Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,594
- 8,679
Nini tatizo,
Kwanini nafasi hizo zinarudiwa mara kwa mara kutangazwa?
Je wanakosa watu?
Je watanzania hawana vigezo?
Je wakachukue wageni?
Je watanzania hawana elimu za masters?
Je kusoma masters ni gharama?
Au wanachunguza sana mwisho wanakosa mtu wanayemwihitaji?
Au hawawapati watu wale wanaowahitaji?
Mwisho: Kwanini kazi za sekta ya afya huwa zinazoazoa tu bila kumwona mtu aliyetuma maombi ya kazi?
Kwanini nafasi hizo zinarudiwa mara kwa mara kutangazwa?
Je wanakosa watu?
Je watanzania hawana vigezo?
Je wakachukue wageni?
Je watanzania hawana elimu za masters?
Je kusoma masters ni gharama?
Au wanachunguza sana mwisho wanakosa mtu wanayemwihitaji?
Au hawawapati watu wale wanaowahitaji?
Mwisho: Kwanini kazi za sekta ya afya huwa zinazoazoa tu bila kumwona mtu aliyetuma maombi ya kazi?