Moja kwa Moja.
Idara ya Uhamiaji imetangaza nafasi za ajira 500 kwa vijana wa kitanzania wenye sifa na vigezo mbalimbali vya kitaaluma Leo tarehe 11/12/2022. Unaweza pitia attachments hapa chini kufahamu zaidi.
Lengo la Uzi huu ni kuweza kupata tips na hints namna ya kutuma maombi kwa usahihi pamoja na kufanya usahili wao kwa usahihi lakini pia itapendeza kama tutapata links za magroup ya mitandao ya kijamii kwa lengo la kupeana updates kuhusu mchakato na tips, Ahsanteni na karibuni.
Idara ya Uhamiaji imetangaza nafasi za ajira 500 kwa vijana wa kitanzania wenye sifa na vigezo mbalimbali vya kitaaluma Leo tarehe 11/12/2022. Unaweza pitia attachments hapa chini kufahamu zaidi.
Lengo la Uzi huu ni kuweza kupata tips na hints namna ya kutuma maombi kwa usahihi pamoja na kufanya usahili wao kwa usahihi lakini pia itapendeza kama tutapata links za magroup ya mitandao ya kijamii kwa lengo la kupeana updates kuhusu mchakato na tips, Ahsanteni na karibuni.