mwigulu

Mwigulu Lameck Nchemba (born 7 January 1975) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Iramba West constituency since 2010.In December 2015, he was appointed as the Minister of Agriculture, Livestock and Fisheries.
In July 2018 he was sucked down by Magufuli due to poor performance as the Minister of Home Affairs

View More On Wikipedia.org
  1. H

    PostGE2025 Ujumbe Kwako Mwigulu, Usimjaribu Mungu Wala Usimkufuru

    Nimemsikia Mwigulu alipopewa nafasi ya kutoa salamu zake kwa waumini alipohudhuria ibada kwenye kanisa lake la KKKT. Kwenye ujumve wake, amewaomva waumini wamwombe Mungu aliletee amani Taifa. Hii ni kufuru kubwa mbele za Mungu. Kila siku watawala wapo busy kutengeneza mazingira ya kugukuza...
  2. President of China

    WAZIRI MKUU MWIGULU AFIKA na MKEWE KANISANI USHARIKA WA KISASA DODOMA na ULINZI MKALI - AFIKISHA SALAMU za RAIS SAMIA AMANI

    WAZIRI MKUU MWIGULU AFIKA na MKEWE KANISANI na ULINZI MKALI - AFIKISHA SALAMU za RAIS SAMIA AMANI...cc; BAKARI MAHUNDU https://youtu.be/wEZdUyMljiQ?si=f7KAhBCRRdLsfD70
  3. Mtemi mpambalioto

    KAZI YA KWANZA Waziri Mkuu Mwigulu aanzie vituo vya polisi aombe Rais kwa simu awatoe wooote walioandamana

    Kama kweli kuna nia ya kuliponya hili taifa basi kesho hiyo hiyo wangetolewa wooooteeeee bila kujali walivunja nini! Maana kama kukosea wooote tumekosea sio Rais, sio vyombo vya dola, sio wabunge, sio wapigakura, sio viongozi wa dini wala nani! Nchi nzima kila.mtu anamnyooshe mwenzie so...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PostGE2025 Dkt. Mwigulu: Natambua uzito wa majukumu haya na matarajio ya Watanzania, nitafanya kazi kwa bidii na uaminifu

    Baada ya kuwa Waziri Mkuu Mteuli wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Natambua uzito wa majukumu haya na matarajio ya Watanzania, na amehaidi kufanya kazi kwa bidii na uaminifu na kukidhi matarajio hayo. Soma Pia: Dkt. Mwigulu Nchemba apendekezwa kuwa Waziri Mkuu wa...
  5. Genius Man

    PostGE2025 Hii ndio Serikali ya viziwi ambayo haiwezi kuongea na Wananchi mtaani Samia, Nchimbi wala Mwigulu

    Ifahamu serikali isiyokubalika ipo tu Ikulu na bungeni kwasababu wananchi hawajachukua majengo yao, hawa hawawezi kusimama mbele ya umma hata mmoja tangu machafuko ya Oktoba 29 ambapo kumetoa mwelekeo wa msimamo wa wananchi jinsi watakavyofanywa watakapokuja mitaani. Wananchi tumewakataa hakuna...
  6. DonDonald

    GE2025 Waandamanaji wachoma moto yard ya magari ya mabasi ya Esther

    Yard ya magari ya Mabasi ya Esther Luxury imechomwa moto na waandamanaji Inasemekana mabasi yote yaliyokuwepo hapo yamechomwa moto
  7. baz kaiza

    Mwigulu ushukuru Suala la Tanzania kutoka kwenye nchi ambazo Uchumi unakua kwa Kasi EAST kuzidiwa na Uganda Limekutana na Uchaguzi Ulikua Umekwisha

    Tanzania kitendo cha kutoka kwenye nchi ambayo uchumi unakua kwa kasi. East Afrika Tanzania imetoka hamna GDP imeganda. Suala hili limekutana na uchaguzi watu wamepoa kwenye kulinda shilingi na dola umejitahidi Lakin jiangalie sana buana mkubwa tafuta washauri wazuri wa Uchumi kama Mpango...
  8. N

    Dr. Mwigulu Nchemba, jitokeze utuambie ni kwanini Tanzania imerudishwa kwenye kundi la nchi zenye uchumi duni?

    Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) – Ripoti ya 2025 Mtazamo wa Kiuchumi wa Kanda: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara limeiweka Tanzania kwenye orodha ya Nchi Masikini Zaidi Duniani (LDC). Serikali ya CCM na chawa wenu mnajinasibu uchumi unakua kwa kasi wakati Watanzania tunashuhudia uwekezaji...
  9. R

    GE2025 Mwigulu: Tanzania ni kinara kwenye uchumi Afrika, nawashangaa wanaosema tumefilisika

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi ambaye pia ni Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Taasisi zinazopima Maendeleo Bora ya kiuchumi na huduma Bora za Jamii zimeielezea Tanzania kama moja ya nchi kinara Kwa Nchi zote za Bara la Afrika kwenye kutekeleza miradi ya maji...
  10. JanguKamaJangu

    Dkt. Mwigulu Nchemba aunga mkono ununuzi wa jezi halisi (original), anunua jezi 200 za Simba

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameunga mkono kampeni ya kununua jezi halisi (original) za timu ya Simba SC, akitoa rai kwa wapenda soka wote kuepuka jezi bandia (feki). Dkt. Mwigulu ameunga mkono kampeni ya kuhamasisha mashabiki kukataa jezi feki na kununua orijino kwa kununua jezi 200...
  11. S

    Gari anayotumia mtoto wa Mwigulu ndiyo inayonifanya tarehe 29/10 nikafie barabarani kwenye maandamano

    Kitoto kina miaka 12 lkn kinasukumwa kwenye ndinga ya milioni 500 kina dereva na mlinzi pembeni. Kodi zetu zinatapanywa kwa maslahi ya wachache. Shubamiti!!! Potelea pwete, kifo kiliumbwa. Nisipokufa kwenye maandamano nitakaifa kwa ajali ama nitakufa usingizini. Tarehe 29 0ctober tutakinukisha!
  12. W

    GE2025 Mwigulu: Pesa za UVIKO 19 Rais alizifanyia Maendeleo

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba amesema wakati wa janga la UVIKO-19 Rais Samia Suluhu alitumia fedha za kujikimu na janga hilo kufanya miradi mbalimbali ya maendeleo.
  13. DuaZaMama

    GE2025 Mwigulu: Rais amevunja rekodi fedha za maendeleo mikoani

    "Tangu uingie uongozi wako [Rais Samia], fedha zimekwenda mikoani kwa wingi ambao haujawahi kutokea tangu nchi hii ipate uhuru. Hicho ni kipimo kwamba nchi inaongozwa na kiongozi mwadilifu ambaye anatumia vyema rasilimali za taifa hili." - Dkt. Mwigulu Nchemba, Mgombea Ubunge Jimbo la Iramba...
  14. M

    Ufisadi wa sasa una originate 'juu' ndo mana ni ngumu kufahamu. BOT, Mwigulu, wana siri nzito

    Kiuhalisia Ufisadi huu wa Leo unaoibuliwa na Mange Kimambi, Kuna uwezekano Mkubwa chimbuko lake ni Ikulu, na wahusika wa Karibu ni Waziri wa fedha na Governor wa BOT, na Kwa kiasi kikubwa Wafanyabiashara wakubwa wanahusika Kwa kukwepa Kodi kupitia Ikulu na vyombo vyake, mtu kama GSM ana tabia ya...
  15. K

    GE2025 Dkt. Mwigulu atimba na bodaboda kuchukua fomu

    Mgombea Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Iramba Magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba, amesindikizwa na Mamia ya Wafuasi na Wanachama wa CCM kuchukua fomu ya Ubunge, hatua itakayomuweka rasmi katika mbio za kugombea Ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. #KaziNaUtuTunasongaMbele.
  16. Stephano Mgendanyi

    Dkt. Mwigulu Nchemba Asisitiza Uwajibikaji kwa Watumishi wa Ofisi za Hazina Ndogo Kigoma

    DKT. MWIGULU NCHEMBA ASISITIZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI OFISI YA HAZINA NDOGO KIGOMA Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, ametembelea Ofisi zilizo chini ya Wizara ya Fedha Mkoani Kigoma na kuzungumza na Watumishi wa Taasisi hizo kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu shughuli za maendeleo...
  17. Mkalukungone Mwamba

    Mwigulu: Ndugai alihimiza ulipaji kodi

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, Jumamosi ya tarehe 09 Agosti 2025 amefika nyumbani kwa marehemu Job Yustino Ndugai, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, eneo la Njedengwa jijini Dodoma, kwa ajili ya kutoa pole na kusaini kitabu cha maombolezo. Soma Pia: Job Ndugai...
  18. L

    Mayu Mwigulu kama kweli unataka Urais hakikisha unabadilishiwa madiwani wako wote

    Mwaka 2020 ulifanikisha kuingiza madiwani wote uliowataka na yule wa akribu yako zaidi ukamfanya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Iramba. Mbaya sana! Pamoja na wewe bado kukubalika ninakushauri kwa dhati ya moyo wangu usitoe hela kuhakikisha hao madiwani wanarudi,. Hiyo sio timu itakayokufikisha...
  19. MamaSamia2025

    Privaldinho umeteleza kumsifia Mwigulu kwa kumfananisha na hayati Silvio Berlusconi

    Kuna wakati unaweza kumsifia mtu kumbe bila kujua unamharibia. Privaldinho alianza vizuri andiko lake ila kumfananisha Mwigulu na mtu aliyekuwa na kashfa kibao za ufisadi na ukwepaji kodi sio sawa. Hapo anamharibia. https://www.instagram.com/p/DL-rOBjKqy2/?igsh=Ym9mbjdsYXg5bGk1
  20. amarina

    Barua ya wazima kwa waziri wa fedha Mh Mwigulu

    Mh Waziri. Wasaidizi wako au wewe mwenyewe umewaingiza watumishi wa umma katika mtego na adha na usumbufu aidha bila kujua. Baada ya kuweka utaratibu wa mifumo kutumika kumkopesha mtumishi benki zinafanyia uharamia wa kupita kiwango. Mtumishi akikopa anatozwa gharama 100% zinazoonesha...
Back
Top Bottom