Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,723
Nimeona leo mjadala umekuwa mkubwa juu ya refa kuongeza dk nyingi kwenye mechi ya Azam na coast union.
Nafikiri mwamuzi alikuwa sahihi kwa 100% sababu hizi timu za mikoani zimekuwa na katabia kakijinga sana kupoteza muda pindi wanapokuwa wanaongoza au wanapoona matokeo yako upande wao bila kujali watu wamelipa viingilio vyao waone burudani, wachezaji wa coast walikuwa wanapoteza muda ovyo na yule kipa katibiwa muda mrefu sana walitegemea kipa akinyanyuka na mwamuzi amalize mpira?
Refa huyu anastahili pongezi kwa timu zenye tabia za ovyo ovyo kama hizi, Na wamepanik kwakuwa walitaka wambebe kaka yao arudi nafasi ya pili baada ya kuhaidiwa mpunga lakini mipango imegoma na Azam naye baada ya kunyanyasika kipindi kirefu sasa na wao wanaitaka nafasi ya pili.
Na hii mechi imewaumiza wengi wa mtaa wa pili maana walitegemea wabebwe na tawi lao halafu wakienda kukutana kule Mkwakwani waachiwe ushindi hivyo ngada wangerudi nafasi ya pili iyo ndo mipango iliyokuwepo lakini imekwama sasa kama coast wanazitaka sana point basi wakazisake kwa mshirika wao wanayekutana nae mechi ijayo waache upuuzi
Nafikiri mwamuzi alikuwa sahihi kwa 100% sababu hizi timu za mikoani zimekuwa na katabia kakijinga sana kupoteza muda pindi wanapokuwa wanaongoza au wanapoona matokeo yako upande wao bila kujali watu wamelipa viingilio vyao waone burudani, wachezaji wa coast walikuwa wanapoteza muda ovyo na yule kipa katibiwa muda mrefu sana walitegemea kipa akinyanyuka na mwamuzi amalize mpira?
Refa huyu anastahili pongezi kwa timu zenye tabia za ovyo ovyo kama hizi, Na wamepanik kwakuwa walitaka wambebe kaka yao arudi nafasi ya pili baada ya kuhaidiwa mpunga lakini mipango imegoma na Azam naye baada ya kunyanyasika kipindi kirefu sasa na wao wanaitaka nafasi ya pili.
Na hii mechi imewaumiza wengi wa mtaa wa pili maana walitegemea wabebwe na tawi lao halafu wakienda kukutana kule Mkwakwani waachiwe ushindi hivyo ngada wangerudi nafasi ya pili iyo ndo mipango iliyokuwepo lakini imekwama sasa kama coast wanazitaka sana point basi wakazisake kwa mshirika wao wanayekutana nae mechi ijayo waache upuuzi