Uumpende,usijiweze juu yake uumpe raha,umsikilize yeye tu.
Mali zako ni zake
Akili yako ni yake
Ndugu zako ni wako ila ndugu zake ni wake na wako
Benki yako ni yake
Pumzi yako ni yake
Watoto ni wake/ukiwa mbishi atawapeleka kwa baba zake..😂
Uhai wako ni wake
Ulie juu yake
Wazazi wako ni wakwake...