Kiwanda cha TanChoice Limited

Kiwanda cha TanChoice Limited

Aen Urner

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
388
Reaction score
380
Kuna interview nimeitwa hapo kiwandani, mwenye idea na hicho kiwanda kuhusu hali ya maisha (huduma muhimu) huko, nimeambiwa kipo kibaha, vipi kuhusu utamaduni wa kampuni husika kama unafanya/ulishawahi fanya hapo kazi n.k

Mawazo/michango yenu inahitajika
Karibu.
 
Hapo kazi ni kuchuna ngozi,na kukata kata nyama.labda uwe na elfu.
Ila kama umeambiwa uende na NIDA tu ahaaaaaaaa ndio hizo
Aanh, nkajua labda ni semi-automated mzee, Kuna mashine zinasaidia kazi?
 
Back
Top Bottom