mwanamke

  1. Mzukulu

    Kwanini ni nadra sana kusikia Mwanamke kajiua kwa ajili ya mapenzi kuliko Mwanaume?

    Au labda Mwenyezi Mungu alivyowaumba Wanawake hakuwawekea ile roho dhaifu ya kutaka Kujitoa Uhai ( Kujiua ) kama ambayo inaonekana kwa Wanaume hiyo Roho si tu kwamba aliiweka bali aliigundisha kabisa na Super Glue kama si Gesi au Shaba ili isitoke milele? Wanawake wote mliopo hapa JamiiForums...
  2. Top gun maverick

    Mwanamke akinikataa namchukia automatically

    Habari wanajukwaa kongwe kabisa la JF, ingawa bado tunachangamoto ya kirusi hiki hatari kabisa cha COVID-19 lakini tuendeleee kunawa mikono mara kwa mara. Ni muda wa mwaka na nusu sasa mimi kama expert member wa JF sijaweza kupost Uzi hasa katika jukwaa hili. Naenda straight to the point, mimi...
  3. Superbug

    Nisipomuona mwanamke yeyote duniani kwa siku nitakufa siku hiyo hiyo

    Nimeshajipima na kujitambua siwezi kuishi kabisa bila kumuona mwanamke duniani ! Ikitokea hivyo nitakufa instantly hakika. Women hasa ambao sio bloodline hakika wananiumiza mno.Nakiri udhaifu wangu kwao. Kifupi naumwa bila ladies.!!!
  4. Mzukulu

    Je, ni kweli kwamba ukiona Ndugu wengi wa Mke (Mwanamke) wanafululiza kuja Nyumbani Kwako ni dalili ya kwamba Umeshakamatika Kindumba?

    Kuna nyumba mbili napakana nazo huu ni Mwaka wa Tatu sasa naona tu ndugu wa upande wa Mwanamke (Mke) wakifululiza kuja na hata wakija huwa wanakaa hadi waamue wao kuondoka ila Ndugu wa Mwanaume (Mume) wakija huwa hawakai hata siku tatu na wakati mwingine utakuta Mwanaume ndiyo anawaambia...
  5. britanicca

    Kipi bora kuoa mwanamke mwenye mtoto au Mwanamke alotoa mimba?

    Nauliza kipi bora hasa Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa...
  6. safuher

    Wanaume tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu

    Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa. Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda. Wakati mwingine huwa...
  7. Equation x

    Binti aliyenipagawisha

    Closed
  8. Samia atosha tukutane2030

    Tatizo sio mwanamke kupenda pesa, tatizo ni kukuomba hela huku huna hizo hela.

    Oh! Mara yule mwanamke anapenda sana Pesa, mara anatamaa sana. Mara anazingua nampiga chini! Tatizo sio kukuomba fedha, tatizo ni kwamba anakuomba fedha huku wewe huna? Nje ya mada : Dada poa mmoja Alisikika akisema " tarehe za mshahara biashara inakuwa nzuri sana.
  9. A

    Ukweli siku zote unauma

    Jamani kuna kitu kimenitatiza lakini baada ya kumuuliza muhusia akawa mkali wala hakunipa jibu la kueleweka man alianza kuja juu kujifanya mtakatifu,issue yenyewe n kama ifutavyo; Kuna mdada tunafanya nae kazi office moja anajifanya mlokoe kunizidi hadi mimi, yeye kila siku jumapili na siku za...
  10. britanicca

    Unaweza kumuoa mwanamke anayefanya kazi bar akatulia?

    Mwanamke akifanya kazi bar anaweza kuwa mwaminifu? Unaweza kumuoa akawa mke mwema? Vipi kuhusu yafuatayo 1.Kuendelea na tabia ya kuona kwamba ni jambo la kawaida kutoa penzi akapewa hela? 2.Kuwachukulia watu wote bila staha na akawaona kama wale walevi wa bar alokuwa anawahudumia? 3.Ulevi je?
  11. Superbug

    Utafiti: Ukitaka mwanamke asikuangalie sana fanya haya...

    Wanawake ni viumbe vinavyopenda Sana kuchunguza Mambo madogomadogo ya watu ikiwemo muonekano. Mwanamke akikuangalia Sana jua anakuthaminisha kihivi... Rangi Urefu Umbile Kipato Nini unamzidi Kipi anakuzidi Anakudefine pia who u might be Sasa tafiti zinaonyesha kwamba mwanamke akikuangalia...
  12. C

    Natafuta Mwanamke wa kuoa ambaye ana hizi sifa

    1. si mpenda pesa 2. si mwenye dharau 3. si mwana wa shetani 4. si muongo na mbabaishaji 5. si malaya / muhuni 6. si mwizi na mchawi 7. si mpumbavu na mnafiki wasifu wangu kiufupi majina: cellulaire mjukuu chirama dini: mkristo wa dhehebu la katoliki kabila: myao kutoka mkoani lindi umri...
  13. Mwangesela

    Kumridhisha Mwanamke inategemeana na nini?

    Wadau hivi kuna uhusiano wowote kati ya size ya uume na kumfikisha mwanamke kileleni? Mwenye uzoefu tafadhari sana.
  14. Askarimtu

    Sifa 10 za mwanamke bora wa kuoa

    Mwanamke ni utukufu wa mwanaume kwa sababu ametoka kwenye ubavu wake. Mwanamke bora ni huyu hapa: 1. Mwenye heshima kwa wadogo mpaka wakubwa. (USAFI WA MWILI, MATENDO & MDOMO) -Sio anatukana tu ovyo ovyo halafu we unaenda kuoa, atakuja kutukana wazazi wako...
  15. 44mg44

    Mwanamke njoo usimulie ulivyompata mme wako wa ndoa!!

    Wanawake hupata wanaume wa kuwaoa kwa njia mbalimbali kama vile: 1.ulimpa tunda kimasihara baadae akawa mmeo 2.ulienda kuombewa kwa mchungaji 3.ulitafta mtandaon 4.alikuwa mwalimu wako darasan 5.alikuwa mpangaji mwenzio 6.alikuchumbia Wanawake karibun mtaje njia mlizotumia kuwapata wanaume...
  16. James Hadley Chase

    Mwanamke atakubomoa, mwanamke atakujenga!

    HAIPUNGUI miaka mitatu sijakutana na Kajole. Hapo kabla tulikutana mara ya nyingi. Alikuwa anapitia nyakati ngumu. Nami nilihakikisha nampa kila kilichokuwa ndani ya uwezo wangu ili kumwezesha kuvuka magumu aliyopitia. Kajole akawa rafiki. Hapo katikati alikuwa akinipigia simu. Aliniambia...
  17. Mtamba wa Panya

    Nahitaji mwanamke black beauty

    Mimi ni ME, umri wangu miaka 32. Naishi Dar. Nahitaji mwanamke black, umri usizidi miaka 32. PM me..
  18. GENTAMYCINE

    Mwanamke uliyeachana nae 'Kiugomvi ' katika Mahusiano yenu, Siku akipata mtu wa kumuoa na akikuletea kadi ya Mwaliko huwa anawaza nini kati ya haya?

    Je, huwa anakuwa... 1. Anakukoga ( Anakuringishia ) kuwa umeanika watu Wameanua? 2. Anakuambia kuwa bado anakupenda ila huyo Boya anayemuoa kaingia tu Mkenge kwake? 3. Anakualika uje umshuhudie Mwanaume wake mpya 'anayemsuuza' vizuri Kitandani? 4. Anakuwa anataka tu Kukudhalilisha...
  19. A

    Mwanamke kukubana au kukuvutia kwake wakati wa sex

    Wanawake wakati wa sex kuna muda inafika anakubana na miguu pamoja na mikono yake hadi unashindwa kupump in and out huku akitaka uzamishe hadi pumbu wakati mwingine akisindikiza na sauti ya mahaba "hapo hapo".pale ni kusema kwamba mmefika kileleni, mnakaribia au uhondo umezidi na kilele unakiona...
  20. J

    Natafuta mwanamke aliye serious kwa maisha

    Habari wanajamii wenzangu, nimeona leo nami kuweka hitaji langu kwenye forum. Mimi ni mtanzania mkristo umri 33 na kwasasa nipo mkoa was tabora najitokeza kutafuta mwanamke ambaye mbeleni atakuja kuwa mke na mama watoto wangu, sina ubaguzi wa dini wala rangi lakini umri ningependelea angalau...
Back
Top Bottom