mwanamke

  1. Travis Walker

    JamiiForums Tanzania Mara ya kwanza kumuamini mwanamke ilikuwa baada ya kuzama kwenye penzi zito na yeye

    Kuna mtu alinifunza kuipenda haki. Kwa kuyapitia maumivu na mazito nilijifunza kuwa na huruma. Kwa mara ya kwanza nikamuamini mwanamke. Ama kweli mapenzi ni matamu mno, nilijikuta nazama zaidi kwenye penzi zito. Nikampa moyo wangu nikampenda kupita maelezo. Kabla ya hapo sikutaka kabisa...
  2. safuher

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa mwanamke kupewa pasu kwa pasu baada ya talaka bila wao kuchangia ni wa Hovyo na kandamizi kwa wanaume?

    Wakati wanaharakati wakihangaika kuwainua wanawake na kujifanya kuwatetea ndipo wanazidi kuwashusha na kuwakandamiza wanaume. Hali inakokwenda kuna wanaharakati watajitokeza nao kuwa wanatetea wanaume dhidi ya ukandamizaji unaofanywa dhidi yao. Mwanamke kutaka pasu kwa pasu ilhali hajachangia...
  3. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Muuguzi adaiwa kumzaba makofi mwanamke aliyejifungulia sakafuni

    Muuguzi wa zamu katika Kituo cha Afya Mazwi mjini Sumbwanga anadaiwa kumzaba makofi usoni mwanamke mmoja aliyejifungulia sakafuni kwenye moja ya vyumba vya kituo hicho juzi usiku. Taarifa zilizopatikana kutoka kwenye kituo hicho, zinasema mama huyo ambaye jina lake halijawekwa hadharani...
  4. O

    JamiiForums Tanzania Je, mwanamke anamjua mwanaume halisi aliyempa mimba?

    Hivi karibuni nimepokea Taarifa nzuri kwa kila mwanamme... Kuna binti mmoja nili do naye takribani wiki 2/3 tatu zilizopita. Hivi karibuni baada ya kuona mabadiliko ya kimwili akaenda kupima ujauzito na kukuta ana ujauzito wa wiki 2/3. Baada ya kugundua hivyo, moja kwa moja alinifata na kunipa...
  5. ogmhillu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anayekupenda kweli

    Sio kazi ngumu sana kuelewa mwanamke anaekupenda kiukweli mwanamke anaekupenda kweli hawezi kukuomba wewe kitu chochote bali atachohitaji kutoka kwako sana sana ni muda wako na 'attention' yako kwake. Hayo mengine kuhusu pesa, outing, shopping na mengineyo unatakiwa kujiongeza wewe kama...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Fanta mwanamke mwenye akili aliyekosa elimu

    Fanta alizaliwa katika familia duni mno. Baba yake alikua mlinzi, katika harakati za kuhakikisha hawakosi chakula nyumbani mama aliuza matunda mchana. Fanta alikua na uzuri wa ajabu alikua na akili pia lakini alipofika kidato cha tatu baba yake alipata maradhi, hali ya nyumbani ilibadilika...
  7. lee Vladimir cleef

    JamiiForums Tanzania Ni ipi njia isiyo na fedheha ya kutongoza mwanamke mtandaoni ambaye hamjawahi onana?

    Mahusiano Ni kitu kizuri Mapenzi Ni kitu kizuri na Urafiki ni kitu kizuri. Sio mbaya kwa kijana kujipatia mahusiano,mpenzi au rafiki hapa JF au mitandao mingine kama JF isiyo ya kujiuza. Kwa mfano mtu anaweza kupata mchumba na baadae mke hapahapa JF. Kwani Kuna ubaya jamani? Nahisi Me na Ke...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Usioe haraka mwanamke anayependa pesa

    Sijasema usioe mwanamke anayependa pesa bali usioe haraka mwanamke anayependa pesa. Kwanini Kwasababu baadaye atakusumbua Sana. Kama unampenda mpe muda wa kubadilika anaweza kubadilika mimi naamini wanadamu wanabadilika. Hivyo mpe muda huku ukitengeza modo ya kumzoeza kuishi bila kutegemea...
  9. comte

    JamiiForums Tanzania Ahadi ni deni na mkimuahidi mwanamke ni zaidi ya deni- jamaa yetu huyu sijui afeli kiswahili

  10. C

    JamiiForums Tanzania Je, kuna ubaya wowote mwanamke kumzidi mwanaume umri?

    Mambo vipi wakuu? Leo niko na swali moja tu Hivi Je! Kuna ubaya wowote kwa mwanamke kumzidi umri mwanaume au mpenzi wake? Let's say, labda mwanamke amemzidi mwanaume umri wa kuanzia mwaka mmoja na miezi kadhaa
  11. comte

    JamiiForums Tanzania Vivumishi vya mwanamke katika karne hii ya 21- wanaume muelewe na mjipange

  12. lavi01

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Roho inaniuma, nimezaa na mwanamke nisiyempenda. Bado anataka kuishi na mimi

    Habari wadau! Katika mihangaiko ya hapa na pale kuna binti nilimkuta mahali, kifupi nikamtamani na nikataka nipite tu. Baada ya mbinu za hapa na pale, alinipa namba na tukajikuta penzini, baada ya mawasiliano ya kama wiki, nilimwambia aje home.. nilitaka kula mzigo akabana na mimi kulazimisha...
  13. secret file

    JamiiForums Tanzania Matajiri huwa tunakuwa na aibu sana kutongoza mwanamke public!!

    Habari zenu..... Leo nataka tushee kitu kimoja, sisi matajiri hakika ni waoga kweli kutongoza mwanamke uliyempenda kwa mara ya kwanza public.....!!! Hasa pale anapokuwa hakufahamu.....! kwamfano juzi nilikuwa pale mlimani city shopping nikajitutumua kumtongoza mtoto mmoja mzuri....alikuwa...
  14. kilamba lamba

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akianza dharau, achana naye

    Habarini wana jamvi wa MMU. Natumai ni wazima wa afya. Kuna jambo moja la muhimu Sana, no ukwel usiopingika kwamba kwenye mahusiano kuna mabonde na milima.lakini ukiona mwanamke (mpenzi wako) kaanza dharau za hapa na palee juaa hapo tayaarii hakuna jambo, japo wengine huwa wanapima upepo...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akianza kukusaliti usipambane

    Habari za weekend leo nimeona nishare nanyi hii kitu kuna nyakati unakuta mke wako au mpenzi wako anaanza kubadilika visa haviishi ukimtafuta kuyaongea yeye anakumbushia makosa ya nyuma sms zako hajibu au anajibu kwa kujisikia simu hapokei na kwa bahati mbaya hata tunda hataki kukupa Sasa hapa...
  16. KITAULO

    JamiiForums Tanzania Kuolewa na mwanaume amaizing ilikuwa ni matamanio ya kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia

    Kuna hili jambo ningependa tujadiliane ama tushirikishane kidogo. Hakuna asiejua kuwa kila mwanamke kabla hatujavurugwa na dunia huwa matamanio yetu ni siku moja kuolewa na kutengeneza familia na mwanaume fulani hivi amazing(fantancy vs reality). Sasa tatizo linakuja kuwa huwa wanawake wengi...
  17. yuda75

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwanaume ukilala na Mwanamke usipompa hela baada ya tendo anakudharau sana?

    Utamaduni wa wenzetu walioendelea huwa mtu akitoka out na mpenziwe mwanamke ndiye anaclear bill lakini kwa nchi zetu za kibongo ukimtoa mwanamke out atafanya kukukomoa aagize vitu vya gharama balaa isitoshe zaidi watoto wa chuo hakawii kubeba marafiki zake wa kutosha. Sasa ukija swala la kudo...
  18. JOESKY

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kuoa

    Habari zenu wanajukwaa? Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nipo Dodoma mjini. Nina shahada ya kwanza ya ualimu ila sijabahatika kuajiriwa. Natafuta mwanamke wa kuishi naye maisha ya ndoa awe ni mcha Mungu na awe na miaka kati ya 24 na 30. Mwanamke mwenye mtoto mmoja anatakiwa awe na kazi...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanamke asiyezaa

    Kama wewe ni mwanamke mgumba umri 18 - 30, basi mie nilikuwa nakutafuta wewe! Kiufupi ni kwamba nataka kuoa ila sina mpango wowote wa kuwa na mtoto (yaani mpango wowote). Kwa minajili hiyo basi mwanamke anaenifaa zaidi mie ni mwanamke mgumba ili tujenge maisha pamoja. Niweke angalizo: 1...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu naogopa kama kumgharamikia Mwanamke vitu vya gharama

    Habari za Jumapili wana JamiiForums km kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mimi hakuna kitu naogopa kama kumgharamia mwanamke vitu ghali Kuna mwaka mmoja niliwah kutana na msichana mmoja jina kapunj huyu dada alikuwa bikra kabisa na niliitoa mm sasa siunajua maneno ya mtaan oooh bikra...
Back
Top Bottom